mtongwe
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,652
- 4,468
Sasa mi ni boya ktk hayo,nitajuaje kuwa wameyalina kabla sijaliondoa gari kutoka hapo garage....??maana ipo wazi ukishatoka usirudi kuwaeleza kuwa wamekuibia koz hakutokuwa na ushahidiMkuu maboya ndio wanakata lakini wezi au ukichezeshewa mchezo hawakati bali wanayachokonoa kifundi sana na yanatoka yote bila ubishi
Mfano tunapokwenda kuosha huwa tunawakabidhi vitu vilivyomo na anapomaliza anatakiwa akukabidhi sawia na ulivyomkabidhi