Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Bongo hata ukisahau furushi la mavi wanaiba..
Asante kwa ushauri
Asante kwa ushauri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimaanisha sasa gari inakula mafuta vzr kuliko zamani au?Mimi gari langu nilitoa mwenyewe nikavuta 500k ...kuhusu ulaji wa mafuta naona umepungua
Ukimaanisha sasa gari inakula mafuta vzr kuliko zamani au?
Aisee nikipata kichwa na mimi sikiachi napiga hio 500k though sina uhakika hata kama hicho ulichokiuza kama bado kitakuwepo kwny gari yangu maana nimeshaipitisha gari sehemu mbaya ile exhaust ikapasuka kama mara 2 hivi na nikaipeleka kwa mafundi wakaiziba,sijui kama hawakuiba au la?Ila nilikuwepo around wkt wanachomelea hilo bombaExactly
Ndio maana hata mimi niliona ujinga huu yaani fundi ale 500k kwenye gari yangu..alafu nategemea kuiuzaAisee nikipata kichwa na mimi sikiachi napiga hio 500k though sina uhakika hata kama hicho ulichokiuza kama bado kitakuwepo kwny gari yangu maana nimeshaipitisha gari sehemu mbaya ile exhaust ikapasuka kama mara 2 hivi na nikaipeleka kwa mafundi wakaiziba,sijui kama hawakuiba au la?Ila nilikuwepo around wkt wanachomelea hilo bomba
Wanayauza wapi mkuu haya?Mimi gari langu nilitoa mwenyewe nikavuta 500k ...kuhusu ulaji wa mafuta naona umepungua
TabataWanayauza wapi mkuu haya?
Mkuu maboya ndio wanakata lakini wezi au ukichezeshewa mchezo hawakati bali wanayachokonoa kifundi sana na yanatoka yote bila ubishiutaona hicho kibuyu kama nilikatwa kisha kuchomewa
Mkuu maboya ndio wanakata lakini wezi au ukichezeshewa mchezo hawakati bali wanayachokonoa kifundi sana na yanatoka yote bila ubishi
No hapana sio lazima lkn kuna mabadiliko kidogo huwa yanatokea na hii mara nyingi inategemeana na aina ya gariNa ikishatolewa ni lazima gari iwe inalia kama altezza kama mshikaji alivyosema pale juu?