peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Wezi wanaowajua ni wale tuliowapa dhamana ya kudhibiti na kudhibitisha wizi huo. Na wote Wana zana za kuwashugulikia wezi hao wawe na Chama wasiwe na Chama. Sasa kama waliyopewa dhamana yankuwadhibiti wezi wameshindwa, wamechukuliwa hatua gani?Kwa wezi ni CDM AU NI CCM? Jiulzeni mkipata jibu mnijulishe
Utakuwa umetumwaWapewe DP WORLD tu wabongo ni wababaishaji
Under performance was a case!Before ilikiwepo Ticts ya wazalendo nayo imeshindwa! Au unataka apewe nani!
Wamepandishwa vyeo ndio hatua ninaiona kila pakikuchaWezi wanaowajua ni wale tuliowapa dhamana ya kudhibiti na kudhibitisha wizi huo. Na wote Wana zana za kuwashugulikia wezi hao wawe na Chama wasiwe na Chama. Sasa kama waliyopewa dhamana yankuwadhibiti wezi wameshindwa, wamechukukiwa hatua gani?
Peno wewe una hasira gani na magogoni!Eneo la bandari liongezwe hadi magogoni ili mkiuza muuze jumla
We have jeiwii kitambo in di hausi ! Labda kama unataka jeiwii inayojua kuandika kutoka "sawa" kwenda "kuondoka".Next JW waongee ili tuweze kutoka tulikokwama kwa miaka 60.
Mama anaupiga Mwingi,Wapigaji pale bandarini ndio mnaopingaUtakuwa umetumwa
Kodi ikilipwa fedha xinaingia mifukoni wa watu.Mama anaupiga Mwingi,Wapigaji pale bandarini ndio mnaopinga
Kodi lazima mlipe tu
Ninakijua.
sasa wananchi hawana tena imani na serikali wa vyama vya siasa .
Ni miaka 60 tangu tumepata uhuru tunstwanga maji na kinu.
Next JW waongee ili tuweze kutoka tulikokwama kwa miaka 60.
Una visa sana ewe mdau!! Nemecheka sana ana ingawa siyo mazuri !Eneo la bandari liongezwe hadi magogoni ili mkiuza muuze jumla
Na kusimamia misitu Professor msomi Silayo naye ameshindwa kusimamia TFs anakabidhi watu ambao kwao hakuna miti wala misituMama anaupiga Mwingi,Wapigaji pale bandarini ndio mnaopinga
Kodi lazima mlipe tu
Tazama video iliyoambatanishwa kwenye mada hii, usininyooshee mimi kidole pengine ungemnyooshea Dr Magufuli kidole kwa ziara aliyofanya bandarini kama haikuwa na tija kwa Taifa letu,Unajua unatumia lugha ya kuudhi dhidi ya viongozi wetu wa serikali na wale wanaohusika na kudhibiti wizi nchini, na hauishi hapo bado unatumia lugha ya kuudhi dhidi ya watanzani zaidi ya 64 mil kwamba wao ni wezi pia na hawajitambui kiasi cha.juendesha shughuli zao.
Wananchi gani ambao wamechoka, ni nyie mlioko kwenye social media?
Unatumia vipimo gani kupima maendeleo yetu kabla na baada ya uhuru?
Je wakati tulipopata uhuru tulikuaje na sasa tuko hatua gani?
Unazijua serikali za kijeshi wewe, unafikiri utapata muda wa ku comment nyuma ya keyboard tena...Magufuli aliwafinya kidogo tu kila mtu alikua analia lia, leo mkipelekwa kijeshi si mtahama nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hili suala ni la kweli, kumbe?Na kusimamia misitu Professor msomi Silayo naye ameshindwa kudikamia TFs anakabidhi watu ambao kwao hakuna miti wala misitu
Peno wewe unamshutumu kuwa katumwa! Kwa lipi wakati bunge limeshapitisha. Hv kuna cha kubadilisha humu jf?? Wewe kwanini hujatumwa wakati una uwezo mkubwa!Utakuwa umetumwa
Ninasubiri kauli za mzee Warioba, Butiku , JK kama ataongea kwa sababu kapiga ukimya hadi raha.Peno wewe unamshutumu kuwa katumwa! Kwa lipi wakati bunge limeshapitisha. Hv kuna cha kubadilisha humu jf?? Wewe kwanini hujatumwa wakati una upto mkubwa!
Na JW ikiharibu na mkaichoka mnaitoaje?JW kwa sasa vyama vikiwa vinaendela kujipanga upya.
Sina hasira na magogoni bali tukichanganya eneo la magogoni na bandari likawa na hati moja kuna uwezekano mkubwa DP World akakubali kulipa mabilioni ili tupate fedha nyingi kwasababu hatutaki kufanya kaxi na kufikiri na kujituma wenyewe tunataka fedha.Peno wewe una hasira gani na magogoni!