peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Unakumbuka uchaguzi mkuu 2020 ccm ilifanya nini? Kinaitwa ubadhilifu au la?Pengine mpaka pale tutakapojifunza kuacha ubadhilifu kupitia DP World lakini tukiendelea kufanya ubadhilifu basi Serikali itatunyang'anya miradi yake mikubwa
Zilitumika Tsh ngapi kwenye uchaguzi huo ? Sio ubadhilifu huo?
Eneo lenye shida Tanganyika ni CCM, MUUNGANO NA KATIBA.