Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Yemeanza kunena kwa lugha!Chadema ni vigeugeu sana.
Mara hii?!!!
Tuliyaonya kakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yemeanza kunena kwa lugha!Chadema ni vigeugeu sana.
Mara hii?!!!
Ili kuepuka sintofahamu kama hizi zinazomzunguka huyu mama sasa hivi.Ironically, Ben Mkapa, ambaye alikuwa na uwezo wa kufikiri on his feet zaidi ya Samia, alitumia hotuba zilizotayarishwa karibu mara zote.
Sawa mkuuNa mtanena kwa kugha sana tu
Ndiyo ameanza rasmi safari ya udiktetaAkimzidi Magufuli, na hata Kikwete?
Hakika Tanzania itakuwa na bahati mbaya sana!
Dawa ipo tarehe 1 kwenye katiba day, makombora tutayorusha nadhani atakuwa dikteta rasmi na sio sasa hivi anafanya kwa kujifichafichaKwenye kuteua, alimteua mpaka ndugu yake kiundugunization, bila aibu.
Kuna tatizo kubwa pale nchi ambapo kwenye makaratasi inakwenda kwa misingi ya utawala wa sheria, lakini kiuhalisi zile sheria zote za kwenye makaratasi zimewekewa figisu kubwa sana, nchi inakwenda kwa mazoea tu.
Huyu kashakaa sana chemba na dikteta uchwara, unafikiri siku zote walikuwa wanaongea nini kama si kurithishana udikteta tu?
Kama una muda tunaomba tarehe 1 alhamisi ya keshokutwa uje tabata, tunahitaji sana michango na mawazo yenu. Muda ni sasa, huyu tukitumia nguvu kidogo tu katiba inapatikana asubuhi saa 4Ndiyo ameanza rasmi safari ya udikteta
Yaani leo Mpinzani Kama Mzee wa wali akitaka kufanya mkutano Chato anazuia maendeleo [emoji1787][emoji1787]Kufungua nchi, kukuza uchumi vinakwenda sambamba na utawala wa sheria.
Mikutano ya kisiasa haikuzuii Rais kutitimiza wajibu wako
Ruhusu watu wafanye siasa, Katiba ya sasa inaruhusu, sheria pia inaruhusu sasa katazo hili unataka kuririthi? CCM yako isiogope ushindani wa kisiasa watakuvurugia kabisa hizi sifa za siku 100 zako za kwanza.
Binafsi nahisi Mama hakutarajia Kama kwenye ule mkutano atakutana na swali la namna ile ndio maana kujibu kwake Mpaka sasa kumeacha ukakasi mwingi Sana juu ya msimamo wake katika suala la demokrasia nchini au alikuwa na dhamira hiyo ila muda ulikuwa bado kuonesha makucha yake ila ghafla akakutana na suala hilo hivyo kuonesha ngozi yake ya asili ya nini anawaza.Kwenye kuteua, alimteua mpaka ndugu yake kiundugunization, bila aibu.
Kuna tatizo kubwa pale nchi ambapo kwenye makaratasi inakwenda kwa misingi ya utawala wa sheria, lakini kiuhalisi zile sheria zote za kwenye makaratasi zimewekewa figisu kubwa sana, nchi inakwenda kwa mazoea tu.
Huyu kashakaa sana chemba na dikteta uchwara, unafikiri siku zote walikuwa wanaongea nini kama si kurithishana udikteta tu?
Labda kama haujasoma katiba,katiba inatambua HRs ivyo uhuru wa kukusanyika,kuongea na kuandamana ni haki za msingi na hakuna mipaka hapo.Acheni kupotosha. Hakuna demokrasia isiyokuwa na mipaka. Yes Katiba ina provide demokrasi ya vyama vingi ila kwa mipaka. Hata huko America kwa Adam Smith hili liko wazi. Rais ni Joe Biden. Fanyeni siasa za kimkakati.
Yaani turuhusu tu mtu siku kaamka aandamane au afanye mikutano kukata stress zake, no way! Magufuli was right and our dear President Samia yuko sahihi pia.
CCM hapa ndipo mkiwa kwenye vikao vyenu huwa mnajidanganyaga...acheni uwoga kama mnapedwa kweli hofu ya nini? Mtaomba poo kwa marais wawasaidie mpaka lini? Yaani ni sawa na toto la miaka 45 linasubiri msosi kwa baba na mama.Acheni kupotosha. Hakuna demokrasia isiyokuwa na mipaka.
Kama ni hivyo, huo ni udhaifu mkubwa tu.Binafsi nahisi Mama hakutarajia Kama kwenye ule mkutano atakutana na swali la namna ile ndio maana kujibu kwake Mpaka sasa kumeacha ukakasi mwingi Sana juu ya msimamo wake katika suala la demokrasia nchini au alikuwa na dhamira hiyo ila muda ulikuwa bado kuonesha makucha yake ila ghafla akakutana na suala hilo hivyo kuonesha ngozi yake ya asili ya nini anawaza.
Duh,Dawa ipo tarehe 1 kwenye katiba day, makombora tutayorusha nadhani atakuwa dikteta rasmi na sio sasa hivi anafanya kwa kujifichaficha
ni chadema wacha kukimbia kivuli wewe mjusi.Ni akili ndogo kuona kila hoja pingamizi inatoka CHADEMA, hapa tunajadili national agenda sio vikundi kama CCM na CHADEMA
hii ndio ccm tunayoijua,hakuna mtu alikuwa anaibadili nchi na ccm yenyewe kama magufuli.mkamdhihaki,mkamzomea na mbaya zaidi mkamshtaki kwa muumba,Mungu alivyo msikivu na kujua amaetupa mtu ambaye tunaona hatuna kazi naye akamchukua.Hili sio swala LA chadema wala CCM mambo yanayoendelea hapa Tanzania ni ya hovyo.