Wote wameingia kibahati na kutotarajia, Rais Samia hana jipya tena

Wote wameingia kibahati na kutotarajia, Rais Samia hana jipya tena

Hayati Magufuli a.k.a mwendazake aliwahi kukiri kuwa hakutarajia kuwa Rais wa awamu ya tano. Wengi tunakumbuka yaliyotokea, mpambano wa Membe na Lowassa ndio uliomzaa Magufuli kama suluhu ya kambi mbili pinzani ndani ya CCM wakati huo.

Mwendazake alipata heshima na makofi mengi ndani ya siku 100 kwa kauli mbiu ya kutumbua majipu, akapata na sifa nyingi bandia. Akageuza sifa, mapambio na heshima aliyopata kuwa sera ya nyongeza. Hakutaka tena kitu chochote mbadala,akalewa sifa na kuona hakuna Rais kama yeye wote waliomtangulia akawaona kama wezi na wanyang'anyi!
Naona nyumbu mnabwabwaja tu, wacheni kazi ziendelee.
 
Mmelipa jina gani nalo?
Muda mchafu huo ninao basi?

Kazi za watu hizo.

Mimi nilishapiga kura kwa miguu miaka mingi, hapa nachagiza tu masmo ya uraia, uchumi, historia, anthropojia na sosholojia.
 
Muda mchafu huo ninao basi?

Kazi za watu hizo.

Mimi nilishapiga kura kwa miguu miaka mingi, hapa nachagiza tu masmo ya uraia, uchumi, historia, anthropojia na sosholojia.
Siyo suala la muda. .Kama huna jibu hukuwa na haja ya kutoa madai ambayo nayo hayana msingi hata kidogo kwa vile hujalithibitisha hilo. Wakati wewe unapiga hayo mambo na wenzio wanajua mengi tu tena kuliko hayo. Hata hivyo nikiangalia jina lako sishangai kwani kiranga kinaponza.
 
Watanzania ujuaji mwingi. Kila mtu anasema lake. Kiongozi mzuri lazima uzibe masikio. Ni bora ukosee kwa kuamua kwa utashi wako, kuliko kelele za mitandaoni. Tuko hovyo sana, kila mtu anajifanya anajua. Wazee wa miruzi mingi!
Jenga hoja, acha viroja.

Rais kachemka, halafu kachemka kitoto.

Yani ile mpaka makala ya fake news ya kujifukiza Covid-19 katupiga nayo.

Bahati yake kama alivyosemq Watanzania wengi warahimu sana.
 

Wewe unajua kusoma kwa ufahamu?

Umejua lini?
 
Du sikujua kuwa kumbe ninayejibishana naye ni kiranga kitupu! Nimeshindwa mie yakhe.
Usikimbie hapa.

What first assertion you lazy calcified cretin?

What are you talking about you morose moron?
 
Hayati Magufuli a.k.a mwendazake aliwahi kukiri kuwa hakutarajia kuwa Rais wa awamu ya tano. Wengi tunakumbuka yaliyotokea, mpambano wa Membe na Lowassa ndio uliomzaa Magufuli kama suluhu ya kambi mbili pinzani ndani ya CCM wakati huo.

Mwendazake alipata heshima na makofi mengi ndani ya siku 100 kwa kauli mbiu ya kutumbua majipu, akapata na sifa nyingi bandia. Akageuza sifa, mapambio na heshima aliyopata kuwa sera ya nyongeza. Hakutaka tena kitu chochote mbadala,akalewa sifa na kuona hakuna Rais kama yeye wote waliomtangulia akawaona kama wezi na wanyang'anyi!

Kwa kawaida ya kimaumbile ya IQ ndogo, mwanadamu wa IQ ndogo anapofikia hatua aliyofikia mwendazake ya kulewa sifa huwa hataki kushuka wala kukosolewa. Matokeo ni kwamba kila anaekosoa anashughulikiwa, amri na ubabe utawala, sheria nazo uonekana ni adui mwingine ivyo mtoto anaezaliwa ni uundaji wa vikundi vya kiharifu vinavyolindwa na serikali kushughulika na wapinzani ili kulinda heshima ya Rais na sio katiba aliyoapia kuilinda. Baadae anazaliwa mtoto wa pili yaani udikteta!

Nimemsikia jana Rais Samia anaelekea kwa kasi kuumba kile kile cha mwendazake. Sasa anaona heshima yake ni bora kuliko katiba na matakwa ya wananchi. Kauli yake kuwa suala la katiba kusubiri uchumi ukue, utajiuliza je unaweza kupata maendeleo bila katiba yenye kukubaliwa na wengi? Kwa nini watu wasiwe huru kufanya mikutano kama katiba ya sasa inavyosema? Je kauli ya Rais kuweka masharti ya uhuru wa mikutano umezingtia sheria ipi inayozidi katiba au ni kauli binafsi tu kama ya mwendazake? Ni wazi ameanza kupingwa sana.

Sasa ni dhahiri mama kalewa sifa. Atapingwa. Ataanza kulinda sifa hizo na heshima aliyopewa kwa gharama, ivyo ataunda vikundi haramu kushughulika na wanaompinga, akina Sabaya wapya tuwatarajie!

USHAURI: Rais Samia aondokane na chawa wa mwendazake, achague upande wa wananchi na sio kikundi cha wachache wenye kulenga maslahi binafsi, atapata heshima ya kweli na ya kudumu badala ya hii heshima ya bandia na ya muda mfupi.
Imechukua siku 101 kwa CHADEMA kujua kwamba awamu ya sita ni Ext ya awamu ya tano! Raisi Samia anatekeleza ilani ya CCM MPYA iliyo asisiwa na Magufuli - katika kutangaza kuua upinzani Raisi Samia alikuwa makamu wa Rais. Hajakanusha azma hiyo. Upinzani, you are dead! And please stay dead.
 
Hayati Magufuli a.k.a mwendazake aliwahi kukiri kuwa hakutarajia kuwa Rais wa awamu ya tano. Wengi tunakumbuka yaliyotokea, mpambano wa Membe na Lowassa ndio uliomzaa Magufuli kama suluhu ya kambi mbili pinzani ndani ya CCM wakati huo.

Mwendazake alipata heshima na makofi mengi ndani ya siku 100 kwa kauli mbiu ya kutumbua majipu, akapata na sifa nyingi bandia. Akageuza sifa, mapambio na heshima aliyopata kuwa sera ya nyongeza. Hakutaka tena kitu chochote mbadala,akalewa sifa na kuona hakuna Rais kama yeye wote waliomtangulia akawaona kama wezi na wanyang'anyi!

Kwa kawaida ya kimaumbile ya IQ ndogo, mwanadamu wa IQ ndogo anapofikia hatua aliyofikia mwendazake ya kulewa sifa huwa hataki kushuka wala kukosolewa. Matokeo ni kwamba kila anaekosoa anashughulikiwa, amri na ubabe utawala, sheria nazo uonekana ni adui mwingine ivyo mtoto anaezaliwa ni uundaji wa vikundi vya kiharifu vinavyolindwa na serikali kushughulika na wapinzani ili kulinda heshima ya Rais na sio katiba aliyoapia kuilinda. Baadae anazaliwa mtoto wa pili yaani udikteta!

Nimemsikia jana Rais Samia anaelekea kwa kasi kuumba kile kile cha mwendazake. Sasa anaona heshima yake ni bora kuliko katiba na matakwa ya wananchi. Kauli yake kuwa suala la katiba kusubiri uchumi ukue, utajiuliza je unaweza kupata maendeleo bila katiba yenye kukubaliwa na wengi? Kwa nini watu wasiwe huru kufanya mikutano kama katiba ya sasa inavyosema? Je kauli ya Rais kuweka masharti ya uhuru wa mikutano umezingtia sheria ipi inayozidi katiba au ni kauli binafsi tu kama ya mwendazake? Ni wazi ameanza kupingwa sana.

Sasa ni dhahiri mama kalewa sifa. Atapingwa. Ataanza kulinda sifa hizo na heshima aliyopewa kwa gharama, ivyo ataunda vikundi haramu kushughulika na wanaompinga, akina Sabaya wapya tuwatarajie!

USHAURI: Rais Samia aondokane na chawa wa mwendazake, achague upande wa wananchi na sio kikundi cha wachache wenye kulenga maslahi binafsi, atapata heshima ya kweli na ya kudumu badala ya hii heshima ya bandia na ya muda mfupim

Hayati Magufuli a.k.a mwendazake aliwahi kukiri kuwa hakutarajia kuwa Rais wa awamu ya tano. Wengi tunakumbuka yaliyotokea, mpambano wa Membe na Lowassa ndio uliomzaa Magufuli kama suluhu ya kambi mbili pinzani ndani ya CCM wakati huo.

Mwendazake alipata heshima na makofi mengi ndani ya siku 100 kwa kauli mbiu ya kutumbua majipu, akapata na sifa nyingi bandia. Akageuza sifa, mapambio na heshima aliyopata kuwa sera ya nyongeza. Hakutaka tena kitu chochote mbadala,akalewa sifa na kuona hakuna Rais kama yeye wote waliomtangulia akawaona kama wezi na wanyang'anyi!

Kwa kawaida ya kimaumbile ya IQ ndogo, mwanadamu wa IQ ndogo anapofikia hatua aliyofikia mwendazake ya kulewa sifa huwa hataki kushuka wala kukosolewa. Matokeo ni kwamba kila anaekosoa anashughulikiwa, amri na ubabe utawala, sheria nazo uonekana ni adui mwingine ivyo mtoto anaezaliwa ni uundaji wa vikundi vya kiharifu vinavyolindwa na serikali kushughulika na wapinzani ili kulinda heshima ya Rais na sio katiba aliyoapia kuilinda. Baadae anazaliwa mtoto wa pili yaani udikteta!

Nimemsikia jana Rais Samia anaelekea kwa kasi kuumba kile kile cha mwendazake. Sasa anaona heshima yake ni bora kuliko katiba na matakwa ya wananchi. Kauli yake kuwa suala la katiba kusubiri uchumi ukue, utajiuliza je unaweza kupata maendeleo bila katiba yenye kukubaliwa na wengi? Kwa nini watu wasiwe huru kufanya mikutano kama katiba ya sasa inavyosema? Je kauli ya Rais kuweka masharti ya uhuru wa mikutano umezingtia sheria ipi inayozidi katiba au ni kauli binafsi tu kama ya mwendazake? Ni wazi ameanza kupingwa sana.

Sasa ni dhahiri mama kalewa sifa. Atapingwa. Ataanza kulinda sifa hizo na heshima aliyopewa kwa gharama, ivyo ataunda vikundi haramu kushughulika na wanaompinga, akina Sabaya wapya tuwatarajie!

USHAURI: Rais Samia aondokane na chawa wa mwendazake, achague upande wa wananchi na sio kikundi cha wachache wenye kulenga maslahi binafsi, atapata heshima ya kweli na ya kudumu badala ya hii heshima ya bandia na ya muda mfupi.
Ebu nikupe ufafanuzi wa hoja yako.Rais wa Tanzania alikuwa awe Edward Moringe Sokoine.Huyu alikufa akiwa wazir mkuu.Mwinyi akaingia kwa bahati.Mwaka 1995 Rais alikuwa awe Dr Salim Ahemed Salim.Lakin alikuwa katibu mkuu wa OAU.Mkapa akawa Rais kwa bahati.Mwaka2005 Kikwete asingekuwa Rais.Kama Nyerere asingekufa mapema.Magufuli aliingia kwa mchakato sio bahati.Samia ameingia kwa bahati.
 
Kama ni hivyo, huo ni udhaifu mkubwa tu.

Alitakiwa kujiandaa, alitakiwa kufanya mock interview na watu wa Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu. Yani angekaa Ikulu na ile team yake, halafu ile team yake inajifanya kama waandishi wa habari, wanampiga maswali yote vigongo. Anawajibu, wanamnoa, akikosea wanamrekebisha, wanamnoa, mpaka anakuwa kaweza vizuri.

Hawa viongozi wa nchi zilizoendelea kina Obama mara nyingine wanaonekana wana akili saaana, kumbe ni suala la kujiandaa vizuri tu na timu zao, kufanya hizi mock interviews, halafu wanarudia majibu waliyokariri.Wanaonekana kama wamesema palepale, ma genius.Kumbe walishajiandaa kitambo tu.

Kuna muandishi mmoja wa John Fitzgerald Kennedy, rais wa zamani wa Marekani, huyo jamaa alikuwa anaitwa Ted Sorensen. Ted Sorensen alikuwa anafanya hizi mock interviews na Kennedy, anajua positions za Kennedy, anajua majibu ya Kennedy, mpaka watu wakasema Sorensen ni kama ubongo wa pili wa Kennedy, unaweza kupata jibu la Kennedy kwa kumuuliza swali Sorensen.

Watu wanafanya kazi kitaasisi zaidi, kwa kuangalia sheria na policy zaidi, si kwa rais kujibu kitu kutoka kichwani hapo hapo tu.

Angefanya mock interview.Halafu baadaye akija kuwa na waandishi wa habari wa kweli, maswali mengi huwa yanajirudia yale yale muhimu, kwa hivyo, na yeye kama kajiandaa vizuri, anakuwa anarudia tu majibu ambayo kashayafanyia mazoezi.

Kwa mtindo huu, rais anakuwa hatoi kitu kichwani hapo hapo anapoulizwa swali, majibu yake yanakuwa yamepitiwa kitaasisi na Ikulu.

Hiki ni kitu muhimu sana, hususan kwa rais mpya ambaye hajazoea urais bado.

Sasa, inaonekana hajajiandaa. Na inawezekana ikawa si vibaya sana, wanasema kosa moja haliachishi mke. Lakini, hofu yangu ni kwamba kuna utamaduni wa kutojiandaa.

Amesema mwenyewe kwamba hakujiandaa kuwa rais, alijiandaa kuwa makamu wa rais.

Hili jambo linaonesha huyu hata kazi ya umakamu wa rais haielewi.

Ukisema hujajiandaa kuwa rais, umejiandaa kuwa makamu wa rais, kimsingi, maana yake ni kwamba, hata huo umakamu wa rais hujajiandaa nao.

Kwa sababu, makamu wa rais ni mtu anayeweza kuwa rais wakati wowote.Ndiyo maana tukaweka kipengele cha kusema, makamu wa rais ni mgombea mwenza wa rais.Tunapomchagua rais hatumchagui mtu mmoja, tunamchagua rais na mgombea mwenza. Rais akipata matatizo asiweze kuongoza nchi, akiumwa au akifariki, makamu wa rais anachukua nchi mara moja.

Sasa ile habari ya kwamba hajajiandaa kuwa rais inaonesha nini? Hakujua kwamba makamu wa rais anaweza kuwa rais siku yoyote? Au ndiyo fake modesty tu ambayo inakuwa inaonesha lack of depth?

Kama mtu anashindwa kujiandaa kujibu vizuri maswali mepesi ya waandishi wa habari wa Tanzania wenye heshima kubwa na woga mwingi, ataweza kwenda kujadiliana mambo kwenye mikutano ya kimataifa?

Ataweza kumpinga rais wa Marekani kama Nyerere alivyompinga Ronald Reagan Cancun Mexico mwaka 1981? (soma hapa)

Hebu soma, New York Times wameaandika kistaarabu sana Nyerere alivyomjibu Reagan, lakini ilibidi Reagan apate msaada wa Margareth Thatcher, huku Nyerere akiwa upande mmoja na Prime Minister Trudeau wa Canada, baba yake na Prime Minister wa sasa, Justin Trudeau.

Rais Samia Suluhu Hassan, akishindwa kujibu maswali yanayoitwa "softball" ya waandishi habari wa Tanzania, ataweza kumpandishia Waziri Mkuu wa Uingereza kama rais Benjamin William Mkapa alivyompandishia Tony Blair kuhusu Zimbabwe at the Commonwealth Heads of Government Meeting Australia in 2001, mpaka Blair akamuweka Mkapa kwenye tume zake huko ili kumfanya awe rafiki yake wa karibu? (soma hapa)

Kama Rais Samia Suluhu Hassan anashindwa kujibu maswali ya waandishi rafiki wa habari wa Tanzania, ataweza kwenda kwenye show ya kibabe ya HardTalk na Stephen Sackur kujibu maswali ya "kumkoma nyani giladi"?

Anataka kufyungua nchi, ku deal na international media, kwa style hii ya ku quote article ya fake news kuhusu Coronavirus?
Binafsi naona Kama taifa Kuna shida ya kuandaa viongozi hasa katika nafasi kubwa Kama urais na udhaifu huu ndo matunda yake ndo haya tunayo yaona majibu ya mkuu wa nchi yanatofautiana pia na kile kilichopo katika katiba hivyo kuonesha kwamba taifa linaongozwa kwa hisia binafsi za mtu na sio sheria na kanuni zilizopo.

Pia rais Mama Samia Mara kadhaa ameonesha kuwa na mtu mwenye kubadilika badilika hasa kwenye maamuzi yake hii sio ishara nzuri kwa kiongozi wa nchi maana inaonesha sio mtu wa msimamo thabiti juu ya baadhi ya vitu rejea teuzi panga pangua pia rais anaonekana kama Mpaka sasa hajiamini Kama rais wa nchi maana baadhi ya kauli zake zimekuwa zikithibitisha hili.

Na rais inaonesha kazungukwa na watu ambao sio sahihi hasa katika kumpanga kuwa Kama rais kwenye hotuba na majibu yake pia.
 
Kwenye msiba wa Reginald Mengi, Dr. Bashiru alisema neno zito sana alipomuombea msamaha Paul Makonda, baada ya Paul Makonda kuharibu speech ndogo tu ya eulogy msibani.

Alisema CCM hapa katikati imeacha kuandaa vijana. Alisema kisiasa, lakini ile kauli imehusu zaidi ya vijana. CCM imepoteza dira na muelekeo siku nyingi kama alivyosema Dr. Horace Kolimba

In fact hata kitabu cha Nyerere alichomuandikia Mwinyi kuhusu kuvunja katiba kilionesha Mwinyi alipewa nafasi kugomnea urais kabla ya kuandaliwa vizuri.
Mkuu hivi uko uliko wanatumia mbinu gani hasa katika kumpata rais wa nchi? Maana kwetu ni aibu kubwa mtu ni rais alafu anakiri wazi kabisa tena bila aibu kwamba "sikujiandaa kuwa rais" hili ni jambo la ajabu Sana

Na kwa ushauri wako nini kifanyike ili tusipate watu ambao viatu vya uraisi haviwatoshi wasipewa nafasi
 
Mkuu hivi uko uliko wanatumia mbinu gani hasa katika kumpata rais wa nchi? Maana kwetu ni aibu kubwa mtu ni rais alafu anakiri wazi kabisa tena bila aibu kwamba "sikujiandaa kuwa rais" hili ni jambo la ajabu Sana

Na kwa ushauri wako nini kifanyike ili tusipate watu ambao viatu vya uraisi haviwatoshi wasipewa nafasi
Mkuu hawa wanasiasa baba yao mmoja.

Huku tushakuwa na rais Trump kashasema anaweza kumpiga risasi mtu katikati ya New York City, halafu washabiki wake watampigia kura tu.

Hiyo kauli nimeichekecha sasa sijui ndiyo anaonesha kujishusha tumuone kiongozi mzuri anajishusha.

Yani kawa running mate hajajitayarisha kuwa rais?

Alikuwq anajua hata wajibu wa Makamu wa Rais?

Au alikuwa anaandikiwa tu mambo?
 
Mkuu hawa wanasiasa baba yao mmoja.

Huku tushakuwa na rais Trump kashasema anaweza kumpiga risasi mtu katikati ya New York City, halafu washabiki wake watampigia kura tu.

Hiyo kauli nimeichekecha sada sijui ndiyo anaonesha kujishusha tumuone kiongozi mzuri anajishusha.

Yani kawa running mate hajajitayarisha kuwa rais?

Alikuwq anajua hata wajibu wa Makamu wa Rais?

Au alikuwa anaandikiwa tu mambo?
Kwa dalili ambazo anaonesha ni wazi kwamba alikuwa VP jina haja majukumu yake kikatiba alikuwa hajui huwezi kuwa VP alafu ukawa rais ukasema hukutajia hili Ni tatizo

Ninaweza ungana na kauli ya Dr.Ali Bashiru Kuna tatizo katika kuandaa viongozi.
 
Huyu mama anakoelekea atakuwa kiongozi wa hovyo kuliko 7ya
 
Naunga mkono hoja!

Bila kuwekewa breki huyu naye kuna chance akageuka dikteta mwenye kung'ata kimyakimya!

Rais asiyependa udikteta angekuwa wa kwanza kuishughulikia hii katiba ya mwaka 1977 ambayo ni ya kidikteta mchana kweupe.

Ukiona rais anajivutavuta kusolve tatizo la katiba hii basi ujue kanogewa na madaraka na anaona bora aikumbatie tu hii katiba inayowafanya miunguwatu!
 
Kama ni hivyo, huo ni udhaifu mkubwa tu.

Alitakiwa kujiandaa, alitakiwa kufanya mock interview na watu wa Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu. Yani angekaa Ikulu na ile team yake, halafu ile team yake inajifanya kama waandishi wa habari, wanampiga maswali yote vigongo. Anawajibu, wanamnoa, akikosea wanamrekebisha, wanamnoa, mpaka anakuwa kaweza vizuri.

Hawa viongozi wa nchi zilizoendelea kina Obama mara nyingine wanaonekana wana akili saaana, kumbe ni suala la kujiandaa vizuri tu na timu zao, kufanya hizi mock interviews, halafu wanarudia majibu waliyokariri.Wanaonekana kama wamesema palepale, ma genius.Kumbe walishajiandaa kitambo tu.

Kuna muandishi mmoja wa John Fitzgerald Kennedy, rais wa zamani wa Marekani, huyo jamaa alikuwa anaitwa Ted Sorensen. Ted Sorensen alikuwa anafanya hizi mock interviews na Kennedy, anajua positions za Kennedy, anajua majibu ya Kennedy, mpaka watu wakasema Sorensen ni kama ubongo wa pili wa Kennedy, unaweza kupata jibu la Kennedy kwa kumuuliza swali Sorensen.

Watu wanafanya kazi kitaasisi zaidi, kwa kuangalia sheria na policy zaidi, si kwa rais kujibu kitu kutoka kichwani hapo hapo tu.

Angefanya mock interview.Halafu baadaye akija kuwa na waandishi wa habari wa kweli, maswali mengi huwa yanajirudia yale yale muhimu, kwa hivyo, na yeye kama kajiandaa vizuri, anakuwa anarudia tu majibu ambayo kashayafanyia mazoezi.

Kwa mtindo huu, rais anakuwa hatoi kitu kichwani hapo hapo anapoulizwa swali, majibu yake yanakuwa yamepitiwa kitaasisi na Ikulu.

Hiki ni kitu muhimu sana, hususan kwa rais mpya ambaye hajazoea urais bado.

Sasa, inaonekana hajajiandaa. Na inawezekana ikawa si vibaya sana, wanasema kosa moja haliachishi mke. Lakini, hofu yangu ni kwamba kuna utamaduni wa kutojiandaa.

Amesema mwenyewe kwamba hakujiandaa kuwa rais, alijiandaa kuwa makamu wa rais.

Hili jambo linaonesha huyu hata kazi ya umakamu wa rais haielewi.

Ukisema hujajiandaa kuwa rais, umejiandaa kuwa makamu wa rais, kimsingi, maana yake ni kwamba, hata huo umakamu wa rais hujajiandaa nao.

Kwa sababu, makamu wa rais ni mtu anayeweza kuwa rais wakati wowote.Ndiyo maana tukaweka kipengele cha kusema, makamu wa rais ni mgombea mwenza wa rais.Tunapomchagua rais hatumchagui mtu mmoja, tunamchagua rais na mgombea mwenza. Rais akipata matatizo asiweze kuongoza nchi, akiumwa au akifariki, makamu wa rais anachukua nchi mara moja.

Sasa ile habari ya kwamba hajajiandaa kuwa rais inaonesha nini? Hakujua kwamba makamu wa rais anaweza kuwa rais siku yoyote? Au ndiyo fake modesty tu ambayo inakuwa inaonesha lack of depth?

Kama mtu anashindwa kujiandaa kujibu vizuri maswali mepesi ya waandishi wa habari wa Tanzania wenye heshima kubwa na woga mwingi, ataweza kwenda kujadiliana mambo kwenye mikutano ya kimataifa?

Ataweza kumpinga rais wa Marekani kama Nyerere alivyompinga Ronald Reagan Cancun Mexico mwaka 1981? (soma hapa)

Hebu soma, New York Times wameaandika kistaarabu sana Nyerere alivyomjibu Reagan, lakini ilibidi Reagan apate msaada wa Margareth Thatcher, huku Nyerere akiwa upande mmoja na Prime Minister Trudeau wa Canada, baba yake na Prime Minister wa sasa, Justin Trudeau.

Rais Samia Suluhu Hassan, akishindwa kujibu maswali yanayoitwa "softball" ya waandishi habari wa Tanzania, ataweza kumpandishia Waziri Mkuu wa Uingereza kama rais Benjamin William Mkapa alivyompandishia Tony Blair kuhusu Zimbabwe at the Commonwealth Heads of Government Meeting Australia in 2001, mpaka Blair akamuweka Mkapa kwenye tume zake huko ili kumfanya awe rafiki yake wa karibu? (soma hapa)

Kama Rais Samia Suluhu Hassan anashindwa kujibu maswali ya waandishi rafiki wa habari wa Tanzania, ataweza kwenda kwenye show ya kibabe ya HardTalk na Stephen Sackur kujibu maswali ya "kumkoma nyani giladi"?

Anataka kufyungua nchi, ku deal na international media, kwa style hii ya ku quote article ya fake news kuhusu Coronavirus?
Umeacha somo kubwa sana hapa, tatizo nahisi hata wasaidizi wake wanaweza kuwa na kale ka-uoga fulani cha kumshauri Rais nini afanye ili aendane na wakati na majukumu yake mapya.

Rais anaonekana ni msikivu, tatizo ni je, hao wasaidizi wake wako creative enough kwenye hizo nafasi zao? au ndio wale ndio mzee bora mkono uende kinywani tu.

Juu umezumngumzia Mkapa alikuwa na wasaidizi wazuri waliokuwa wanamuandalia hotuba mpaka akaonekana bora kwenye hiyo nafasi, hao wasaidizi wako wapi siku hizi? Mkapa aliwapata wapi au waliteuliwa na nani? au taalauma ya Mkapa ya uandishi wa habari ilimsaidia kwenye hilo, sijui.

Haya mambo yanatakiwa kuwa solved mapema ili maisha yake ikulu yaende vizuri mbele ya safari, mwenyewe nilihisi inawezekana lile jibu alilotoa Samia kuhusu mikutano ya siasa hakujua kama lingeleta sintofahamu kubwa namna hii.

Naamini kuna wakati mtu anapoulizwa swali ambalo hakulitarajia anaweza jikuta anatoa jibu ambalo hajatarajia pia, hasa kutokana na madhaifu yake uliyoainisha kule juu ( thinking ability ).
 
Back
Top Bottom