Wote wameingia kibahati na kutotarajia, Rais Samia hana jipya tena

ni chadema wacha kukimbia kivuli wewe mjusi.

mbona nyinyi kila aliyempinga mtu kabla mlimwita mataga??
Kwani ata nikiwa CHADEMA kuna shida?
Ni chama pekee chenye uthubutu na watu makini sana,najivunia sana hili chama. CCM ata ukiwa kiongozi mazuri au ata ukiwa profesa utaonekana kama mwehu wa barabarani sababu ya kundi la watu wa ovyo wasio na akili hasa vijana
 
Hahaha kwani si nyie mlisema mama anaponya nchi, leo imekuaje Bavicha??
 
aliyekwambia chadema wote wanawakilishwa na vijana wasomi na wenye uthubutu nani!!!

endelea kujivunia dhahania,lakini ukweli ni kwamba ni kama kundi la nyumbu wanaosikiliza na kwenda na kila hoja ya anayepingana na serikali.
 
aliyekwambia chadema woye wanawakilishwa na vijana wasomi na wenue uthubutu nani!!!

endelea kujivunia thahania,lakini ukweli ni kwamba ni kama kundi la wadudu wanaosikiliza na kwenda na kila hoja ya anayepingana na serikali.
Kuandika tu haujui,akili utaitoa wapi?
Unachoandika hakieleweki 🚮🚮
 
Mkuu samahani masahihisho kidogo

Kwenye ANA = HANA

All in all naunga mkono
 
Mkuu samahani masahihisho kidogo

Kwenye ANA = HANA

All in all naunga mkono
"ana uwezo mdogo wa kufikiri".

Maana yake hana uwezo mkubwa wa kufikiri.

Ukisema hana uwezo mdogo wa kufikiri sasa unataka kumuondolea kabisa uwezo wa kufikiri.

Mbakishie kidogo Rais wetu, katutoa mbali ujue kwenye matusi yale ya maneno ya kunya ya mwendazake.
 
Jamaa una "Reasoning" ya hatari sana cief
 
Tz ilikuwa na sifa ya kuandaa viongozi wake, na wa nchi jirani. Sijui nini kilitokea : Mwendazake hakujiandaa (akimaanisha kuwa hakuandaliwa), mama naye nasikia mapichapicha. Something fishy!!!
Itakuja tokea kweli kuwa na kiongozi akipanda mimbari ya UN/Common Weakth/AU anatoa speech inayokata usingizi na uchovu.
 
Mkuu nasisitiza tulie nae sio halisi ni SHADOW.

Ukitaka kujua mwenyewe halisi leo 29/6/2021 amekabidhiwa MPANGO WA TATU WA MAENDELEO WA TAIFA na waziri mkuu.
 
Nakusoma mkuu wangu 'misasa'.

Sasa sijui itakuwaje; maana yaliyomwagika yamemwagika!
Mkuu tusisubirie yamwagike zaidi maana itakuwa majuto ni mjukuu.

Huyu atakuwa KIVULI tunatakiwa tuingie kiundani tumjue halisi ni nani? Inawezekana tunampa lawama sio zake kumbe kuna watu wamerudi kwa mlango wa nyuma.
 
Katiba inayotafutwa lazima iseme Tena kwa herufi kubwa "NI MARUFUKU KWA MTU KUSUKUMIZWA URAIS"
Hahaha

Na akisukumizwa je? Nashauri hicho kipengele kiwe kwenye ukurasa wa kwanza mkuu.😂😂😂😂
 
Unataka kuniambia kuna gang jingine linakuja? Kazi kweli kweli.
 
Kwenye msiba wa Reginald Mengi, Dr. Bashiru alisema neno zito sana alipomuombea msamaha Paul Makonda, baada ya Paul Makonda kuharibu speech ndogo tu ya eulogy msibani.

Alisema CCM hapa katikati imeacha kuandaa vijana. Alisema kisiasa, lakini ile kauli imehusu zaidi ya vijana. CCM imepoteza dira na muelekeo siku nyingi kama alivyosema Dr. Horace Kolimba

In fact hata kitabu cha Nyerere alichomuandikia Mwinyi kuhusu kuvunja katiba kilionesha Mwinyi alipewa nafasi kugomnea urais kabla ya kuandaliwa vizuri.
 
Watanzania ujuaji mwingi. Kila mtu anasema lake. Kiongozi mzuri lazima uzibe masikio. Ni bora ukosee kwa kuamua kwa utashi wako, kuliko kelele za mitandaoni. Tuko hovyo sana, kila mtu anajifanya anajua. Wazee wa miruzi mingi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…