Wote wameingia kibahati na kutotarajia, Rais Samia hana jipya tena

Naona nyumbu mnabwabwaja tu, wacheni kazi ziendelee.
 
Mmelipa jina gani nalo?
Muda mchafu huo ninao basi?

Kazi za watu hizo.

Mimi nilishapiga kura kwa miguu miaka mingi, hapa nachagiza tu masmo ya uraia, uchumi, historia, anthropojia na sosholojia.
 
Muda mchafu huo ninao basi?

Kazi za watu hizo.

Mimi nilishapiga kura kwa miguu miaka mingi, hapa nachagiza tu masmo ya uraia, uchumi, historia, anthropojia na sosholojia.
Siyo suala la muda. .Kama huna jibu hukuwa na haja ya kutoa madai ambayo nayo hayana msingi hata kidogo kwa vile hujalithibitisha hilo. Wakati wewe unapiga hayo mambo na wenzio wanajua mengi tu tena kuliko hayo. Hata hivyo nikiangalia jina lako sishangai kwani kiranga kinaponza.
 
Watanzania ujuaji mwingi. Kila mtu anasema lake. Kiongozi mzuri lazima uzibe masikio. Ni bora ukosee kwa kuamua kwa utashi wako, kuliko kelele za mitandaoni. Tuko hovyo sana, kila mtu anajifanya anajua. Wazee wa miruzi mingi!
Jenga hoja, acha viroja.

Rais kachemka, halafu kachemka kitoto.

Yani ile mpaka makala ya fake news ya kujifukiza Covid-19 katupiga nayo.

Bahati yake kama alivyosemq Watanzania wengi warahimu sana.
 

Wewe unajua kusoma kwa ufahamu?

Umejua lini?
 
Du sikujua kuwa kumbe ninayejibishana naye ni kiranga kitupu! Nimeshindwa mie yakhe.
Usikimbie hapa.

What first assertion you lazy calcified cretin?

What are you talking about you morose moron?
 
Imechukua siku 101 kwa CHADEMA kujua kwamba awamu ya sita ni Ext ya awamu ya tano! Raisi Samia anatekeleza ilani ya CCM MPYA iliyo asisiwa na Magufuli - katika kutangaza kuua upinzani Raisi Samia alikuwa makamu wa Rais. Hajakanusha azma hiyo. Upinzani, you are dead! And please stay dead.
 

Ebu nikupe ufafanuzi wa hoja yako.Rais wa Tanzania alikuwa awe Edward Moringe Sokoine.Huyu alikufa akiwa wazir mkuu.Mwinyi akaingia kwa bahati.Mwaka 1995 Rais alikuwa awe Dr Salim Ahemed Salim.Lakin alikuwa katibu mkuu wa OAU.Mkapa akawa Rais kwa bahati.Mwaka2005 Kikwete asingekuwa Rais.Kama Nyerere asingekufa mapema.Magufuli aliingia kwa mchakato sio bahati.Samia ameingia kwa bahati.
 
Binafsi naona Kama taifa Kuna shida ya kuandaa viongozi hasa katika nafasi kubwa Kama urais na udhaifu huu ndo matunda yake ndo haya tunayo yaona majibu ya mkuu wa nchi yanatofautiana pia na kile kilichopo katika katiba hivyo kuonesha kwamba taifa linaongozwa kwa hisia binafsi za mtu na sio sheria na kanuni zilizopo.

Pia rais Mama Samia Mara kadhaa ameonesha kuwa na mtu mwenye kubadilika badilika hasa kwenye maamuzi yake hii sio ishara nzuri kwa kiongozi wa nchi maana inaonesha sio mtu wa msimamo thabiti juu ya baadhi ya vitu rejea teuzi panga pangua pia rais anaonekana kama Mpaka sasa hajiamini Kama rais wa nchi maana baadhi ya kauli zake zimekuwa zikithibitisha hili.

Na rais inaonesha kazungukwa na watu ambao sio sahihi hasa katika kumpanga kuwa Kama rais kwenye hotuba na majibu yake pia.
 
Mkuu hivi uko uliko wanatumia mbinu gani hasa katika kumpata rais wa nchi? Maana kwetu ni aibu kubwa mtu ni rais alafu anakiri wazi kabisa tena bila aibu kwamba "sikujiandaa kuwa rais" hili ni jambo la ajabu Sana

Na kwa ushauri wako nini kifanyike ili tusipate watu ambao viatu vya uraisi haviwatoshi wasipewa nafasi
 
Mkuu hawa wanasiasa baba yao mmoja.

Huku tushakuwa na rais Trump kashasema anaweza kumpiga risasi mtu katikati ya New York City, halafu washabiki wake watampigia kura tu.

Hiyo kauli nimeichekecha sasa sijui ndiyo anaonesha kujishusha tumuone kiongozi mzuri anajishusha.

Yani kawa running mate hajajitayarisha kuwa rais?

Alikuwq anajua hata wajibu wa Makamu wa Rais?

Au alikuwa anaandikiwa tu mambo?
 
Kwa dalili ambazo anaonesha ni wazi kwamba alikuwa VP jina haja majukumu yake kikatiba alikuwa hajui huwezi kuwa VP alafu ukawa rais ukasema hukutajia hili Ni tatizo

Ninaweza ungana na kauli ya Dr.Ali Bashiru Kuna tatizo katika kuandaa viongozi.
 
Huyu mama anakoelekea atakuwa kiongozi wa hovyo kuliko 7ya
 
Naunga mkono hoja!

Bila kuwekewa breki huyu naye kuna chance akageuka dikteta mwenye kung'ata kimyakimya!

Rais asiyependa udikteta angekuwa wa kwanza kuishughulikia hii katiba ya mwaka 1977 ambayo ni ya kidikteta mchana kweupe.

Ukiona rais anajivutavuta kusolve tatizo la katiba hii basi ujue kanogewa na madaraka na anaona bora aikumbatie tu hii katiba inayowafanya miunguwatu!
 
Umeacha somo kubwa sana hapa, tatizo nahisi hata wasaidizi wake wanaweza kuwa na kale ka-uoga fulani cha kumshauri Rais nini afanye ili aendane na wakati na majukumu yake mapya.

Rais anaonekana ni msikivu, tatizo ni je, hao wasaidizi wake wako creative enough kwenye hizo nafasi zao? au ndio wale ndio mzee bora mkono uende kinywani tu.

Juu umezumngumzia Mkapa alikuwa na wasaidizi wazuri waliokuwa wanamuandalia hotuba mpaka akaonekana bora kwenye hiyo nafasi, hao wasaidizi wako wapi siku hizi? Mkapa aliwapata wapi au waliteuliwa na nani? au taalauma ya Mkapa ya uandishi wa habari ilimsaidia kwenye hilo, sijui.

Haya mambo yanatakiwa kuwa solved mapema ili maisha yake ikulu yaende vizuri mbele ya safari, mwenyewe nilihisi inawezekana lile jibu alilotoa Samia kuhusu mikutano ya siasa hakujua kama lingeleta sintofahamu kubwa namna hii.

Naamini kuna wakati mtu anapoulizwa swali ambalo hakulitarajia anaweza jikuta anatoa jibu ambalo hajatarajia pia, hasa kutokana na madhaifu yake uliyoainisha kule juu ( thinking ability ).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…