Wote wameingia kibahati na kutotarajia, Rais Samia hana jipya tena

tatizo ni UNAFIKI na kutaka kuonekana mwema kuliko mtangulizi wake.

Muda utaongea ATADHALILIKA TU.
 
Mkuu tusisubirie yamwagike zaidi maana itakuwa majuto ni mjukuu.

Huyu atakuwa KIVULI tunatakiwa tuingie kiundani tumjue halisi ni nani? Inawezekana tunampa lawama sio zake kumbe kuna watu wamerudi kwa mlango wa nyuma.
Nilijua wewe siyo mtu mwepesimwepesi kama hawa wengine tunaowaona humu JF kila siku wakipayuka bila kujua kitu wanachoshabikia.
 
Ni akili ndogo saaana kuona kila hoja pingamizi inatoka CHADEMA, hapa tunajadili national agenda sio vikundi kama CCM na CHADEMA
Mzee wa chibuku huko vema kwa kutema madini na kushusha nondo
 
Kama taifa bado tunasafari ndefu, ila yanamwisho ,
 
Kwa dalili ambazo anaonesha ni wazi kwamba alikuwa VP jina haja majukumu yake kikatiba alikuwa hajui huwezi kuwa VP alafu ukawa rais ukasema hukutajia hili Ni tatizo

Ninaweza ungana na kauli ya Dr.Ali Bashiru Kuna tatizo katika kuandaa viongozi.
Tatizo linakuja pale viongozi wanapopatikana kwa kuangalia uwezo wa kujipendekeza kuliko uwezo wa kazi.
 
Nilijua wewe siyo mtu mwepesimwepesi kama hawa wengine tunaowaona humu JF kila siku wakipayuka bila kujua kitu wanachoshabikia.
Uwa naangalia na kutafakari huku nikiwa natafiti hapa na pale.

Nina uhakika kwa asilimia kadhaa huyu tuliona nae amekuwa KIVULI sio halisi.

Au mkuu ujachungulia hilo?
 
Uwa naangalia na kutafakari huku nikiwa natafiti hapa na pale.

Nina uhakika kwa asilimia kadhaa huyu tuliona nae amekuwa KIVULI sio halisi.

Au mkuu ujachungulia hilo?
Nililiona mapema sana baada ya kuimbishwa nyimbo kwenye safari yake ya Nairobi na kutangaza "Nakwenda Kufungua Nchi."

Siku hiyo hiyo mashaka yangu yote kuhusu uongozi wake yaliondoka. Na baada ya hapo, kila siku inayopita inazidi kuonyesha kwamba huenda yeye akamzidi huyo anayemchezesha ngoma ambaye ndiye tunayemlaumu zaidi kwa sasa.
 
Mkuu mbona unaongea huku umeshika remote ya shemeji yako sebuleni? Hivi unaju katiba wewe. Au unasubiri shemeji yako azime taa ukapige chabo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mmeshindwa kuingia Ikulu mmekalia ramli tu. Upinzani ulishajifia kitambo zimebaki kelele tu, ni CCM tu mpaka 2050.
 
Nakusoma mkuu wangu 'misasa'.

Sasa sijui itakuwaje; maana yaliyomwagika yamemwagika!
Inabidi tubanane kwenda mbele kesho yasimwagike tena.

Yani ile one mistake one goal mpaka kila mtu anatia akili.

Ile sifa ya rais kusema "Watanzania ni watu warahimu sana" inaonekana nzuri, lakini si sifa nzuri.

Maana yake rais kashajijengea taswira kwamba Watanzania watu poa fulani hivi, wana mercy sana, hata ukiwakosea si watu wa ku mind.

Kwa mtaji huo, atafanya lolote, hatachukulia katiba seriously, kama anataka kupiga atapiga. Ndiyo hivyo unsona mfano kashaweka ndugu yake kwenye baraza.

Si Watanzania watu poa tu, watafanyaje?

Hawafanyi kitu.

Rais kashawachukulia poa tu.
 
Mmeshindwa kuingia Ikulu mmekalia ramli tu. Upinzani ulishajifia kitambo zimebaki kelele tu, ni CCM tu mpaka 2050.
Ndio maana tunadai katiba mpya...na itapatikana tu,enough is enough
 
Siku hizi inaniwia vigumu kutenganisha kati ya "waTanzania kuwa watu poa sana", na "waTanzania kuwa watu wajinga sana".

Nikitakiwa kueleza, huenda nitaandika kitabu kizima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…