Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mda ndio kila kitu, wacha tuiachie saa iamueaisee...nlifikiri mimi tuu ndio nimeona hilo! kwanza kwa promo alilompa huyo mke mtarajiwa kunatupa wasiwasi, ni kama vile labda hakuamini kama angempata......lakini mda ndio tiba ya haya mambo...kuna kitu tutakielewa tuu mda ukimbariki...and i hope i am wrong