kelvin complex
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 607
- 584
Analeta usela wakati sura inasuta umriHongera kwa Ay kuaga ukapera.watu walipendeza balaaa isipokuea GK aliharibu shughuli ya mwenzake kama hakuwa na nguo ya kuvaa ni bora angechill home tu.aliboa kishenzi
Wameishi wote miaka 10 na mtoto wamezaa ndoa inafungwa au inabarikiwa hapo
ETI NDOA INAFUNGWA AU INABARIKIWA ,IBARIKIWE KWANI IMELAANIWA.WAZAZI WAO WALISHAWABARIKI NA MUNGU ALISHAWABARIKI SIKU WALIPOAMUA MIOYONI MWAO NA KUBATA BARAKA ZA WAZAZI.SUALA LA PADRI AU MCHUNGAJI KUBARIKI TENA HIZO NI MBWEMBWE TU.NI KAMA VILE UNATAKA KUSAFIRI NYUMBANI UKAMUOMBA MUNGU AKULINDE,NJIANI UKAKUTANA NA KIONGOZI WA DINI NAYE AKAKUOBEA NA NDANI YA GARI MTU MWINGINE TENA AKAOMBA.SIJU HIYO NI NINI.
Uyo jikei kavaa nini? Wenzie suti fresh yeye bado ana uselaJikei nae alikuwepo jamaniiiii.....
Mfalme Juha nae dress code zake bwana, hivi kwa nini havuagi kofia huyu jamaa? Ana nini kichwani?Jikei nae alikuwepo jamaniiiii.....
Huyo jamaa hovyo kabisa. Uvaaji gani huo ktk tukio maalumu la mwenzie.Jikei nae alikuwepo jamaniiiii.....
Una akili boyaaa hujui ulisemalo.tatizo liko wapi hapo akisema ni mnyarwanda?? Hivi unajua hata hizo Rwanda na Burundi zilikua nchi moja na Tanganyika enzi hizo. Kichwa chako kimejaa mavi.. wivu tu.Ngoja niwape story ya huyo dada mnaemuita mnyarwanda..
Remy alizaliwa Karagwe na kukulia Karagwe(omurushaka)shule ya msingi amesoma tegemeo karagwe baba yake ni Mwarabu alikua hapo Karagwe miaka mingi ila kwa sasa anakaa Mwanza!!mama yake remmy na huyo Mwarabu waliachana wakiwa na watoto wawili,remmy naako kadada mnakokaona kwenye picha wakiwa wote,mamayake remmy alikua ni mkimbizi wa vita hivyo yeye ni mnyarwanda ambaye ndugu zake karibia wote wanakaa huku bongo, Karagwe!!sehemu moja inaitwa kwenda..
Baada ya kuachana na mmewake mama rehema(remmy)alirudi Rwanda huko aliolewa na askari polis mabaya mpka Leo wanaishi wote,huyo askari anaaminiwa sana kwenye serikali ya kagame so yuko vizuri ndo maana watoto wa huyo mama akina rehema vyuo wamesoma China,
Rehema sio mnyarwanda ni Mwarabu wa Karagwe.
Mama remmy aliwapindikiza mbengu mbaya sana watoto,watoto wanamchukia sana babayao kama mnavyojua ma single maza walivyo na visilani!!
Tafuta video ya wimbo wake unaitwa Nitakufaje, utamuona bila kofiaMfalme **** nae dress code zake bwana, hivi kwa nini havuagi kofia huyu jamaa? Ana nini kichwani?
Sidhani mkuu, Nakumbuka mule kavaa kikofia kidogo na kajifunga kitambaa kichwani sehemu zingineTafuta video ya wimbo wake unaitwa Nitakufaje, utamuona bila kofia
Itafute mkuu kuna sehemu nakumbuka kama amekaa makaburini hana kofiaSidhani mkuu, Nakumbuka mule kavaa kikofia kidogo na kajifunga kitambaa kichwani sehemu zingine
Hili faili limetoka kwa da mange wiki Kama Mika imeshapita.babaqe....wabongo mshamchimba,soon mtapeleka file kwa mange
Salha nnae geto we tuliaDhaaaaaaaa ndoto zang
Na mm n kuoa mnyaruanda
Ila naona zkififia tu dhaa!!
Salha popote ulipo
Yah ni kweli mkuu, nimeichek na kuna sehemu hana kofia ajiachie tu tumzoeeItafute mkuu kuna sehemu nakumbuka kama amekaa makaburini hana kofia
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Sijawahi muona physically pasipo kofia, kofia ni sehemu ya dressing style yake, kama bwana mdogo Millardayo naye mostly huwa na kofia, but sometimes structure ya kichwa huwafanya wasipende kujiexposeYah ni kweli mkuu, nimeichek na kuna sehemu hana kofia ajiachie tu tumzoee
Yote hayo yanini?Ngoja niwape story ya huyo dada mnaemuita mnyarwanda..
Remy alizaliwa Karagwe na kukulia Karagwe(omurushaka)shule ya msingi amesoma tegemeo karagwe baba yake ni Mwarabu alikua hapo Karagwe miaka mingi ila kwa sasa anakaa Mwanza!!mama yake remmy na huyo Mwarabu waliachana wakiwa na watoto wawili,remmy naako kadada mnakokaona kwenye picha wakiwa wote,mamayake remmy alikua ni mkimbizi wa vita hivyo yeye ni mnyarwanda ambaye ndugu zake karibia wote wanakaa huku bongo, Karagwe!!sehemu moja inaitwa kwenda..
Baada ya kuachana na mmewake mama rehema(remmy)alirudi Rwanda huko aliolewa na askari polis mabaya mpka Leo wanaishi wote,huyo askari anaaminiwa sana kwenye serikali ya kagame so yuko vizuri ndo maana watoto wa huyo mama akina rehema vyuo wamesoma China,
Rehema sio mnyarwanda ni Mwarabu wa Karagwe.
Mama remmy aliwapindikiza mbengu mbaya sana watoto,watoto wanamchukia sana babayao kama mnavyojua ma single maza walivyo na visilani!!
Duhh...KWANI YULE AMANI WA KENYA WALIACHANA?