Yaliyojiri harusi ya AY February 24,2018; Wasanii kibao akiwemo GK walialikwa

Sawa lakini G.K kazidi, hata kama bichwa baya wajiachie ili tuwazoee, ujue ukificha kitu ndo watu watataka kujua kwa nini unaficha
 
Kama baba ni dizaini ya JPM acha amchukie tu.
 
Huyu AY nadra sana kumsikia kwenye masuala ya Zinaa/ngono kama akina Diamond.Hongera sana kaka Yesaya kwa kupata mke.

Hua anapiga nyatu nyatu... Hivi unaweza sema Jeikei enzi zake hakua na makali kama ya Mzee Kipara?? Sema Jeikei yeye ni nyatu nyatu sana....
 
Hua anapiga nyatu nyatu... Hivi unaweza sema Jeikei enzi zake hakua na makali kama ya Mzee Kipara?? Sema Jeikei yeye ni nyatu nyatu sana....
Haa haa discipline muhimu bwana katika jamii.Kuna wasanii yaani header zao ziko hapo kwenye NENO kila siku.Tunatak Kusikia walau mara moja moja Mawazo Ujenzi asaidia watoto yatima au apeleka msaada kwa wahitaji mahospitalini nk(ni.mfano).

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 

Sure kaka.... Discipline ndo mpango mzima
 
hiyo story ni kwa hisani ya Da mange
 
Hayatuhusu! !
 
GK ni ndugu na AY. Ni maisha tu nadhani uwepo wake AY kafurahi nami pia nimefurahi. Usiache mbachao kwa msala upitao.
Sio ndugu banaa sema ni mshikaji wake wa kitambo coz walikuwaga kwenye kundi moja LA muziki LA "east coast team"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…