- Thread starter
- #601
Huyo msamehe bure tu.HajitambuiAisee duh bro kuna mtu kakushikia bunduki ukiwa unaandika au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo msamehe bure tu.HajitambuiAisee duh bro kuna mtu kakushikia bunduki ukiwa unaandika au
Kama kweli unatoka Mwanza nifikishie salamu zangu za heshima kwa wana Mwanza...Jana mlimpa Lissu heshima iliyotukuka...Tuliaminishwa lake zone ni ngome ya CCM Ila jana mme msuprise Meko...saivi anatumia dozi ya kupunguza depression....hongereni Sana.Safi sana, hiyo inaitwa KUWEKA REKODI SAWA.. sio kudanganya wananchi hapa.
Mapokezi ya Lissu popote, yanaweza yakalinganishwa na mapokezi ya tanker (lori) la petroli linapo anguka. Mara nyingi lori la petroli likianguka, watu wenye akili fulani, wanalikimbilia na mara nyingi mwisho wake huwa siyo mwema!Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu leo anatarajiwa kuitikisa jiji la Mwanza katika mkutano mkubwa wa Hadhara katika viwanja vya Furahisha.
Tayari maandalizi yamekamilika na maandamano makubwa ya kumlaki yanasubiriwa kuanza wakati wowote kutoka sasa
Tayari mgombea huyo ameshafanya mikutano minne ya kampeni ambapo mitatu ilikuwa jijini DSM na mmoja ulikuwa jijini Arusha hapo Jana.
Chadema katika uchaguzi mkuu huu inatumia kauli Mbiu ya Uhuru,Haki na Maendeleo ya watu.
#UhuruHakiNaMaendeleoyawatu#
#Niyeye2020#
----
Tundu Antipas Lissu Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewasili Mwanza kwa kishindo kikubwa.
Akiambatana na Mgombea Mwenza pamoja na Mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe mgombea huyo amelakiwa na umati mkubwa wa watu ambapo maandamano yameanzia katika Uwanja wa ndege kuelekea Uwanja wa Furahisha.
Msururu mkubwa wa Bodaboda,magari na watu kujipanga kandokando ya Barabara ndivyo vilivyopamba mapokezi yake.
-------------------
Yaliyojiri mkutanoni Viwanja vya Furahisha
Akihutubia Malaki ya watu mgombea wa Urais Tundu Lissu alilaani serikali ya CCM kwa kumhujumu zao la Pamba ambalo no kitega uchumi Cha watu wa Kanda ya ziwa.
Lissu amesema serikali yake itawajali Wafanyakazi na kila mwaka wataongezewa mshahara kwa mujibu wa sheria za nchi.
Amesema serikali yake inafuata kauli Mbiu ya Uhuru Haki na Maendeleo ya watu.
Amesema serikali yake itaondoa ukandamizaji wa wafanyabiashara ambapo kwa Sasa Mamlaka ya Mapato Tanzania imekuwa sehemu ya kuhujumu na kuua biashara za Watanzania.
Awali Lissu alisema tangu arejee nchini Mapokezi ya Mwanza ndiyo yamevunja Rekodi kwa wingi wa watu
View attachment 1555426View attachment 1555625View attachment 1555626View attachment 1555627View attachment 1555628
Huyo hata vidole hana ana presha na pumuToka waende dodoma sijawasikia tena. Unategemea mtu kwma Ndugai angefanya vipi Kampeni?? Mwili wenyewe afya iko wapi??
Hawa ndio JF Expert Members bana! Hii ni "asara'!Kwasababu umenijibu baada ya kuinflict pain. Pata maumivu kimyakimya wewee
Kilichofunguliwa mbinguni duniani ndio kabisaaa, mtapata tabu sana na Lissu, nyuma na mbele yake kuna nguvu ya kiroho inafanya kazi!Hivi kisheria Tundu anaruhusiwa kukanyaga ardhi ya Mwanza?
Nini wewe mbwiga? Unataga? Nakuuliza UNATAGA? Na kama Unataga ni lazima utage mayai yako humu jamvini?Hawa ndio JF Expert Members bana! Hii ni "asara'!
Wewe ni wa KUPUUZWA tuuu, vinginevyo watu hawataweza kutofautisha pumpa na chuya!Nini wewe mbwiga? Unataga? Nakuuliza UNATAGA? Na kama Unataga ni lazima utage mayai yako humu jamvini?
Lionee!
Kweli tayari nimekuwin kisaikolojia. Inflicting pain without physical encounterWewe ni wa KUPUUZWA tuuu, vinginevyo watu hawataweza kutofautisha pumpa na chuya!