Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika mapokezi na mkutano wa Tundu Lissu Sumbawanga

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika mapokezi na mkutano wa Tundu Lissu Sumbawanga

Anadai hakuna Uhuru, mbona yeye alipo hapo anaongea tena anatema mashudu na hakuna anayehangaika nae,
Ni uhuru upi huo Wa Lisu anaouzungumzia??
Kama mwakilishi wa wananchi aliyechaguliwa kwa kura anaweza kumiminiwa risasi mchana kweupeee na wahusika wasikamatwe, huo si uhuru, ni ukandamizaji, udikteta na utumwa...
 
Kama mwakilishi wa wananchi aliyechaguliwa kwa kura anaweza kumiminiwa risasi mchana kweupeee na wahusika wasikamatwe, huo si uhuru, ni ukandamizaji, udikteta na utumwa...
Sasa mbona Marekani huko Rais wa nchi aliuwawa mchana kweupe na mpaka leo hakuna aliyekamatwa.

Nino akino aliuawa mchana kweupe uwanja wa ndege hakuna aliyekamatwa.

Hakuna mtu aliyekuwa immuned na matatizo, binadamu yeyote anaweza patwa na lolote wakati wowote.

Nimekupa mifano hiyo kukuonesha kuwa tukio la lisu sio la kwanza kutokea hapa duniani kuna makubwa zaidi ya hilo na maisha yaliendelea.

Hatuwezi kurudishwa nyuma kila wakati kujadili tukio moja tu miaka yote as if hakuna mengine ya kujadili.

Ni kweli kapigwa risasi pole sana, but we have to move on na kwa sasa tunataka kusikia hoja za namna ya kukwamuana kiuchumi kama Taifa.
 
Tofauti na zamani safari hii watz tupo tayari kulinda kura zetu na kuhakikisha waliochaguliwa kutangazwa.....

Tofauti na hapo THW HAGUE INAWASUBIRI WATU WA KWAMZA AKIWA MEKO KWA MATAMSHI MA MATENDO YAKE MAOVU
 
Pamoja na kwamba Jiwe atatangazwa ila huku kukubalika kwa Lisu kitapelekea mambo mengi sana kurekebishwa katika hii awamu ya pili. Private sector Jamaa haendi kuziuwa kama alivyofanya sasa.... We SUMA JKT kwa sasa mpaka barabara wanafagia wao wakati hizo ndio kazi za vikundi mitaani ili wajikwamue kwa kipato
Hakuna Jiwe kutangazwa,HAKI haiombwi
 
Back
Top Bottom