Muulize vizuri anawenge la kupiga hadi magoti
Subiri ashinde halafu mzibe masikio msimtangaze ndio mtajua kwa nini Mungu alimpa farao moyo mgumu wa kutowaachia wanaisraeli. Ni mapigo mfululizo.Ashinde, asishinde hamna mtu mwenye akili atamchagua huyo
Yeye alipenda au aliwaomba mumfanyie unyama wenu?Hatuwezi kuwa na Amiri jeshi wa nchi kiwete, we uliona wapi?
Lissu ndio alitoa zile pumba kule juu!?
Usaliti upo huko kwa mtukufu aliyeingia mikataba mibovu mipya ya siri ya kujinufaisha yeye na wewe mtetezi wake mkaahidi kugawa Noa kwa kila Mtanzania lakini mmewasaliti watanzania hakuna cha Noa pesa za mikataba ya siri mnaifaidi wenyewe huko chamwino na chato, usaliti wenu una mwisho mnaenda kuumbuka mda si mrefuLissu ndiye msaliti wa Nchi alikuwa anawatetea Mabeberu waendelee kutuibia rasmali zetu
Huku Mzalendo Rais Magufuli akatupigania akarudisha raslimali sasa Watanzania tunafaidi
Huyo msaliti wa Nchi atapigiwa kura na Mabeberu
Hujaacha kuvuta Bangi, kilema hakipigi hodi hata wewe unaweza kutoka hapo unaposhinda ukivuta Bangi ukapata ajali ukawekewa vyuma acha kujifariji kishetani mungu hajaribiwiNaona watu wamepanga foleni barabarani kumuona mtu mwenye vyuma mwili mzima. Lissu aangalie wengine wamebeba sumaku hapo, wasije wakamvuta.
Pale sio madhabahuni labda kama hukuona chanzoYule ni Mkristo anayepokea Ekarist, kupiga magoti Dini zinafundisha ni unynyekevu
Sasa Unataka kumfananisha Rais Magufuli na jamaa yenu msaliti wa Nchi anayeropoka tu matusi?
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sanaTaja rais yeyote duniani ambaye ni rangla!!
Taja rais yeyote duniani
Usaliti upo huko kwa mtukufu aliyeingia mikataba mibovu mipya ya siri ya kujinufaisha yeye na wewe mtetezi wake mkaahidi kugawa Noa kwa kila Mtanzania lakini mmewasaliti watanzania hakuna cha Noa pesa za mikataba ya siri mnaifaidi wenyewe huko chamwino na chato, usaliti wenu una mwisho mnaenda kuumbuka mda si mrefu
Unatakiwa unyoshewe kidole kwa matendo yakoLow thinking capacity ever forceed
Matunda ya kusali sana ni uponyaji namskuru Mungu kwa uponyaji
Wananchi wanasubiria kusikia sera uzito wa tool boxHatimaye adhabu aliyopewa Tundu Lissu imemalizika Jana.
Mgombea huyo anayeungwa mkono na mamilioni ya Watanzania leo ataendelea na Kampeni yake katika mikoa ya Dodoma katika maeneo ya Chamwino na Singida katika maeneo ya Ikungi na Manyoni.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imekuwa ni kichekesho Cha Dunia kutokana na upendeleo wa waziwazi kuibeba CCM na kuikandamiza Chadema.
Tume hiyo imekataa hata kupokea malalamiko ya Chadema dhidi ya Mgombea wa CCM kwa kukiuka Maadili ya Uchaguzi.
Lissu anatarajiwa kupata mapokezi ya kishindo kutokana na hamu kubwa ya wananchi kutaka kumsikiliza baada ya kudhulumiwa haki yake ya kufanya kampeni kwa siku 7 ili kulinda CCM.
-------- ------- -------
Yanayojiri muda huu saa 5 asubuhi
Wananchi ktk jimbo la Bahi kata ya Bahi mkoa wa Dodoma baada ya kusikia mhe Rais Tundu Lissu atapita maeneo hayo kuelekea Singinda wameamua kumsubiri barabarani tangia saa moja asubuhi ili angalau waone sura yake tu
Jimbo hili tume ya CCM ilimuengua mgombea UBUNGE wetu kwa SABABU za kijinga kabisa!!
View attachment 1595493
Umeandika vizuri. Huyo simjui mm. Namjua MunguHujaacha kuvuta Bangi, kilema hakipigi hodi hata wewe unaweza kutoka hapo unaposhinda ukivuta Bangi ukapata ajali ukawekewa vyuma acha kujifariji kishetani mungu hajaribiwi
Karibu ukaya munyampaa!
Vivaa munyampa
Singida Guntuuu...
Tundu Lissu Guntuuu.....!
Kila la heri Mh. Rais mtarajiwa,njia nyeupe kwako.
Pale sio madhabahuni labda kama hukuona chanzo
Hatokaa kuisahau njombe, mpaka umauti
Unyenyekevu kipindi cha kampeni?
Kumtia mtu moyo n sawa ila msimdanganye. Yeye uraisi hatapata neither you will be a member of parliament.Karibu ukaya munyampaa!
Vivaa munyampa
5Singida Guntuuu...
Tundu Lissu Guntuuu.....!
Kila la heri Mh. Rais mtarajiwa,njia nyeupe kwako.