Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
msaadakidogo ivi mtu akisema "policy vacuum" maana yake nn ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuambia hivyo ujue kilakitu kinawezekana.unaweza ukawa wa kufanikisha jambo kwa 100% ila matokeo yakaja vingine..kwazi kwako.Mpira ni mpira na siasa ni siasa
Usaliti wa CCM ulianza mwaka 1998 mlipoanza kuuza nyumba za Serikali viwanja uwekezaji wa madini kwa mikataba mibovu iliyopitiswa Bungeni na wabunge wa CCM na magufuli akiwa ni mmojawapo pasipo kuhoji chochote kile, Tundu lisu kaanza kupiga kelele tokea mwaka 1998 hamkumjali mkaziba masikio, leo hii mtukufu magufuli kaingia mikataba ya siri anayoijua mwenyewe kwa ahadi za kugawa Noa kwa watanzania eti mnamsifu, usaliti upo mkubwa mikataba mipya ya madini bado kuna usiri mkubwa kuna ufisadi kuna ujanja ujanja mwingi usaliti upo CCM huko huko.Sasa kuna mlima gani wa kupanda kwa msaliti wa Nchi Lissu ?
Huyu msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Safari hii Chadema tutawafundisha kuwa usaliti kwa Nchi ni laana kwa Taifa
Muulize jiwe anapanda mlima au anushka mlima?Sasa kuna mlima gani wa kupanda kwa msaliti wa Nchi Lissu ?
Huyu msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Safari hii Chadema tutawafundisha kuwa usaliti kwa Nchi ni laana kwa Taifa
Sasa ujue kuwa uwezekano wa Aston Villa kuifunga Liverpool ulikuwepo mkubwa tu, na kila mtu anayejua mpira alilifahamu hilo.Nimekuambia hivyo ujue kilakitu kinawezekana.unaweza ukawa wa kufanikisha jambo kwa 100% ila matokeo yakaja vingine..kwazi kwako.
Ni kweli uwezekano wa Lissu kushinda ni mkubwa tu na kila mtu anafahamu.Sasa ujue kuwa uwezekano wa Aston Villa kuifunga Liverpool ulikuwepo mkubwa tu, na kila mtu anayejua mpira alilifahamu hilo.
HakikaNchi inazizima na kusimama tena..FURAHA IMEREJEA
Kwani Pombe na Bia Yetu Kuna tofauti gani wao wamelewa madaraka wanajifanya wazalendoUsaliti wa CCM ulianza mwaka 1998 mlipoanza kuuza nyumba za Serikali viwanja uwekezaji wa madini kwa mikataba mibovu iliyopitiswa Bungeni na wabunge wa CCM na magufuli akiwa ni mmojawapo pasipo kuhoji chochote kile, Tundu lisu kaanza kupiga kelele tokea mwaka 1998 hamkumjali mkaziba masikio, leo hii mtukufu magufuli kaingia mikataba ya siri anayoijua mwenyewe kwa ahadi za kugawa Noa kwa watanzania eti mnamsifu, usaliti upo mkubwa mikataba mipya ya madini bado kuna usiri mkubwa kuna ufisadi kuna ujanja ujanja mwingi usaliti upo CCM huko huko.
CCM hujidai wameleta maendeleo na pia wanapendwa kupitia nguvu za Polisiccm cha ajabu hawajiamini kutwa ni kuwahujumu chadema na kibaya zaidi polepole anajinufaisha binafsi kwa kuchukua mapesa CCM kwa kisingizio cha kuidhoofisha chademaMuulize jiwe anapanda mlima au anushka mlima?
Mtu kama unajua umefanya maendeleo na mzalendo namba moja, si umuache tu huyo beberu jeusi au msaliti apige kampeni kwa sawa...maana unajua tuu umeshinda kwanini umfanyie figisu figisu
Tafadhali nahitaji kusikia na kufahamu huo usaliti wa Tundu Lissu
Uzalendo CCM ni kuwapiga risasi kuwabambikia kesi kesi uonevu unyanyasaji uovu mwingi kwa wapinzani huo ndiyo Uzalendo wa CCM ya sasa CCM ya kishamba na kishetaniKwani Pombe na Bia Yetu Kuna tofauti gani wao wamelewa madaraka wanajifanya wazalendo
Ogopa sana mtu anaejisifia kuwa yeye anasali sana
Vile vile anaejiita mzalendo kuliko wengine
Muulize jiwe anapanda mlima au anushka mlima?
Mtu kama unajua umefanya maendeleo na mzalendo namba moja, si umuache tu huyo beberu jeusi au msaliti apige kampeni kwa sawa...maana unajua tuu umeshinda kwanini umfanyie figisu figisu
Tafadhali nahitaji kusikia na kufahamu huo usaliti wa Tundu Lissu
Mkuu wanasema hii ni video ya kuchakachua tena sio Bahi hapo ni Chato.1995.Bahi : Dodoma
View attachment 1595632
Ashinde, asishinde hamna mtu mwenye akili atamchagua huyoNi kweli uwezekano wa Lissu kushinda ni mkubwa tu na kila mtu anafahamu..
Tundu Lisu hakosi watu hana wasanii hana fuso za kusomba watu acha propaganda za kishamba shamba toka Chamwino na Chato.Umeweka picha mbovu kuficha aibu
Tundu lissu anajaribu kwenda kufuta aibu alioipata mwanzo kwa kukosa watu
Usaliti wa CCM ulianza mwaka 1998 mlipoanza kuuza nyumba za Serikali viwanja uwekezaji wa madini kwa mikataba mibovu iliyopitiswa Bungeni na wabunge wa CCM na magufuli akiwa ni mmojawapo pasipo kuhoji chochote kile, Tundu lisu kaanza kupiga kelele tokea mwaka 1998 hamkumjali mkaziba masikio, leo hii mtukufu magufuli kaingia mikataba ya siri anayoijua mwenyewe kwa ahadi za kugawa Noa kwa watanzania eti mnamsifu, usaliti upo mkubwa mikataba mipya ya madini bado kuna usiri mkubwa kuna ufisadi kuna ujanja ujanja mwingi usaliti upo CCM huko huko.
Muulize vizuri anawenge la kupiga hadi magotiRais Magufuli haitaji kampeni anapita kuwasalimu Watanzania
Ushindi wa Ccm ni 98%
Msaliti wenu wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Siteseki ila nashangaa kuona hiyo Scania ya kuchanja ikibeba abiria kwa mara ya kwanzaUnateseka?
Watu ni full shangwe baada ya kumuona!!Bahi : Dodoma
View attachment 1595632