Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu Dodoma na Singida

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu Dodoma na Singida

Kama CCM kupitia Mgombea wake hawatobadilika na kuzifanyia Kazi 'Changamoto' za Kimsingi basi 2025 na siyo 2020 Tundu Lissu atashinda Urais.
Amesha lambishwa mchanga Hadi Sasa.
Usariti ni kuidanganya jamii eti mikataba ya madini wakati Tundu lisu alianza vita 1998 magufuli akiwa mbunge aliyepitisha mikataba mibovu Bungeni , mbona magufuli hakuanza vita tokea mwaka 1998 wakati anashiriki kupitisha vyote vibaya na sasa kaingia mikataba ya siri anabunya mwenyewe na waziri wa madini hakuna cha Noa alizoahidi wala nini, Usariti upo humo humo chamwino na chato
Waliopitisha mikataba ya hovyo no ccm,Tena hata sii kwa kificho Bali kwa kelele na kunyoosha mikono juu wakisema ndiooooo.
 
Tundu lissu raisi anayesubiri kuapishwa.
[emoji111][emoji111][emoji111][emoji111]
 
Wanafikiri yeye alipenda kwenda Belgium,amerudi wanaanza kumuita beberu jeusi lkn huwa ccm wengi nawapuuza tuu wapo tuu kichwani hamna ubongo wa kung'amua mambo wapo tuu wataenda tuu
CCM ndiyo wamempa umarufu Tundu lisu kutokana na matendo figisu figisu unyanyasaji uonevu hujuma wanazomfanyia kuamzia zamani mpaka sasa, NECCCM Tumeccm na Polisiccm kumdhoofisha wamezidi kumpaisha zaidi kwa watu hupenda kujua zaidi yule anayeandamwa na CCM mda wote, pia polepole na Bashiru wanatumia mgongo wa Lisu kuiba pesa huko CCM kwa kisingizio kuwa wamezitumia kuihujumu chadema, pesa inapigwa CCM kwa visingizio vya kutokomeza upinzani, kwa sasa upinzani ni dili la kujipatia pesa kwa njia haramu za kishetani huko CCM
 
Amesha lambishwa mchanga Hadi Sasa.
Waliopitisha mikataba ya hovyo no ccm,Tena hata sii kwa kificho Bali kwa kelele na kunyoosha mikono juu wakisema ndiooooo.
Hata mkapa wamemzima CCM baada ya kuchoka maneno akataka kutema nyongo juu ya vilivyojificha kwenye madini wakamuwahi wakamnyamazisha milele.
 
Mtajua mwaka huu kuwa usaliti kwa Nchi ni laana kwa Taifa

Tutawafundisha adabu, lissu akiwaletea hata wabunge wawili mkatambike
Usaliti gani alioufanya lissu hata moja tuu tuambie ili Nasie tusiojua utufunue

Maana mnasema usaliti bila mifano,
Mala beberu,kibaraka wa wazungu itakua tuu kakaa huko takribani miaka 3, nje ya nchi utafikiri alienda kupatatiwa mafunzo na hao mabeberu kumbe alikua kupata matibabu acheni dhambi iwatafune maana mlitengeneza mteremko kwa kutaka kukatisha uhai wake

Ghafla mpango wenu umegeuka kuwa mlima,upandeni tuu kama yeye TL anavyoshuka mteremkoni..
 
Nipo dom hapa nasiki nje vibibi vinapiga ngoma nasikia tu " CCM gwee CCM gwee " pia wenyeji wanasema hawa ndo hawatakiw yan anakuja kupiga kura anasema yeye anachagua" ndedede" yan rangi ya kijani tu ataki kujua ni mtu gan huyo 😅😅😅. sijui tuliloseaga wapi
 
Mpira ni mpira na siasa ni siasa
Siasa za kuwabambikia wafanyabiashara kodi Bandia za TRA kisha kuwawapa kuwatishia kesi za uhujumu uchumi, kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani ni siasa gani hizo?
 
Sasa kuna mlima gani wa kupanda kwa msaliti wa Nchi Lissu ?

Huyu msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Safari hii Chadema tutawafundisha kuwa usaliti kwa Nchi ni laana kwa Taifa
Usaliti gani alioufanya lissu hata moja tuu tuambie ili Nasie tusiojua utufunue

Maana mnasema usaliti bila mifano,
Mala beberu,kibaraka wa wazungu itakua tuu kakaa huko takribani miaka 3, nje ya nchi utafikiri alienda kupatatiwa mafunzo na hao mabeberu kumbe alikua kupata matibabu acheni dhambi iwatafune maana mlitengeneza mteremko kwa kutaka kukatisha uhai wake

Ghafla mpango wenu umegeuka kuwa mlima,upandeni tuu kama yeye TL anavyoshuka mteremkoni..
 
Kuna usaliti Nchi zaidi ya kutetea Mabeberu yaliyokuwa yanatuibia madini yetu?
Hakuna usariti kama kuiba pesa za umma kwenda kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge
 
Aiseee hizo picha mmeediti weee mpaka mawingu yamefunika sura za watu. Wekeni picha clear bana. 2020 mnatumia nokia toch kupigia picha daah
 
Hata klop alikuwa anamawazo kama yako,lakini kilicho mkuta villa park hata hamu ana...28 oct tunajambo letu..[emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Kuna mwanaccm mmoja huko Zanzibar anasema nchi ilipatikana kwa mapinduzi hawawezi wakaitoa kwa Sanduku la kura haliwatishi wanaongea wanavyotaka wanajua watakavyofanya, ila round hii ngoja tufike mtoni tutajua tutakavyovuka.
 
Back
Top Bottom