Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu Dodoma na Singida

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu Dodoma na Singida

Mwacheni aendelee kuwewesekaweweseka tu siku zimekwisha na yeye tayari ana one way ticket ya kwenda kwa waliomtuma. Amsterdam anahaha maana ana miezi yupo na ukame.
 
Ghosryder

2020_08_24_06.59.28.jpg
 
Msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

wewe ni nani uwasemee watanzania wote?, sema wewe utampigia mtu fulani
 
Jana naskia walivotoka uwanjani pale Mkapa stadium wakawapeleka kibasila sijui kula ubwabwa.Ndio maana nchi hii umaskini hauwezi kuisha sababu viongozi wanapenda tuwe masikini na mabolizozo ili watutawale vzr ila safari hii watakiona cha moto hakuna kulala​
Umasikini ni chaguo lako wenyewe. Tanzania ni tajiri Bandari tu peke yake hivi sasa inaingiza mpunga wa kutosha sana na meli kubwa zinaweza kuingia bila kukuru kakara. Chuma kiko Ikuu hii ... .... .. kama hupendi nenda kajinyonge.

 
Umasikini ni chaguo lako wenyewe. Tanzania ni tajiri Bandari tu peke yake hivi sasa inaingiza mpunga wa kutosha sana na meli kubwa zinaweza kuingia bila kukuru kakara. Chuma kiko Ikuu hii ... .... .. kama hupendi nenda kajinyonge.


Wwe ni mpuuz na mchumia tumbo na unatetea sababu ni boss umepewa ukurugenzi hapo bandarini kwaiyo yako yanakuendea wewe na wenzio wote mlioteuliwa na nduli ni wakuogopwa ktk nchi yetu nyie ni wakoloni weusi ila mwaka huu tutawaonyesha.Yyte anaemtetea Magufuli ni adui wa Taifa na ni mchumia tumbo period.
 
Watanzania hawawezi kupigia kura msaliti wa Nchi Lissu
Usariti ni kuidanganya jamii eti mikataba ya madini wakati Tundu lisu alianza vita 1998 magufuli akiwa mbunge aliyepitisha mikataba mibovu Bungeni , mbona magufuli hakuanza vita tokea mwaka 1998 wakati anashiriki kupitisha vyote vibaya na sasa kaingia mikataba ya siri anabunya mwenyewe na waziri wa madini hakuna cha Noa alizoahidi wala nini, Usariti upo humo humo chamwino na chato
 
Live wanaioiweza ni CCM peke yao

Ona ushahidi kwenye huu Uzi .Eti Live wakati hakuna Live

Chadema mnatia aibu

CCM tukisema Live ni Live kweli

Sio wanaoiweza ni CCM, bali Magufuli kwa kutumia madaraka yake anashurutisha aonyeshwe yeye tu na chama chake chakavu.
 
Hatimaye adhabu aliyopewa Tundu Lissu imemalizika Jana.

Mgombea huyo anayeungwa mkono na mamilioni ya Watanzania leo ataendelea na Kampeni yake katika mikoa ya Dodoma katika maeneo ya Chamwino na Singida katika maeneo ya Ikungi na Manyoni.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imekuwa ni kichekesho Cha Dunia kutokana na upendeleo wa waziwazi kuibeba CCM na kuikandamiza Chadema.

Tume hiyo imekataa hata kupokea malalamiko ya Chadema dhidi ya Mgombea wa CCM kwa kukiuka Maadili ya Uchaguzi.

Lissu anatarajiwa kupata mapokezi ya kishindo kutokana na hamu kubwa ya wananchi kutaka kumsikiliza baada ya kudhulumiwa haki yake ya kufanya kampeni kwa siku 7 ili kulinda CCM.

-------- ------- -------
Yanayojiri muda huu saa 5 asubuhi

Wananchi ktk jimbo la Bahi kata ya Bahi mkoa wa Dodoma baada ya kusikia mhe Rais Tundu Lissu atapita maeneo hayo kuelekea Singinda wameamua kumsubiri barabarani tangia saa moja asubuhi ili angalau waone sura yake tu

Jimbo hili tume ya CCM ilimuengua mgombea UBUNGE wetu kwa SABABU za kijinga kabisa!!


View attachment 1595493
Mwambieni Tundu abadilishe hilo jina la Tundu linatia kichefuchefu sana kulitaja.
 
Kama ni propaganda CCM kiboko, sasa hivi wameliamsha kanda ya ziwa wanatafuta kura za lazima.
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana
 
Lissu ndio Aliwatetea Mabeberu ili yaendelee kuchimba madini yetu

Ila Rais Magufuli akatutetea Watanzania sasa tunafaidika
Usariti ni kuidanganya jamii eti mikataba ya madini wakati Tundu lisu alianza vita 1998 magufuli akiwa mbunge aliyepitisha mikataba mibovu Bungeni , mbona magufuli hakuanza vita tokea mwaka 1998 wakati anashiriki kupitisha vyote vibaya na sasa kaingia mikataba ya siri anabunya mwenyewe na waziri wa madini hakuna cha Noa alizoahidi wala nini, Usariti upo humo humo chamwino na chato
 
Hivi wewe mleta mada unajua maana ya Live?

Moderators chadema wamekuwa waongo mn😵ndoeni hilo neno Live

Wataleta mipicha yao ya kufoji jioni toeni hiyo live
Baadae wataunga na picha za mafuriko ya Lowasa wanatuma kwenye mitandao.
 
Wwe ni mpuuz na mchumia tumbo na unatetea sababu ni boss umepewa ukurugenzi hapo bandarini kwaiyo yako yanakuendea wewe na wenzio wote mlioteuliwa na nduli ni wakuogopwa ktk nchi yetu nyie ni wakoloni weusi ila mwaka huu tutawaonyesha.Yyte anaemtetea Magufuli ni adui wa Taifa na ni mchumia tumbo period.
Kwa maneno hayo umefurahi chacha? khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee njoo nikuajiri kama huna kazi. Huo msemo umepitwa na wakati hapa kazi tu! Lazima mshike adabu na mnaendelea kusoma number.

 
Back
Top Bottom