Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu Dodoma na Singida

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu Dodoma na Singida

Akili yako imekorogeka
Kuhusu adhabu aliyopewa alistahili kabisa maana huyu Jamaa yenu naye akiwa na kipaza anaongea kila kitu kinachokuja kichwani.

Kuhusu tume kupendelea, sidhani kama ilitarajiwa au mnatarajia wafanye tofauti na wanavyofanya....maana hiyo tume yenyewe inakumbushwa na kusimamiwa na hao hao Waajiri wao kutoa hizo adhabu....Panya hawezi kung'ata mkia wake.

Na mukitaka kuamini hayo basi leo Mgombea wenu akiwa Singida aongee kinyaturu kesho tuamke na press ya Mr Slow akilaani ukabila huku akiiagiza tume ichukue hatu stahiki.
 
Mkoa wa wenyeji wasiojitambua, ni kati ya mikoa 3 ambayo haijawahi kuchagua wapinzani kama sijakosea ( Dodoma, Ruvuma na Pwani)
Alafu ni mikoa ambayo watu wake ni maskini na wangonye wa kuchoka. Tena wavivu sana lau ruvuma wana afadhali lakini dom na pwani ahhaaaggh
 
Zinaanza upyaaaaah!!!!!
IMG_20200908_161108.jpg
 
Dodoma Lissu ajiandae kwa aibu ya kufungia mwaka, Dodoma ya wagogo ni ngome halali ya CCM.
 
TumeCCM NECCCM IGP Polisiccm wapo busy kuiandama Chadema kwani wana hofu endapo chadema wataingia ikulu na wao hawana kinga kama mtukufu huenda yale madhambi yao yote mikubwa yakaibuliwa, wapo tayari kufa kipona wahakikishe CCM inasalia ikulu wapate kulinda mabaya yao.
 
Mmeshaanza na kazi ya utabiri kama hayati Sheikh Yahya sio? Eti anatarajiwa kupata mapokezi "Makubwa" ha ha ha ha huijui Dodoma wewe
Mbona wewe ndiyo huijui Dodoma, kuishi kwa kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za polepole na mtukufu ndiyo kuijua Dodoma?
 
Back
Top Bottom