CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Kama nyie Jana pale uwanja Wa Mkapa.Dodoma hana chake pale. Ataambulia aibu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nyie Jana pale uwanja Wa Mkapa.Dodoma hana chake pale. Ataambulia aibu tu
Kisu kina kata mfupaWeee kapigwe pipe huko!! kwendraaaaa!!
Hapo ndo pakujiuliza bwashee.Kwanza hawa washabiki wa Lissu wangejiuliza tangu tuingie mfumo wa vyama vingi 1992, hakuna mgombea yeyote wa upinzani aliyeletwa na wazungu na kusaidiwa waziwazi kama Lissu, kuna nini nyuma ya pazia!?
Mbona kama leo una hamu ya kupigwa kobiro?Hivi wewe mleta mada unajua maana ya Live?
Moderators chadema wamekuwa waongo mn😵ndoeni hilo neno Live
Wataleta mipicha yao ya kufoji jioni toeni hiyo live
Dodoma sawa ila sio Dar....Dodoma jiji ambalo halina muda a Lisu anaenda kuadhirika Leo
Dar na Dodoma ni miji nuksi kwake anapoteza muda tu
Umeandika nini?
Lissu asifanye upumbavu na ujinga wa kutumia kinyaturu atakapokuwa Sindiga kama wa yule asiyejua kuongea kwa kiingereza aliyeongea kisukuma kule kanda ya nyonyo
kutumia kinyaturu kuwasema maccm haitakuwa busaraKuna kosa gani kutumia kinyaturu japo kuwasalimu? Shida ya ngosha ni kujisahau na kutumia kilugha kupitiliza
Uongo utakusaidia nini ?Huyo unayemshtakia siajabu ndiyo Moderator mwenyewe, ...
Wazawa wa wapi matajiri?
Spana zinaendelea leo!Hana jipya kibaraka wa wabelgiji
Nyie huwa mnakuwa na uhakika kwasababu ya malori na hizo 5000 mnazotoa.Mmeshaanza na kazi ya utabiri kama hayati Sheikh Yahya sio? Eti anatarajiwa kupata mapokezi "Makubwa" ha ha ha ha huijui Dodoma wewe
Unafikiri Ni kwa Nini Dodoma Hali iko hivi. Ni mkoa maskini Sana lakini CCM ndiko imeweka kambi!Dodoma jiji ambalo halina muda a Lisu anaenda kuadhirika Leo
Dar na Dodoma ni miji nuksi kwake anapoteza muda tu
Kweli?Dodoma hana chake pale. Ataambulia aibu tu