Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu Dodoma na Singida

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu Dodoma na Singida

Asante sana Kamanda Mtifu Molemo, tumeingia usiku sana hapa na asubui ya leo ni shamra shamra sana hapa Dodoma
TAHADHARI: Nilipita huko Twitter nikakumbushwa juu ya uchapishaji wa makaratasi ya kupigia kura pamoja na fomu za matokeo. Kule Kenya mwaka 2016 walipokua wanajiandaa na uchaguzi mkuu, hiyo ilikuwa ishu kubwa.

Vyama vya upinzani vilisema kuwa wizi mkubwa hutokea kwa kuwa na balot papers nyingi zisizo na security features. Walisema wanahitaji kampuni ya kuchapisha itoke nje ya Kenya, mchakato wa tenda uwe wazi, security features zijulikane kwa mawakala, idadi ya balot papers ifahamike, usimamizi ufanywe wakati wa printing na packaging hadi kusambazwa na tume.

Walikataa kabisa zisichapishiwe Kenya. Kwa hivi walizuia KUONGEZEA kura kwenye masanduku. Nilifikiri kuwa sijasikia chadema, Lissu ama act wakiongelea hili. Zitachapishwa wapi, na nani, zitasambazwa nanani, lini, hizo security features vipi, na kadhalika. Sifahamu zaidi.
 
Yec people's,Kama kawa Kama dawa spana ziendeleee[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]
 
Dodoma jiji ambalo halina muda a Lisu anaenda kuadhirika Leo

Dar na Dodoma ni miji nuksi kwake anapoteza muda tu
Kweli, Mie ni shuhuda kwa Jiji la Dar es salaam.

Nilikuwa hapa Mlimani City Mall, Jamaa akafika aisee hakuamini kila mtu alikuwa hana shobo na yeye.

Baada ya kutoka wakaanza kuzungumza huyu boya kutuletea Nuksi hapa ndani.

Nilicheka sana.

Huwezi kubetray our motherland kwa wazungu.Tukabaki kucheka na wewe.
 
Mh Tundu Lissu atumie fursa hiyo kuzisoma hadharani barua zote za malalamiko ambazo Chadema imeziwasilisha NEC dhidi ya mgombea urais wa CCM na pia afafanue mashiko ya hayo malalamiko kisheria na kikanuni.

Halikadhalika kwa muktadha huo, aeleze kwa nini Chadema ipo sahihi kusema NEC ina upendeleo wa wazi kwa mgombea urais wa CCM.
 
Hatimaye adhabu aliyopewa Tundu Lissu imemalizika Jana.

Mgombea huyo anayeungwa mkono na mamilioni ya Watanzania leo ataendelea na Kampeni yake katika mikoa ya Dodoma katika maeneo ya Chamwino na Singida katika maeneo ya Ikungi na Manyoni.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imekuwa ni kichekesho Cha Dunia kutokana na upendeleo wa waziwazi kuibeba CCM na kuikandamiza Chadema.

Tume hiyo imekataa hata kupokea malalamiko ya Chadema dhidi ya Mgombea wa CCM kwa kukiuka Maadili ya Uchaguzi.

Lissu anatarajiwa kupata mapokezi ya kishindo kutokana na hamu kubwa ya wananchi kutaka kumsikiliza baada ya kudhulumiwa haki yake ya kufanya kampeni kwa siku 7 ili kulinda CCM.

View attachment 1595493
Chaguo la wengi ni chaguo la Mungu!
Go Honorable Lissu, Go the chosen!
 
Hahahaah nikwambie tu jomba kiukweli kabisa na msema ukweli ni mpenzi wa Mungu. Wananchi wanamsanifu tu hakuna kitu, na kama hamuamini subirini matokeo baada ya uchaguzi. Watanzania bana huwa nawapenda hapo tu, watakuja kukuangalia siku ya kampeni lakini ngoja sasa kwenye sanduku la kura uone.
 
Hivi wewe mleta mada unajua maana ya Live?

Moderators chadema wamekuwa waongo mn😵ndoeni hilo neno Live

Wataleta mipicha yao ya kufoji jioni toeni hiyo live

Huyo unayemshtakia siajabu ndiyo Moderator mwenyewe.
 
Back
Top Bottom