kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Hamna sera wala jipya.Huyo Lissu katumwa na huyo Robert Amstadarm, ww sasa kazana kumpigia debe utaona yajayoView attachment 1595538
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna sera wala jipya.Huyo Lissu katumwa na huyo Robert Amstadarm, ww sasa kazana kumpigia debe utaona yajayoView attachment 1595538
kipenzi anaongea mwenyewe TaifaMsaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Kule kwenye Group za Whatsapp huwa mnatamba kwa kutuma huu ujinga mnakosa wa kuwajibu kwa sababu ya hofu ya kuwabambikia kesi, humu sasa lazima tuwajibu hivi CCM wakienda kuomba omba misaada ulaya huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jikeHuyo Lissu katumwa na huyo Robert Amstadarm, ww sasa kazana kumpigia debe utaona yajayoView attachment 1595538
Unaumia Nini,nyieHivi wewe mleta mada unajua maana ya Live?
Moderators chadema wamekuwa waongo mn😵ndoeni hilo neno Live
Wataleta mipicha yao ya kufoji jioni toeni hiyo live
Unaumia Nini,live ya wenzio ndio hiyo,kwani nyie mmegeuza TV stations zote na zile za redio ziwe live kwa ajili yenu,kisa hofu ya kuadhibiwa .Vivyo wewe tulia hangaika na ya kwenu.Hivi wewe mleta mada unajua maana ya Live?
Moderators chadema wamekuwa waongo mn😵ndoeni hilo neno Live
Wataleta mipicha yao ya kufoji jioni toeni hiyo live
Acha kujipendekeza kwa wanaume wa sisiem ili upate uteuzi wa viti maalumu we kadada.Hana jipya kibaraka wa wabelgiji
Watanzania wa wapi unawasemea? au ni watanzania unaovuta nao Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba mnajidanganya? Hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu ataipigia CCM kuraMsaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Kuna umri ukifika ukawa una vijistory vya kuungauunga unaonekana upeo wako finyu. Hii sio kweli nasema nilikuwepo mpaka anaingia ndani supermarket huku nje kulikuwa na umati wa watu wanataka angalau kumshika mkono na kupiga nae picha. Njoo na uongo mwingineKweli, Mie ni shuhuda kwa Jiji la Dar es salaam.
Nilikuwa hapa Mlimani City Mall, Jamaa akafika aisee hakuamini kila mtu alikuwa hana shobo na yeye.
Baada ya kutoka wakaanza kuzungumza huyu boya kutuletea Nuksi hapa ndani.
Nilicheka sana.
Huwezi kubetray our motherland kwa wazungu.Tukabaki kucheka na wewe.
Kwani ukisema ukweli tu utakuwa na hatia?Kweli, Mie ni shuhuda kwa Jiji la Dar es salaam.
Nilikuwa hapa Mlimani City Mall, Jamaa akafika aisee hakuamini kila mtu alikuwa hana shobo na yeye.
Baada ya kutoka wakaanza kuzungumza huyu boya kutuletea Nuksi hapa ndani.
Nilicheka sana.
Huwezi kubetray our motherland kwa wazungu.Tukabaki kucheka na wewe.
Mumeshindwa kuweka hata Live YouTube kweli nyie choka mbayaUnaumia Nini,nyie
Unaumia Nini,live ya wenzio ndio hiyo,kwani nyie mmegeuza TV stations zote na zile za redio ziwe live kwa ajili yenu,kisa hofu ya kuadhibiwa .Vivyo wewe tulia hangaika na ya kwenu.
Nyie wa wanani?Hana jipya kibaraka wa wabelgiji
Mmeziteka media,Bado unahangaika na njia za mawasiliana za waliowazidi akili na maarifa.Mumeshindwa kuweka hata Live YouTube kweli nyie choka mbaya
Watanzania wa wapi unawasemea? au ni watanzania unaovuta nao Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba mnajidanganya? Hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu ataipigia CCM kura
Mziki wa fiesta,wa kuwarubuni wasio kuwa na ajira.Lisu baada ya kuona mziki wa Magufuli Jana uwanja wa taifa Dar Akakimbia mji usiku ule ule wa jana kuelekea Dodoma kukiwa giza
Vifurushi vitanunulika, furaha itarejea; Tumain lilipotea litarejea, shamramra ztarejea. Go Lissu Go!!Nchi inazizima na kusimama tena..FURAHA IMEREJEA
Kuna watu waongo sana, sasa yaliyotokea Jana kwa mkapa wanabisha kwamba watu hawakutoka, Nilikuwepo uwanjani CCM wamewajaza wanachuo kwa posho tena wametengwa kwa vizimba kama mifugo, ili wasitoke Kazi yao ilikuwa kushangilia kila kitu, Nilishangaa mpaka alipowadhalilisha wanawake weusi wanachuo walishangilia. CCM imekataliwa na wengi ila kwa mabavu ya dola wanalazimisha kukubalika.Kuna umri ukifika ukawa una vijistory vya kuungauunga unaonekana upeo wako finyu.Hii sio kweli nasema nilikuwepo mpaka anaingia ndani supermarket huku nje kulikuwa na umati wa watu wanataka angalau kumshika mkono na kupiga nae picha.Njoo na uongo mwingine
Nyie Sasa ni wakoloni la weusi.Hana jipya kibaraka wa wabelgiji
Live ya CCM ni live ya kubaka live ya kutumia pesa za umma kutumia rasilimali za umma kwa mambo binafsi ya CCM, haiwezekani TBCCCM walipwe mishahara kwa pesa za walipa kodi lakini imekuwa chombo binafsi cha CCM kana kwamba wanalipwa mishahara na polepole, chadema wanakutia Aibu ipi? Chadema siyo matajiri hawana vyombo vya dola lakini kutwa mnawahujumu kuwadhoofisha kuwabambikia kesi kuwapiga risasi na uonevu unyanyasaji wa kila aina, CCM ndiyo umesababisha chadema kupendwa kutokana na mambo mengi ya hovyo wanayowafanyia Chadema.Live wanaioiweza ni CCM peke yao
Ona ushahidi kwenye huu Uzi .Eti Live wakati hakuna Live
Chadema mnatia aibu
CCM tukisema Live ni Live kweli