Uchaguzi 2020 Yaliyojiri katika mapokezi ya Tundu Lissu leo Oktoba 19 mikoa ya Kilimanjaro na Arusha

Wasubirie kipigo cha kihistoria 28th October 2020, kura zote za ndio za wazalendo wa Tanzania ni kwa Magufuli.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
 
 

Attachments

  • download.jpg
    11.9 KB · Views: 1
Tusiongee mengi subirini muone hiyo tarehe 28 october 2020 CCM ambavyo watawaliza kwa kura za kishindo msilie tu
 
Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Sasa hivi mnaongea kama mazuzu vile
 
Hakuna lolote jipya,anafanya utalii tu.
 
hivii huui kuwa mgombea wenu MEKO nidhaifu mpaka anaomba POO apumue hali ni tete kwake. nambie leo yuko wapi ? si huwa anapenda LIVE ata akinunua mihogo munamuonyesha ..sanionyeshe yuko wapi leo LIVE?
Hivi Dr Mihogo aka Slaa wa bibie Mushumbuzi akiona Karatu hii anajisikiaje?
Au ndio yale kuwa wasaliti hawana mshipa wa aibu?
 
Ikulu ya mitandaooni kwikwikwi

Elimu elimu elimu
 
Baada ya CDM kuingia madarakani sitakuwa na budi ya kufungua account yangu hapa Jf yenye ID ya majina yangu halisi pia yenye picha yangu halisi...maana sitakuwa na hofu ktk nchi ya Uhuru.
Umenena, watu wanajificha kutoa maoni yao wakiwa huru utafikiri nchi inaendeshwa kijeshi. Demokrasia imepotea kabisa
 
Mteule wa Mungu, aliandaliwa siku nyingi kuja kulikomboa Taifa lake
 
Tukipiga kura tutazilinda ili kuzuia masunduku yenu ya kura fake kuingizwa kwenye vituo, safari hii mtabaki nayo huko huko Lumumba.
Siku zote 'Mwizi' huwa ni 'mwepesi' sana kumjua 'Mwizi' Mwenzake.
 
mbona posts za UVfiCM sizionii au ndo bac tenaa. ivi jiwe limepaki wapi vile au ndo kumwaga oil, bac itakuwa babewalke iyo[emoji28][emoji28][emoji28] sizpend
Huwa hawapost mpaka walipwe.

CCM haina vijana tena wa kukipigania kwa maslahi ya chama chao bali lazima walipwe ndiyo watafanya hiyo kazi
 
Kazi inaendelea, Haturudi nyuma..
.....Tar 28-Oct ni siku ya kumtoa nyoka aina ya ndumilakuwili pangoni kwake na kumpeleka mbuga za Burigi kule Chattle...
Tutampeleka shoga KWa mume wake kule ubeligiji maana Sasa hivi anatafuta kupendwa na mume sisi chaguo letu ni Magufuli [emoji736][emoji736][emoji736]
 
Tunaomba update kuhusu kuzuiliwa kwa Lissu kutumia Chopa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…