Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu na Mkutano Mkubwa wa Hadhara Geita Mjini

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu na Mkutano Mkubwa wa Hadhara Geita Mjini

Viongozi hawajali shida za wananchi wao
Viongozi hawajali mfumuko wa bei za bidhaa muhimu
Viongozi hawajali sheria za utumishi wa umma
Viongozi hawaoni haja ya kutoa ajira
Viongozi hawataki kupandisha mishahara wala madaraja
Viongozi wanaojali ukanda wao
Viongozi wasioheshimu utu wa watu
Viongozi wasiojali usalama wa raia wao
Viongozi walioshindwa kutekeleza sera yao kuu ya viwanda

Eti mwananchi fulani anasimama kutaka kumtetea[emoji1787]

Hii ipo Afrika pekee
Huh, uko nyuma sana.
Na upo kiushabiki, maneno mliolishwa kwa vikao vyenu.
Mwaka huu kazi mnayo wana ufipa, mnaenda kugalagazwa vibaya sana. Ndio mfahamu Magufuli ni nani.
Screenshot_20200920_201156.jpg
 
Tunamuomba Rais mtarajiwa kutembelea vijiji vya Nyamikoma,kamwanga na lwenge viko kms 5 tu kutoka geita mjini, hakuna huduma ya maji Safi na salama,hakuna umeme,hakuna barabara,hakuna shule,hakuna zahanati. Magufuli tumemuomba muda mrefu hataki na Hajawahi kufika huku tangu azaliwe. Katoro hakuna maji kabisaaaaaaa
Tundu Lissu kiboko yao...... Mpaka sasa katembelea vijiji kibao ambavyo Hakuna rais amewahi kufanya hivo.... Bila shaka yupo humu yy au wasaidizi wake watamjulisha.....

Hatutaki tena magufuli dikteta na fisadi mkuu wa taifa na mharibifu wa uchumi wa nchi na watu
 
Kama unamfahamu mbona unasema hakuwa na Jeshi?
Sasa nchi za ughaibuni na huku kwetu ni nchi na mabara mawili tofauti

Kwanza sisi Watanzania ni waoga hatuwezi kufika level hizo

Pia sisi ni wazee wa ndio mzee kwa ajili ya uwoga wetu

Hata hivyo tukubali tu ccm itashinda ushindi wa kishindo
 
Sasa nchi za ughaibuni na huku kwetu ni nchi na mabara mawili tofauti

Kwanza sisi Watanzania ni waoga hatuwezi kufika level hizo

Pia sisi ni wazee wa ndio mzee kwa ajili ya uwoga wetu

Hata hivyo tukubali tu ccm itashinda ushindi wa kishindo
Hujitambui hata hujui alikuwa Rais wa nchi gani.
 
Mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu yupo Mkoani Geita akiendeleza kampeni zake za kuingia Ikulu.

Lissu aliyewasili mkoani Geita hapo Jana na kupata mapokezi yaliyovunja Rekodi ya Tanzania katika mji wa Katoro Jimbo la Busanda.

Mkoa wa Geita ni nyumbani kwa mgombea wa CCM John Magufuli Lakini shauku ya wananchi kumuunga mkono mgombea wa Chadema inakitia hofu kubwa chama tawala Cha CCM.

Lissu aliwasili usiku mjini Geita na kulakiwa na halaiki kubwa ya watu wanaokadiriwa kufikia elfu 10

Umati wa huo wa watu ulimsindikiza mpaka Hotelini alikofikia na ulikesha nje ya Hoteli hiyo kwa kile walichodhani wanamlinda Rais wao.

Mapokezi ya Lissu Geita ni salaam tosha kwa chama tawala na mgombea wake kwamba Zama zao zinaelekea ukingoni

Molemo Media itawaletea yatakayojiri katika mkutano wa Hadhara mjini Geita

Video ya kwanza chini inaonyesha mapokezi yake ya Jana alipotua kwa Mara ya kwanza mkoani Geita Jimbo la Busanda.
Mjini Geita usiku hotelini.

1DDFD751-D94B-4E1F-BC11-82AAB122235E.jpeg
 
Mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu yupo Mkoani Geita akiendeleza kampeni zake za kuingia Ikulu.

Lissu aliyewasili mkoani Geita hapo Jana na kupata mapokezi yaliyovunja Rekodi ya Tanzania katika mji wa Katoro Jimbo la Busanda.

Mkoa wa Geita ni nyumbani kwa mgombea wa CCM John Magufuli Lakini shauku ya wananchi kumuunga mkono mgombea wa Chadema inakitia hofu kubwa chama tawala Cha CCM.

Lissu aliwasili usiku mjini Geita na kulakiwa na halaiki kubwa ya watu wanaokadiriwa kufikia elfu 10

Umati wa huo wa watu ulimsindikiza mpaka Hotelini alikofikia na ulikesha nje ya Hoteli hiyo kwa kile walichodhani wanamlinda Rais wao.

Mapokezi ya Lissu Geita ni salaam tosha kwa chama tawala na mgombea wake kwamba Zama zao zinaelekea ukingoni

Molemo Media itawaletea yatakayojiri katika mkutano wa Hadhara mjini Geita

Video ya kwanza chini inaonyesha mapokezi yake ya Jana alipotua kwa Mara ya kwanza mkoani Geita Jimbo la Busanda.
Mungu ambariki na kumlinda mja wake Tundu Antiphas Lissu. Amuepushe na wabaya na mabaya yote kwa Jina la Yesu Kristo!
 
Tunamuomba Rais mtarajiwa kutembelea vijiji vya Nyamikoma,kamwanga na lwenge viko kms 5 tu kutoka geita mjini, hakuna huduma ya maji Safi na salama,hakuna umeme,hakuna barabara,hakuna shule,hakuna zahanati. Magufuli tumemuomba muda mrefu hataki na Hajawahi kufika huku tangu azaliwe. Katoro hakuna maji kabisaaaaaaa
Yeye kila kitu chatooooo
 
Siste
Geita Ina Wakazi elfu 8 Mia mbili hao wakati elfu kumi na Zaidi wametoka wapi?ndio wanaokuja na malori au?
Geita Ina Wakazi elfu 8 Mia mbili hao wakati elfu kumi na Zaidi wametoka wapi?ndio wanaokuja na malori au?
Umeniabisha kabsa sister 😂😂😂😂😂😂watu Elfu8200,😂😂😂iyo sensa yamwaka gani?samahan lakni.......inamaana uwanja wamkapa unabeba geita7 nanusu😂😂😂😂😂dah hatari kweli
 
Back
Top Bottom