Uliza swali lingine.Ukiona tweet za picha na video zinasuasua jiongeze kuna nini?
Chadema hoi , hawana chochote cha Ku tweet.
Tambua geita imetawaliwa na pesa na dhahabu. Smartphone za kutosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliza swali lingine.Ukiona tweet za picha na video zinasuasua jiongeze kuna nini?
Chadema hoi , hawana chochote cha Ku tweet.
Tambua geita imetawaliwa na pesa na dhahabu. Smartphone za kutosha.
Rais wa Nchi akose Polisi na Jeshi la Nchi?Sikuwepo ila nadhani hakuwa nalo
Hakuna kuiba kura mmeshaambiwa...Unaota.
Hutaamini kitakachotokea October 28, 2020.
Kama uliahidiwa U DC au U DAS imekula kwako, tafuta shamba uanze kulima na kuishi kwa jasho lako...Ndio hakuna itakayoibwa ila, hamtakaa mpite uchaguzi huu. Amini usiamini.
Huu udanganyifu mtaufanya hadi Ikulu!
Lumumba watasema za mwaka 2015
Keep on dreaming.Huu udanganyifu mtaufanya hadi Ikulu!
Ndio maana hamtachaguliwa!
Muache tabia ya kuokota okota picha za fiesta huko Clouds!Keep on dreaming.
Endeleeni kumdanganya Mgombea wenu kuwa picha hizi ni za 1970, anapogundua ukweli ndio chanzo cha kupata presha na kusitisha kampeni.Muache tabia ya kuokota okota picha za fiesta huko Clouds!
Wewe ndio unajidanganya kwamba umedanganya na kufaulu!Endeleeni kumdanganya Mgombea wenu kuwa picha hizi ni za 1970.
Mkuu nikiona au kusoma jina la 3th presidaa, nakata tamaa kabisa kwenye mchezo wa siasa.Hapo Benjamin Mkapa hospital baada ya video hii Mstaafu wetu anaendeleaje?
Wewe unamwita Dhalimu,Meko hana chake uchaguzi wa mask's huu. Yaani kama huko kwao hawamtaki, unadhani ni wapi watamchagua huyu dhalimu.
Molemo bana!
Hujachoka tu kuandika thread kama hizi kuanzia mwaka 2010.
Nakumbuka wakati wa kampeni mwaka 2010 ulivyokuwa unaleta thread kuhusu Dk. Slaa.
Mwaka 2015 kwenye Uchaguzi Mkuu pia ukaleta tena thread kama hizi!
Mwaka huu hujachoka pia lakini tatizo lako kila ukileta thread kama hizi mgombea wako hupigwa chini!
Jiandae na mwaka huu kama ilivyotokea miaka ya nyuma!
Hamna wa kumzomea mpakwa mafuta wa bwana.Wana Geita tunaomba huyu mpiga maendeleo ya mkoa wa Geita azomewe leo , View attachment 1578954
Machozi yananitoka aisee,Loh.
Hahahaha [emoji23].Kama uliahidiwa U DC au U DAS imekula kwako, tafuta shamba uanze kulima na kuishi kwa jasho lako...
By design mifumo yote inawabeba hawa jamaa hawahitaji kuiabudu.Ningekuwa mchora katuni ningechora jinsi ccm na meko wakiiabudu tume na polisi na jw ili wabebwe.
Ndio, kura ya mtu haichukuliwi!Hakuna kuiba kura mmeshaambiwa...
Hakuna cha wakati apo alipo kwenyewe yupo hoi lazima apigwe chiniItategemea wananchi wanataka nini kwa wakati huo.
Sio jambo la kukurupuka.