vipik2
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,845
- 2,258
URIO
1. Hakwenda wa DCI - na ndiyo maana anakwepa kusema tarehe na muda
2. Kingai, DCI na URIO walifanya kikao kwa DCI, cha ajabu hakuna tarehe ya kikao hicho ambacho Mahakama imefahamishwa ili kujiridhish,,,
Mpaka hapo makomandoo wa Denis Urio hawana kesi ila goli la mkono linaendelea kutengenezwa kwa Mh Mbowe