Yaliyojiri kesi ya Mbowe 01/02/2022. Luteni Denis Urio amaliza kutoa ushahidi wake. Shahidi wa 13 kuanza 04/02/2022

Yaliyojiri kesi ya Mbowe 01/02/2022. Luteni Denis Urio amaliza kutoa ushahidi wake. Shahidi wa 13 kuanza 04/02/2022

Hivi Mh. Kibatala hana mtu anaweza kumlipia kwenda kozi fupi ya kudodosa- maana ni ZERO KABISA
Shahidi kachengeshwa mpaka anapagawa,anafoka na kumkana hata baba yake mdogo!
Kumbe Shahidi hakumuona mwanaye wakati anazaliwa na badala yake alipelekewa amuone akiwa selo!
Tusijeshangaa baba mdogo wa Urio na mke wa Urio wakaja kuwa mashahidi wa utetezi,patamu hapo😅!
 
Kwa aina ya Shtaka ni lazima Bwana Urio awe chini ya Ulinzi (kizuizini),hawezi kutokea Hotelini au Nyumbani hata siku moja
Tatizo ni kwamba Urio hata ndg zake wamesha achana nae kwa kitendo cha kuchoma wezie, kibitala na wenzake wameweza kupata taarifa nyetu kuhusu yeye na hio taarifa inatoka ndani ya familia yake, huyu John Urio ni chazo kikubwa cha kuvuja kwa taarifa zake, ndo maana anakasilika anjiuliza nani katoa hizo taarif?.......pia na jaji kaokoka anataka ajue mengi alio danganywa leo hi au kesho hu shahidi itakua kushine, njia ya muongo siku zote ni fupi
 
Bwana Urio anaingia Kingi taratibu,ngoja tuendelee kubaki hapa:

Kibatala: Kwa Tanzania ipo hiyo CIMIC

Shahidi: Haipo, Ipo katika Active Operation, Kama Nchi Zenye Vita.

Kibatala: Kwa Maana yake Tanzania Hakuna Utaratibu Wa Jeshi Kushea Taarifa na Jeshi Kama la Polisi

Shahidi: Utaratibu huo upo

Kibatala: kwa Maana hiyo CIMIC ipo

Shahidi: Ndiyo ipo
 
Wewe msifie tu na uchakachuaji wake- tutweka ya Mwananchi na zingine jioni tulinganishe
Weka sasahivi kesi ikiendelea,kwanini usubiri jioni? Anzisha Uzi wako ulete updates za real time kama anavyofanya mleta mada tuone huo uchakachuaji.

Au waambie hao Mwananchi watuletee yanayojiri sasahivi,sio kuleta viporo vya jioni.
 
Weka sasahivi kesi ikiendelea,kwanini usubiri jioni? Anzisha Uzi wako ulete updates za real time kama anavyofanya mleta mada tuone huo uchakachuaji.

Au waambie hao Mwananchi watuletee yanayojiri sasahivi,sio kuleta viporo vya jioni.
Afadhali kiporo real kuliko edited real time updates
 
Una 'justification'?
Niambie mkuu hili swali linamhusu Urio- The arrogant lawyer is just hitting around the bush

Kibatala: Unafahamu Kwamba Mbowe (Homeboy Wako) Msaidizi Wake Ben Focas Rabiu SaaNane Kapotea Mpaka Leo hajulikani Halipo

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Je Mpaka hapo huoni Kwamba Mtu alikuwa anahitaji Walinzi (Ulinzi)

Shahidi: suala la Walinzi ni Swala Binafsi la Mtu
 
Sasa mbona upo humu kila siku unasubiri edited updates?
Ndiyo kazi ninayo fanya- kuwatahadharisha watu kuwa hizi updates
zimehaririwa kujenga taswira kuwa
1. Mbowe ameonewa
2. serikali haina ushahidi
3.polisi ni wajinga
4. mawakili waserikali hawajui
5. mahakama zinaupendeleo au zimebanwa na dola
 
Shahidi kàambiwa na mawakili wake ukiona unaulizwa maswali magumu fanya mambo mawili;

1. Kasirika halafu foka na ikibidi cheka kicheko cha ''kama mwehu" hivi....

2. Mwambie wakili hivi "uliza maswali relevant bwana"

Bahati mbaya kuwa amekwaa kisiki kwa amekutana na wakili kichaa kumzidi yeye...!
 
Bwana Urio anaingia Kingi taratibu,ngoja tuendelee kubaki hapa:

Kibatala: Kwa Tanzania ipo hiyo CIMIC

Shahidi: Haipo, Ipo katika Active Operation, Kama Nchi Zenye Vita.

Kibatala: Kwa Maana yake Tanzania Hakuna Utaratibu Wa Jeshi Kushea Taarifa na Jeshi Kama la Polisi

Shahidi: Utaratibu huo upo

Kibatala: kwa Maana hiyo CIMIC ipo

Shahidi: Ndiyo ipo
Yaan URIO anaacha watu hoi kwa mshangao, sio kwa mambo anayoonesha hapo mahakamani. Ni fedheha tupu kwake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndiyo kazi ninayo fanya- kuwatahadharisha watu kuwa hizi updates
zimehaririwa kujenga taswira kuwa
1. Mbowe ameonewa
2. serikali haina ushahidi
3.polisi ni wajinga
4. mawakili waserikali hawajui
5. mahakama zinaupendeleo au zimebanwa na dola
Mbona ni simple tu na wewe unaleta updates zako.

Unadhani wote tuna fikra finyu kama ilivyo kwako? Tunafuatilia mwenendo wa kesi hii kwenye vyombo mbalimbali vya habari na hiki kinacholetwa hapa ndicho kinachopatikana kwenye vyombo vingine vya habari kama magazeti.

Nikija nikisikia hata kwa bahati mbaya kwamba wewe ni mwanasheria kiukweli kabisa moyo wangu utasononeka mno kwamba kada ya sheria imeingiliwa na makanjanja aina yako.

Maana unachokizungumza kwenye kila comment yako ni mahaba tu kwa ccm yako ila hayana mantiki kabisa kwa mtu aliyepevuka kifikra.
 
Siongelei ushabiki mkuu nazungumza kama mtaalam.

Hayo maswali hayalengi kuextract relevant information toka kwa shahidi ni kama wanapiga nae stori tu .

Maswali machache tu yangetosha.
una maana gani? kwa mfano swali la tarehe ya kwenda kwa DCI ni story? au swali la kuwa kizuizini ni story?au swali simu CARD kuwa zipo kwenye simu ni story? jaribu kujiongeza ndugu yangu
 
Mbona ni simple tu na wewe unaleta updates zako.

Unadhani wote tuna fikra finyu kama ilivyo kwako? Tunafuatilia mwenendo wa kesi hii kwenye vyombo mbalimbali vya habari na hiki kinacholetwa hapa ndicho kinachopatikana kwenye vyombo vingine vya habari kama magazeti.

Nikija nikisikia hata kwa bahati mbaya kwamba wewe ni mwanasheria kiukweli kabisa moyo wangu utasononeka mno kwamba kada ya sheria imeingiliwa na makanjanja aina yako.

Maana unachokizungumza kwenye kila comment yako ni mahaba tu kwa ccm yako ila hayana mantiki kabisa kwa mtu aliyepevuka kifikra.
Huna uwezo wa kuchakata taarifa yoyote- unajisomea tu yanaingia yanatoka
 
Kibatala: Hata Kunywa Bia lazima Ufuate Sheria, Ndiyo Maana inatakiwa uwe above 18. Je Kiongozi Wako wa Kambi Ulimwambia Kwamba wewe Uliwa' Recruit hawa Walinzi?

Shahidi: Ndiyo nilimwambia

Kibatala: Kwahiyo Ofisi Inafahamu wewe Ukiwa Recruit hawa

Shahidi: Ndiyo
duh... balaa hili - JWTZ kazi mnayo !! mkiambiwa na mahakama mdhibitishe kauli hizi mtaweza kweli ?
 
Niambie mkuu hili swali linamhusu Urio- The arrogant lawyer is just hitting around the bush

Kibatala: Unafahamu Kwamba Mbowe (Homeboy Wako) Msaidizi Wake Ben Focas Rabiu SaaNane Kapotea Mpaka Leo hajulikani Halipo

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Je Mpaka hapo huoni Kwamba Mtu alikuwa anahitaji Walinzi (Ulinzi)

Shahidi: suala la Walinzi ni Swala Binafsi la Mtu
kwa akili yako huwezi kuona implication ya swali hilo!
 
Back
Top Bottom