Yaliyojiri kesi ya Mbowe leo Novemba 05, 2021: Inspector Mahita Mohamed atoa ushahidi

Yaliyojiri kesi ya Mbowe leo Novemba 05, 2021: Inspector Mahita Mohamed atoa ushahidi

Na ambaye alihuzunika alishiriki dhambi kubwa na mwendazake na hivyo MUNGU mwenyewe Kama alivyo tuokoa tarehe 17.March atatuokoa kwa kumfikia mmoja ya wale walioshiriki naye.
Ameen.. tawile
 
Kumbe afande jeifoo alihusika kumbambia mzee wakimeru pembe za ndovu!!! Sasa mbambikaji huyu anashindwaje kuwabambika sana bastola na kete za unga??
Shahidi jeifogo asikosekane tafazali.
Kwamsaada tuu,
Mawakili wa sirkali wanavyoita mashahidi wengi haiwasaidii ndiyo kwaaanza ushahidi unadhihirika kuwa feki.Mara muuza mbege,Mara jeifoo hahahhahhh dah!! labda kama niili washtakiwa wasote gerezani sikunyingi!
Niaibu sana itapodhihirika (japo nikama tayari) kuwa nikesi ya uongo wakati prezaa naye alitiamo kaujuaji! Hivi hairuhusiwi akawe shahidi??
 
Uzi umekuja kwa kuchelea sana leo
Last time walidisconnect wall socket, usikute wakati huu waling'oa viti ili wakose pa kukaa waleta habari wetu. Imbombo ngafu, mama anapambana kurejesha imani kwa watanzania na wafadhili huku mijitu mingine inazidi kudidimiza juhudi zake.
 
Hivi ni kweli kwamba hawa jamaa hawakua na pesa mfukoni? Watu wanaopanga njama za ugaidi wasiwe hata na nauli?

Au ndo zilizotumika kula nyama pale Boma, maana polisi wetu wana njaa kali. Inawezekana walilishwa na watuhumiwa kinguvu.

Halafu polisi walienda Arusha kumtafuta Moses Lijenje kwa dada yake huku wakiwa hawajui jina la dada yake. Walipataje ripoti kwamba kaenda kwa dada yake na aliyewapa ripoti asijue jina la huyo dada, anapoishi na wala asijue namba za simu?
 
Nilikuwa na shughuli maalum Mahakamani hapahapa, nikajua mkuu Replica atashika kazi hii
Hongereni wataalam mnaletaga mtanange livelive mpakaraha!!
Hii kesi ni zaidi ya fainali ya Uefa!!
Ningejuaje MTU anaweza kukaa,humu anakunywa bia huku anasajili line huku anatembea kama sio mama muuza mbege & mluguru mahita Vs wakili msomi kibatala!!
Alafu anatokeamo zuzu mmoja anadai tusiseme wakili 'MSOMI'!! Sasa tutatofautishaje kina kibatala nahao mawakili uchwala wa sirkali??
 
1938612-Jim-Rohn-Quote-It-only-takes-one-lie-to-taint-your-entire.jpg
 
Kumbe afande jeifoo alihusika kumbambia mzee wakimeru pembe za ndovu!!! Sasa mbambikaji huyu anashindwaje kuwabambika sana bastola na kete za unga??
Shahidi jeifogo asikosekane tafazali.
Kwamsaada tuu,
Mawakili wa sirkali wanavyoita mashahidi wengi haiwasaidii ndiyo kwaaanza ushahidi unadhihirika kuwa feki.Mara muuza mbege,Mara jeifoo hahahhahhh dah!! labda kama niili washtakiwa wasote gerezani sikunyingi!
Niaibu sana itapodhihirika (japo nikama tayari) kuwa nikesi ya uongo wakati prezaa naye alitiamo kaujuaji! Hivi hairuhusiwi akawe shahidi??

Bado yaani...
Wataleta mashaidi kutoka Aishi hotel, walipokula nyama, aliyeziba pancha, aliyewapokea kituo cha polisi moshi, waliokuwa mapokezi central, hadi wafagiaji...heheee!!
 
Last time walidisconnect wall socket, usikute wakati huu waling'oa viti ili wakose pa kukaa waleta habari wetu. Imbombo ngafu, mama anapambana kurejesha imani kwa watanzania na wafadhili huku mijitu mingine inazidi kudidimiza juhudi zake.
Hahaha martin alivyosimulia hilo tukio nilicheka

Alisema huyo kibopa alichoifanya ile socket baada ya kuipasua alitawanya zile nyaya afu akazikunjia kwa juu
 
Bado mtoa hoja yupo live mpaka sasa hivi, means bado mawakili wanachuana mpaka saa giza hili?
 
Majaliwa , Mpango , Kabudi , Mwigulu, Sirro na Ndugai, hawa ni legacy ya Mwendawazimu inayomtesa bibi wa kiarabu.
Wamemdibiti sawasawa kabaki anarembua tu.
Huyu majaliwa huyu mnafiki sana, wale wote aliotofoutiana nao enzi za JPM awefakuzisha kazi kama sio kuwasimamisha na kuwashitaki.

Anzia kwa Kakonko, mwakabibi na etc…
 
Kibatala; unafahamu afande jumanne amesi amishwa kazi kwa kumbambikia mtu Meno ya tembo kwenye mzinga wa nyuki na yeye ni miongoni mwa mashahidi kwenye hii kesi?

Shahidi; sifahamu Kama kasimamishwa kazi

Kibatala; unafahamu kuwa afande jumanne anatuhumiwa kumbambikia mtu Meno ya tembo kwenye mzinga wa nyuki?

Shahidi; nafahamu

Makubwa!!!!!!
Bado kuna mapumbafu yanaona hii kesi ni sawa tu... Yaaani inamatobo mengi mnooo.... Ni mwehu tu anaweza ihukumu kwa favor ya serikali naridia ni mwehu tu awezaye.
 
Afu msikitini hakosi swala tano....

Kama mwendazake na siti za mbele kanisani....
Wanafiki sana hawa watu wawili, kwanini wasiwe kama wa msoga na shehe nkapa, watu tujue moja kama ni ubaya ubaya tu!

Unafiki na uongo ndio chanzo cha dhambi zote duniani.
 
... hao walioandika hati ya mashtaka na wanaotoa ushahidi mahakamani kwamba hata Kiswahili kinawashinda? Kuwadhuru viongozi wa Serikali; sasa taja hao viongozi; Sabaya; wengine? Sabaya! Kwamba Sabaya anatajwa kwa wingi amekuwa Mungu?

Bwana Mungu na akasema, "tumfanye mtu kwa mfano wetu ...". Kwanini hati ya mashtaka na ushahidi visingetaja tu kiongozi wa serikali badala ya viongozi! Another mistake on jamhuri's side! You can see the ill motives behind thise case!
Kwa akili yao waliona wanatilia uzito juu ya mashtaka, walisahau kama kimbembe kipo katika kuthibitisha.
 
Back
Top Bottom