Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,941
- 2,081
Mkuu unashangaa fagio kugeuzwa mwiko wakati ugaidi wooote mpaka wa kukata miti ulikuwa unategemea bastora hiyohiyo moja na risasi 3Hii case sijui kwa nini inaendelea. Tayari mission imeshafeli. Tukio moja hilo hilo, Shahidi aliyetajwa na Mahita aliposimama kizimbani alisema alishughudia akiwa anafagia tena saa 7 mchana, lakini Mahita alimuona anapika. Yaani Leo fagio linafanana na mwiko jmn?????. Serikali iondoe kusudio la kuendelea nayo.
Binafsi nashindwa kuelewa hawa mashahidi, inamaana hawaelewi ni kwanini wanaulizwa hayo maswali? Mi naona wanajibu jibu tu hata bila kufikiri. Hawajui kuwa majibu yao yanaweza kudisqualify ushahidi wanaoutoa au ni vile wamejawa na viburi kwamba the end will justify the means......Halafu anaonekana vitu vingi katika taaluma yake havijui, protocols za kazi hazijui
Amefeli mtihani wa logic, kua kama umeshindwa kujua office mate wako kua ni mhalifu utawezaje kujua uhalifu wa mtu mwingine amnaye yuko mbali?
Unasema waliopanga conspiracy za ugaidi ni makomandoo halafu unawahamisha kutoka kituo cha polisi chenye askari wengi (sehemu yenye uhakika wa usalama) unawapeleka kituo kingine tena mkiwa watatu tu bila securirty escort?
Majinga hayo ndio maana yanafungia mahakama yanaogopa matabrarasa yao ya jamhuri yanapuyanga. Utasikia jumatatu mbinde yake kuingia mahakamani.Kwani Uzi huu unashida Gani? Nyuzi zote ambazo hazina Maana JF huziondoa. Unataka tusijue Yanayo Endelea?
Na laki sita hawa jamaaa vichwa zao zimejaa kamasi. Muvi LA kihindi kabisa tena enzi za dharumendaMkuu unashangaa fagio kugeuzwa mwiko wakati ugaidi wooote mpaka wa kukata miti ulikuwa unategemea bastora hiyohiyo moja na risasi 3
Mkuu huyo jmanne na wenzake walienda kumuomba mzee maeda a wasamehe lakini akakataa na kuwaambia wamrudishie tu mzinga wake wa nyuki. Cha kushangaza wamefukuzwa kazi lakini hawako ndani na hawajashtakiwa kesi yao ni uhujumu uchumiKumbe huyo Askari Jumanne ndo aliongoza wenzake kwenda kumbambikia mstaafu meno ya tembo na amesimamishwa kazi! Maluuni mkubwa!
Anaweza kuwa shajidi namba nane ..tusubiri anaona wenzake wanapigwa za uso anahofu sana.Kama kwa upande wako huna cha kujifunza kwenye hii kesi, basi wewe utakuwa ni mwanadamu outdated kabisa! Na huenda wewe ndiyo anaye ota! Maana kama huamini hivi namna mashahidi wenzako wanavyo jichanganya pale mahakamani.
Na hayo mawazo yako ya kufa kwa JF yasahau! Maana utatangulia wewe, na JF itabaki milele.
Mahita:Sahihi kabisaYule mama wa mbege juzi.
Kibatala; wakati wanakamatwa walikua wanafanya nini?
Mama wa mbege; walikua wasajili line huku wanakunywa bia.
Kibatala; walikua wanatembea?
Mbege; hapana wamekaa.
Leo Mahita
Kibatala; wakati unawakamata ulikuta wanafanya nini?
Mahita; walikua wanakuja kwangu
Kibatala; hawakuwa wamekaa?
Mahita; sahihi kabisa
Kasema ROHO MTAKAVITU si ROHO MTAKATIFU muelewe jamaaa ametumia SARCASM... KuwasilishaSema mapepo yao, Roho Mtakatifu wetu hana mambo ya hivyo.
Shosti mama mbege alisema walikuwa wamekaa!Yule mama wa mbege juzi.
Kibatala; wakati wanakamatwa walikua wanafanya nini?
Mama wa mbege; walikua wasajili line huku wanakunywa bia.
Kibatala; walikua wanatembea?
Mbege; hapana wamekaa.
Leo Mahita
Kibatala; wakati unawakamata ulikuta wanafanya nini?
Mahita; walikua wanakuja kwangu
Kibatala; hawakuwa wamekaa?
Mahita; sahihi kabisa
Well said.
Unajua maana PGO?wafuasi wa Mbowe jitahidini sana kuheshimu mahakama, vitendo mnavyo vifanya mahakamani vya kupiga makelele na kuleta vurugu sio sahihi ma wala haviwezi kumsaidia Mbowe na wenzake.
Jambo la kushangaza zaidi ni pale nilipo muona Mnyika akiongoza mayoe.....yaaani hapo chadema hawana katibu mkuu.
PGO ni samaki aina ya kibua.Unajua maana PGO?
Well said.
The problem is that the magistrate may assume he has not seen/detected the lie.
Or the judgement may have been written even before the case have been presented in a court of law.
Atafungwa ndiyo, unatakaje sasa!Mahita:Sahihi kabisa
..... Yaaani Sawa ,Mbowe atafungwa ila mjiandae kisaikolojia ...msipuuze kama 17th March. Mungu yupo na wanamuapia.
Unaweza kusoma PGO au nikusomee?PGO ni samaki aina ya kibua.
Yaani Mungu kila wakati huwa na makusudi tofauti na mwanadamu.Hii case sijui kwa nini inaendelea. Tayari mission imeshafeli. Tukio moja hilo hilo, Shahidi aliyetajwa na Mahita aliposimama kizimbani alisema alishughudia akiwa anafagia tena saa 7 mchana, lakini Mahita alimuona anapika. Yaani Leo fagio linafanana na mwiko jmn?????. Serikali iondoe kusudio la kuendelea nayo.
Unavyokuja kindezi unajibiwa kindezi...tuliza washeli hiyo.Pole Sana jisamehe mwenyewe
Wewe wakala wa shetani ,Umekuwa HAKIMU sikuhizi unalalamika kelele za mahakamu yako.Ni hivi MBOWE atafungwa ili wewe na wenzako hapo LUMUMBA muuongezewe mshahara.Njaa ,Magonjwa,dhiki na kila aina ya taabu zikapate kutamalaki kwenu .wafuasi wa Mbowe jitahidini sana kuheshimu mahakama, vitendo mnavyo vifanya mahakamani vya kupiga makelele na kuleta vurugu sio sahihi ma wala haviwezi kumsaidia Mbowe na wenzake.
Jambo la kushangaza zaidi ni pale nilipo muona Mnyika akiongoza mayoe.....yaaani hapo chadema hawana katibu mkuu.