Kumbe huyu afande Jumanne mwenyewe ameshawahi kusimamishwa kaz kwa kumbambikia mtu meno ya tembo, jeshi letu la polisi limeoza imagine huyo ndio mkubwa sijui kwa walio chini yake wakoje.
ASP Bageni alihukumiwa kunyongwa hadi kufa na Mahakama Kuu kwa kuwapora na kuwaua wale ndugu wafanyabiashara wa madini toka Morogoro na dereva taxi; alipokata rufaa the Supreme Court ikakazia hukumu; sina hakika kama alishalishwa kitanzi au bado. Hao ndio mabosi wa jeshi la polisi; imagine huko chini hao "nyoka" wanaosaka senti za ku-brush viatu wakoje!Kumbe huyu afande Jumanne mwenyewe ameshawahi kusimamishwa kaz kwa kumbambikia mtu meno ya tembo, jeshi letu la polisi limeoza imagine huyo ndio mkubwa sijui kwa walio chini yake wakoje.
Siyo tu ameshawai, mpaka dakika hii hayupo kazini kasimamishwaKumbe huyu afande Jumanne mwenyewe ameshawahi kusimamishwa kaz kwa kumbambikia mtu meno ya tembo, jeshi letu la polisi limeoza imagine huyo ndio mkubwa sijui kwa walio chini yake wakoje.
Mtihani kwa kweli!!!Siyo tu ameshawai, mpaka dakika hii hayupo kazini kasimamishwa
... halafu kwenye hii kesi ya ugaidi ni miongoni mwa mashahidi upande wa jamhuri; sijui atakuja kama polisi au raia!Siyo tu ameshawai, mpaka dakika hii hayupo kazini kasimamishwa
😁😁😁😁 Hawa jamaa wanajiaibisha aisee! Hii kesi ya Profesa wa watu mstaafu kuwekewa meno ya tembo nyumbani kwake halafu wakamtishia kumpeleka polisi, au atoe milioni 70 ili wamalizane, uzi wake ulikuwemo humu jukwaani, na pia vyombo vya habari vili irusha hii taarifa! Kumbe na Jumanne naye alikuwemo!!Kibatala; unafahamu afande jumanne amesi amishwa kazi kwa kumbambikia mtu Meno ya tembo kwenye mzinga wa nyuki na yeye ni miongoni mwa mashahidi kwenye hii kesi?...
Na Sabaya naye atakuja kama DC wa Hai, Jambazi sugu, Mwizi, Mporaji wa mali za watu na Mhujumu uchumi, au!!... halafu kwenye hii kesi ya ugaidi ni miongoni mwa mashahidi upande wa jamhuri; sijui atakuja kama polisi au raia!
Na kibatala amempa break akapumue kidogo amemwabia anayo maswali mengi Sana kwake.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Hawa jamaa wanajiaibisha aisee! Hii kesi ya Profesa wa watu mstaafu kuwekewa meno ya tembo nyumbani kwake, au atoe milioni 70 uzi wake ulikuwemo humu jukwaani! Kumbe na Jumanne naye alikuwemo!!
Kwa hali hii sasa mbona ukweli uko wazi kabisa! Polisi ni wabambikiaji wa kesi.
.... ha ha ha! Sijui sheria zetu zinasemaje kuhusu mhalifu tena jambazi la silaha za moto kutoa ushahidi mahakamani! Very tricky indeed!Na Sabaya naye atakuja kama DC wa Hai, Jambazi sugu, Mwizi, Mporaji wa mali za watu na Mhujumu uchumi, au!!
Kwa ushahidi wa leo wanaweza mrudisha kazini kuzima sooSiyo tu ameshawai, mpaka dakika hii hayupo kazini kasimamishwa
Shahidi namba 7 anaelekezwa na upande wa Jamhuri kuileza mahakama
- Kuwepo kwa watu waliokuwa na mpango wa kufanya ugaidi
- Kaeleza pia walivyowakamata.
- Kuwatambua na kawaonyesha wahusika.
Wakili wa Serikali: Kwenye Briefing Mlielezwa Mambo gani
Shahidi: Afande Kingai alituambia Kuwa amepewa Maelekezo ya Kuunda Kikosi Maalum, na Kikosi Hilo Ndiyo MIMI, ASP Jumanne, Goodluck, Francis, na PC Aziz Kwamba Kuna Kikundi Cha Watu kinataka Kufanya Vitendo Vya kigaidi
Wakili wa Serikali: Vitendo gani hivyo Shahidi: Kuwa Kikundi hicho kinataka Kufanya Vitendo Vya Kigaidi Mikoa Mbalimbali ikiwemo Arusha, Kilimanjaro, Dar es Salaam, Mwanza na Mbeya Uhalifu walipokuwa wanataka Kufanya ni KUCHOMA Vituo Vya Mafuta, Kuzuia Barabara, Kukata Miti, kuwadhuru Viongozi Wa Serikali Ikiwemo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Hai, Ole Lengai Sabaya Maandamano ambayo haya Ukomo, na Pia alitueleza Washirika ambao wanataka Kufanya Matukio hayo
Wakili wa Serikali: Aliwataja akina nani
Shahidi: Afande Kingai alisema Mpango huo ulikuwa unaratibiwa na Mheshimiwa Freeman Mbowe
Shahidi: alisema Wahalifu Wengine wapo Moshi, Kwa hiyo tuwazuie Twende Mkoani Kilimanjaro Wilaya Ya Moshi Alisema Kuna watuhumiwa 4 ambao walikuwa Moshi
Wakili wa Serikali: Wakina nani
Shahidi: Walikuwa wanakamilisha Mpango wa kwenda Kumdhuru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya
Wakili wa Serikali: Kingai alisema Madhumuni ya Mpango yote ni nini
Shahidi: Kuleta Taharuki, Ili Nchi is iweze Kutawalika Tunapoelekea Kwenye Uchaguzi Akasema tuzuie Matendo hayo, Ili Nchi eindelee Kuwa Salama
Wakili wa Serikali: Mengine
Shahidi: Hayo tu kwenye Briefing
Sioni maswali ya Kibatala na wenzake yakielekea kupangua hayo
Alafu anadai kaaya alikamatwa kwa kuwa na noti bandia na kaaya alidai alikamatwa kwa kuhusika na ugaidiNIMEGUNDUA JAMBO MOJA:
Katika kusema UONGO kamwe hakuna consistency hata kidogo.....
... hao walioandika hati ya mashtaka na wanaotoa ushahidi mahakamani kwamba hata Kiswahili kinawashinda? Kuwadhuru viongozi wa Serikali; sasa taja hao viongozi; Sabaya; wengine? Sabaya! Kwamba Sabaya anatajwa kwa wingi amekuwa Mungu?Kibatala; hati ya mashtaka inataja kudhuru viongozi, hao viongozi ni akina nani
Shahidi; sabaya
Kibatala; mwingine?
Shahidi; sabaya
Kibatala; sabaya umemtaja na walikua wengi tutajie mwingine
Shahidi; sabaya
Hii sasa kali.
... kazi kweli kweli! Mwandaa script mjinga sana!Alafu anadai kaaya alikamatwa kwa kuwa na noti bandia na kaaya alidai alikamatwa kwa kuhusika na ugaidi