Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Si tumekubaliana ya kwetu tunamalizana hapahapa bila upande watatu kujua.?.



Sasa hujui, ungewatag, omba Shoga yako, akusaidie kuwatag hapo

Waje waone.
Unagongewa mke unakuja kuleta sifa jf tutafukua hapa utakimbia waulize bavicha wenzako mm sio wa kukimbilia utapotea hapa

USSR
 
Achana na huyo bibi
Mkuu mpuuzi hupuuzwa, mjinga huelimishwa lakini upumbavu ni next level kudeal nao inahitaji mbinu mbadala!

Imagine mtu anatumia maandiko huku anajuwa fika anatetea dhulma! Ndio binadamu tunadhambi lakini kuna dhambi zingine si machukizo tu kwa MUNGU mpaka kwa wanaadam

Mama D kama anamfuata na kumuamini MUNGU ninayemuamini mimi basi angalau awe na kiasi, mwanamke sifa zake kuu ni upendo, huruma na utu lakini CCM inamfanya anakosa hata sifa moja kati ya hizo! Haipendezi kabisa
 
SHIDA NI KUWA MNASHANGILIA KESI BADALA YA KUSUBIRI EITHER KUSHANGILIA AU KULIA WAKATI WA HUKUMU MNAONA KESI NI NYEPESI LAKINI MWISHO MTAKUJA KULIA KILIO CHA MBWA MWIZI
Wakati hao wakiwa na kilio, wewe utakua na kicheko?
 
Mkuu hata tukisema umchukue tukuongeze na hela hutaki?
 
Vipi mangi anayemla mkeo na wewe kuleta sifa hapa unaliwa na unamsifia tu acha usaidiwe

USSR
 
Acha kujivika ngozi ya kondoo wewe chui!

Kuna haja gani ya kutumia neno la MUNGU ukijuwa fika upo upande wa dhulma?

Wewe na mwenzio Yehodaya mkiachana na uchumia tumbo ni wanawake mnaooneka mpo fresh tu upstair lakini njaa zinawatia aibu!
Ha haaa. Kumbe ni wanawake Joni ,ussr,yehodaya,, Elitwege,mkaruka Basi itakuwa wale wavaa dela bila Pichu in
 
Ficha upumbavu wako,hata hujui hii kesi ndogo inahusu nini. By the way akiendelea kunyea debe si ndio lengo na furaha nyie watesi?
haswaaaaa wacha anyee debe sana na manyapara wanafanya vitu vyao pale fasi ya kuyamba
 
Ninyi wana CHADEMA mnapenda sana kwenda Mahakamani any time Gaidi Mwenyekigoda akiwa na kesi huko, kwa nini, hamna shughuli nyingine za kufanya?

Acheni Mahakama ifanye kazi yake bila mashinikizo au mnalipwa kwenda Mahakamani kufanya fujo? Nina hakika kabisa mkipata matatizo yoyote ya jinai, siyo Koroboi wala Tobo atakaye kuja kuwatetea! Kaeni mkijua hilo ndugu zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…