Haleluyaa aaaahh haleluyaaa haaaa,

Yaani mtanyooka tu, katiba ya Chadema hamuifuati halafu mnataka katiba mpya, mnacheza nyimbo za kichaga, hiyo kesi ichukue hata miaka kumi, sawa tu
Nchi haina mahakama wala Bunge
 
Siasa zetu tamu sana

baada ya karibia mwaka kuwa busy na hashtag za kupigania Mbowe kuachiwa

sasa hivi wametengenezewa agenda ya kuwaweka busy hadi mwishoni mwa 2024

Tunashukuru wabunifu wetu

Hakuna mwenye akili hiyo ya kuwatengenezea watu ajenda. Haya watu wanajadili kwa mapenzi yao, usitake kujifanya kwamba kuna akili hiyo. Wanayoyatengeneza yajadiliwe ni hizo bajeti na miradi yao, ambayo haina mvuto wa hivyo. Haya mengine ni coincidence. Vinginevyo unionyeshe hilo kundi lenu lenye watu waelewa ni kipi mnajadili nje ya haya tunayojadili hapa.
 
Nchi haina mahakama wala Bunge
Nenda kafanye mauaji ndio utajua mahakama ipo ukishadakwa.

Mahakama isafishe uhuni wote wa vikao vya chadema, haiwezekani usajili katiba, halafu usiifuate, mahakama ,piga hao nyamaume
 
Nenda kafanye mauaji ndio utajua mahakama ipo ukishadakwa.

Mahakama isafishe uhuni wote wa vikao vya chadema, haiwezekani usajili katiba, halafu usiifuate, mahakama ,piga hao nyamaume
Mahakama ya Mchongo!
 
Nenda kafanye mauaji ndio utajua mahakama ipo ukishadakwa.

Mahakama isafishe uhuni wote wa vikao vya chadema, haiwezekani usajili katiba, halafu usiifuate, mahakama ,piga hao nyamaume
Pole Kwa familia yako
 
Bonge moja la mahakama , hii mahakama nimeikubali, inatenda haki bila pressure
 
Kama Kuna Jaji wa hovyo Ni huyu Mgeta, hopeless, Shyster judges!
 
Ninacho jiuliza mawakili wa serikali wanahusika vipi na hii kesi ya michongo
 
Kaa Kwa kutulia , huu mchezo hauhitaji hasira chief
 
Haleluyaa aaaahh haleluyaaa haaaa,

Yaani mtanyooka tu, katiba ya Chadema hamuifuati halafu mnataka katiba mpya, mnacheza nyimbo za kichaga, hiyo kesi ichukue hata miaka kumi, sawa tu
Chawa hujielewi, naona mama yako unayemsifia huku kila siku analeta maridhiano leo kajivua nguo unamfichia aibu kwa kujichekelesha tu
 
Sasa Spika aliwaruhusuje kuendelea kubaki Bungeni wakati hakuwa na zuio la Mahakama?

Eti huyu ndio mwanasheria wa kiwango cha Phd na ndio anaongoza Bunge.

Hii nchi imepatwa mchana kweupe


Kwa vituko hivi, ndio mjue hapa hata kesi hamna.
Kupatwa Kwa jua hakuna taarifa ila utabiri utabiri tuu🤔
 


Tanzania nchi ya ajabu sana kisheria hawa wabunge ambao wamefukuzwa kwa kugushi! wanaruhusiwa kuendelea na ubunge kwa kujichagua wenyewe kama kweli waligushi!. Mahaka inawaruhusu na kesi itachukua mwaka kusikilizwa tena tusiko kuwa makina na wakishashidwa watakata rufaa tena hivyo watabaki bungeni mpaka 2025. Ukiwa na utaratibu wa sheria wa hivi ni tatizo sana hasa kama kweli watagunduliwa wame gushi. Tujue kwamba ushahidi wa kwamba hawajagushi haupo na utaratibu mzima waligoma kutuma hizo documents ambazo ndiyo wanasema Mwanyika amepiga sahihi!
Pascal Mayalla


 
Kuna kitu nakiona hapa .... mama SSH anataka kuwatoa hawa covid-19 bungeni kwa kutumia mgongo wa mahakama ili isionekane ni shinikizo ... watch this pace
Angeweza kulia ha Bunge litende haki kwamujibu wa sheria na bado ikampa Legacy yake
 
Mahakama za mchongo
 
Kwa kweli jukwaa la siasa Jf baada ya kuwa jukwaa la malumbano ya hoja limekuwa jukwaa la kutukanana na kuvunjiana heshima...hamaki na mihemko imetamalaki kuliko weledi...........

Wanaohubiri haki na demokrasia ndio wasiopenda au kuvumilia maoni ya wenzao........

JF inashuka thamani sana na hii mihemko.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…