Yaliyojiri Kisutu, Dar: Kesi ya Freeman Mbowe, yaahirishwa hadi 13 Agosti, 2021, Mashtaka yasomwa upya

Yaliyojiri Kisutu, Dar: Kesi ya Freeman Mbowe, yaahirishwa hadi 13 Agosti, 2021, Mashtaka yasomwa upya

Duh... Kufadhili? Si walisema gaidi? Nilijua kavaa bomu akaenda kwenye mkusanyiko wa watu, kabla hajafyatua fuse akakamatwa! Kumbe kufadhili?

Hamna kesi hapo!
 
Leo zandrano habanduki humu kwani huo ndio wajibu waliopewa michepuko ya mikesha ya mwenge kama yeye.

zandrano, mbona uko peke yako hadi sasa? johnthebaptist na Kamanda Asiyechoka wamekususia nini!

zandrano, Idugunde na Dr Akili pamoja na IDEGENDA wako wapi? Hii mbona si dalili nzuri kwako?

zandrano, wapigie simu Phillipo Bukililo na Magonjwa Mtambuka waje haraka upate muda wa kupumzika.

zandrano? Masikini zandrano mbona unateseka namna hii peke yako? Pole sana zandrano, balaa gani hii umejitakia!

zandrano yaani hata mama D hajasogea akutupie hata kamba! Kweli unakubali kuzama peke yako, pole sana!
umemlipua vibaya sana
 
Ijumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.

Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.

Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.

Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.

Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)

Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.

Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.

Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi

=====

UPDATES:

Freeman Mbowe na Watu wengine watatu, Wamesomewa Mashitaka upya. Mbowe ana mashitaka Mawili ambayo ni

1. Kula njama kwa nia ya kutenda kosa(Wote)

2. Kosa la kufadhili Vitendo vya Ugaidi kwa kutoa pesa.(Mbowe)

3.Kukusanya fedha kwa lengo kutekeleza vitendo vya ugaidi

4.Kupatikana na siraha isivyo halali(Mshitakiwa wa tatu)

5.Kupatikana na risasi isivyo halali(Adam)

6.kukutwa na sare za jeshi(Alfan)

Shitaka ambalo limeondolewa ni la dawa za kulevya.

Upelelezi umekamilika wanasubiri jalada kutoka kwa DPP. Kesi imeahirishwa hadi 13|08|2021

Zaidi soma: Thread 'Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua' News Alert: - Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

Thread 'Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021' Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021




Unatoa taarifa ya yaliyojili au unaleta ushabiki njaa? Aliyebambikiwa!!
 
Ijumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.

Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.

Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.

Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.

Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)

Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.

Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.

Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi

=====

UPDATES:

Freeman Mbowe na Watu wengine watatu, Wamesomewa Mashitaka upya. Mbowe ana mashitaka Mawili ambayo ni

1. Kula njama kwa nia ya kutenda kosa(Wote)

2. Kosa la kufadhili Vitendo vya Ugaidi kwa kutoa pesa.(Mbowe)

3.Kukusanya fedha kwa lengo kutekeleza vitendo vya ugaidi

4.Kupatikana na siraha isivyo halali(Mshitakiwa wa tatu)

5.Kupatikana na risasi isivyo halali(Adam)

6.kukutwa na sare za jeshi(Alfan)

Shitaka ambalo limeondolewa ni la dawa za kulevya.

Upelelezi umekamilika wanasubiri jalada kutoka kwa DPP. Kesi imeahirishwa hadi 13|08|2021

Zaidi soma: Thread 'Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua' News Alert: - Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

Thread 'Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021' Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021




Hivi kweli wanategemea watu watavamia Mahakama kutoa Mbowe?

Amandla...
 
Na watu wake wote
Kitu ambacho serikali na the co wanatakiwa kujua ni kwamba suala la kudai KATIBA MPYA Ni suala Endelevu! Yaani wao hata wakitaka kumuua Mhe. MBOWE wamuue ila hiyo haitoondoa KIU ya KATIBA MPYA!

Shujaa Mwendazake Ni Kama vile aliletwa na Mungu Miaka hii michache ili kutuonyesha udhaifu mkubwa wa katiba iliyopo! Hivyo zoezi la kudai Katiba mpya haliwezi kuzuiliwa na hii kesi.. Kesi ipo na Itaisha ila Madai ya KATIBA MPYA YAPO mpaka kieleweke.
 
Ijumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.

Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.

Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.

Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.

Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)

Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.

Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.

Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi

=====

UPDATES:

Freeman Mbowe na Watu wengine watatu, Wamesomewa Mashitaka upya. Mbowe ana mashitaka Mawili ambayo ni

1. Kula njama kwa nia ya kutenda kosa(Wote)

2. Kosa la kufadhili Vitendo vya Ugaidi kwa kutoa pesa.(Mbowe)

3.Kukusanya fedha kwa lengo kutekeleza vitendo vya ugaidi

4.Kupatikana na siraha isivyo halali(Mshitakiwa wa tatu)

5.Kupatikana na risasi isivyo halali(Adam)

6.kukutwa na sare za jeshi(Alfan)

Shitaka ambalo limeondolewa ni la dawa za kulevya.

Upelelezi umekamilika wanasubiri jalada kutoka kwa DPP. Kesi imeahirishwa hadi 13|08|2021

Zaidi soma: Thread 'Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua' News Alert: - Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

Thread 'Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021' Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021




YAANI SIKU ZINAVYOSONGA MBELE IDADI YA WAHUDHURIAJI INAPUNGUAKWA KASI SANA HUWEZI AMINI WALIOKUJA JANA NALEO NI TOFAUTI SANA LEO WAMEWEZA KUENEA NDANI YA MAHAKAMA NJEHAWAKUBAKI MWISHO UTAKUTAWANAKWENDA WATU HATA 20 HAWAFIKI
 
Kitu ambacho serikali na the co wanatakiwa kujua ni kwamba suala la kudai KATIBA MPYA Ni suala Endelevu! Yaani wao hata wakitaka kumuua Mhe. MBOWE wamuue ila hiyo haitoondoa KIU ya KATIBA MPYA!

Shujaa Mwendazake Ni Kama vile aliletwa na Mungu Miaka hii michache ili kutuonyesha udhaifu mkubwa wa katiba iliyopo! Hivyo zoezi la kudai Katiba mpya haliwezi kuzuiliwa na hii kesi.. Kesi ipo na Itaisha ila Madai ya KATIBA MPYA YAPO mpaka kieleweke.
mama kasema apewe muda hajakataa
 
Ijumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.

Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.

Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.

Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.

Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)

Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.

Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.

Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi

=====

UPDATES:

Freeman Mbowe na Watu wengine watatu, Wamesomewa Mashitaka upya. Mbowe ana mashitaka Mawili ambayo ni

1. Kula njama kwa nia ya kutenda kosa(Wote)

2. Kosa la kufadhili Vitendo vya Ugaidi kwa kutoa pesa.(Mbowe)

3.Kukusanya fedha kwa lengo kutekeleza vitendo vya ugaidi

4.Kupatikana na siraha isivyo halali(Mshitakiwa wa tatu)

5.Kupatikana na risasi isivyo halali(Adam)

6.kukutwa na sare za jeshi(Alfan)

Shitaka ambalo limeondolewa ni la dawa za kulevya.

Upelelezi umekamilika wanasubiri jalada kutoka kwa DPP. Kesi imeahirishwa hadi 13|08|2021

Zaidi soma: Thread 'Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua' News Alert: - Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

Thread 'Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021' Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021




Heeee!Sukuma Gang tumjoini Mwamba watamuumiza isee hata mzee stone angeshangaa
 
Mnaolalamika leo ndo wale mlioshangilia wakati wa Sabaya...tambueni tu dunia inajizungusha kwenye muhimili wake.Saivi timu Sukuma Gang na Timu Mbowe wote wimbo ni mmoja...lile neno anaupiga mwingi limepotea gafla!
Haha

Kwahiyo haya mashtaka yamekuja ili kubalance hilo suala la Sabaya? Acha wazungu waendelee kutuita tu manyani.
 
mama kasema apewe muda hajakataa
Muda ndio Mkuu! Yeye anamiadi na Mungu? Yu wapi Mtangulizi wake,?Hata miezi 6 haijapita tushasahau kua binadamu ni maua tu? Leo lipo kesho linanyauka!

Linalowezekana Leo, lisingoje Kesho!
 
Muda ndio Mkuu! Yeye anamiadi na Mungu? Yu wapi Mtangulizi wake,?Hata miezi 6 haijapita tushasahau kua binadamu ni maua tu? Leo lipo kesho linanyauka!

Linalowezekana Leo, lisingoje Kesho!
Kwani akitoka mama hawezi kuja mtumwingine kuendelea na katiba mpya? ile ni taasisi siyo kiti cha mtu
 
Siasa raha sana, na inapendeza Kama huna kazi ya kufanya. Hongereni wananchi wa Jamhuri ya JF.

Sio kila mtu ameajiriwa, wengine ni watu huru wanafanya watakacho. Ndio maana hujaona mtu akitoka kwenye hayo mambo kuja kwako kukuomba chakula.
 
Back
Top Bottom