Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shauri lilikwisha hitimishwa na mhusika ambaye ndiye mkamataji hivyo huyu yuko nje ya muda.makosa mawili hayafanyi sahihi moja
Wananyooka sasa hivi leo kibatala kaongea kwa huruma machachari yote kwishaa na mnyika ndiyo anakwepa hata waandishi wa habariLEO SIJAZOOM KUWAONA ILA WANAONEKANA WAZI, JAMAA ZANGU WA "ANAUPIGA MWINGI" MAANA WAMEANZA KUNYOOKA KAMA TARATIBU.
Hawana akili hiyo sasahivi akili yote kwa mbowe na hawawezi kwenda mbele bila ya mboweJambo la uhakika kabisa ni kwamba ccm hawana akili za kutosha kumfunga Mbowe
Jambo la muhimu ni chadema kuendeleza movement hata kama kiongozi yuko ndani kwa kuwa lengo lao Ni kuwaondoa kwenye reli
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Sio kwamba tuna haraka, bali tuko nje ya muda. Katiba hii inatunyima kupata viongozi tunaowataka, kiasi kwamba vipao mbele vyetu ya maendeleo havitekelezwi, bali vinatekelezwa vya viongozi.kwani mnaharaka gani na hiyo katiba mpya inakunyima nini wewe hhebu tuanzie hapo kwanza
watoto wa mbowe,mke wake, mke wa mnyika, kibatala, Mrema n.k wametulia tuli nyumbani na familia zao wewe unaenda kuhatarisha maisha yako na mwisho unaenda segera, halafu unadhani eti wewe ni shujaa!! ni upumbavu, jiongeze.
nenda katafute chakula chako na mkeo au na mume wako na watoto wako
Nilikuwa niseme hivyo asante kwa kuwakilisha.Ukisema kubambikwa unaingilia Uhuru wa mahakama
Mko nje ya muda gani mkuu mbona mwaka jana tu hii kitu haikuwepo? kawanini imeanza baada ya jpm kuondoka? nikikuuliza vipaumbele gani vya wananchi havitekelewzwi utaniambia ? mambo yote hayo serikali hii sikivu inayofanya unaona ni madogo?Sio kwamba tuna haraka, bali tuko nje ya muda. Katiba hii inatunyima kupata viongozi tunaowataka, kiasi kwamba vipao mbele vyetu ya maendeleo havitekelezwi, bali vinatekelezwa vya viongozi.
Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
Mko nje ya muda gani mkuu mbona mwaka jana tu hii kitu haikuwepo? kawanini imeanza baada ya jpm kuondoka? nikikuuliza vipaumbele gani vya wananchi havitekelewzwi utaniambia ? mambo yote hayo serikali hii sikivu inayofanya unaona ni madogo?
katika viongozi waoga ni pambalu tangu jana hajaonekana na alikuwa anawaambia watu waje kwawingi ili awe anawaangalia kwenye tv wanvyopigwa
Huu muda ulianza kwa Kikwete alipiga dana dana akamuachia mwendazake nae alipiga dana dana sasa bibi wa kudemka ameanza dana dana zile zile.Muda mpaka lini, alitaja muda au ni muda atakaojisikia yeye?
Hoja yako ni mbovu kweli. Ugaidi unaelewa hasa maana yake?Duh... Kufadhili? Si walisema gaidi? Nilijua kavaa bomu akaenda kwenye mkusanyiko wa watu, kabla hajafyatua fuse akakamatwa! Kumbe kufadhili?
Hamna kesi hapo!