Yaliyojiri Kisutu, Dar: Kesi ya Freeman Mbowe, yaahirishwa hadi 13 Agosti, 2021, Mashtaka yasomwa upya

Yaliyojiri Kisutu, Dar: Kesi ya Freeman Mbowe, yaahirishwa hadi 13 Agosti, 2021, Mashtaka yasomwa upya

Ni mjinga pekee anayeweza kukuazima akili yake kuamini unayoyaandika kwa kigezo cha kuja na sura ya kujifanya mwanachama wa CDM,This is typical CCM warriors mentality.Watanzania wa sasa siyo wajinga.
Ni kweli Watanzania wa sasa siyo wajinga lakini haimaanishi kuwa wajinga wamekwisha. Na wajinga waliobakia ni kama nyie mnaohangaika kumtoa Mbowe rumande wakati mwenzenu anatengeneza deals za kisiasa.

Hakuna cha Katiba wala lolote. Mbona mwaka 2014 aliwatoa UKAWA kwenye mchakato wa Katiba. Endeleeni na udwanzi
 
Mbowe ni mchafu na Serikali ina deals zake zote, ni suala tu la ipi tuiweke mezani. Nyie watoto wadogo hamuwezi kujua ndiyo maana mnamuona kama shujaa wa kudai Katiba Mpya.

Endeleni kutumika lakini iko siku mtashangaa mtakapogundua kuwa Mbowe ni Mjasiriamali wa Kisiasa.
At least we have some people who can see things the way they're supposed to be seen. Waswahili walisema Serikali ina mkono mrefu. SSH akifanya mchezo hawezi kumaliza muda wake salama.
 
Yaani wenyewe wanaweka kesi ya madawa ya kulevya harafu wenyewe wanafuta wanakupa lingine la kukutwa na SMG wakati hata panga huna bongo kiboko ndio maana Nchi inakua kama ina laana hii rasilimali kibao ila hatujui tufanye nini kila kukicha kupeana kesi zisizo na kichwa wala miguu...
 
Mbowe ni mchafu na Serikali ina deals zake zote, ni suala tu la ipi tuiweke mezani. Nyie watoto wadogo hamuwezi kujua ndiyo maana mnamuona kama shujaa wa kudai Katiba Mpya.

Endeleni kutumika lakini iko siku mtashangaa mtakapogundua kuwa Mbowe ni Mjasiriamali wa Kisiasa.
Hizi ndo bogus arguments (Fallacy)."A fallacy is an idea which many people believe to be true, but which is in fact false because it is based on incorrect information or reasoning".
 
Ni kweli Watanzania wa sasa siyo wajinga lakini haimaanishi kuwa wajinga wamekwisha. Na wajinga waliobakia ni kama nyie mnaohangaika kumtoa Mbowe rumande wakati mwenzenu anatengeneza deals za kisiasa.

Hakuna cha Katiba wala lolote. Mbona mwaka 2014 aliwatoa UKAWA kwenye mchakato wa Katiba. Endeleeni na udwanzi
Mtu ukishaanza kujiita kirusi (Stuxnet) unategemea tukuone mwerevu? wewe mwenyewe tu unajiona bogus-sasa kwann wengine tusijiaminishe kwamba wewe ni miongoni mwa hilo kundi la wajinga wachache mliopo Tanzania.
 
Sheria ipi inatumika kuzuia watu kwenda mahakamani?

Sheria ipi inatumika kuzuia majumuiko.ya watu la Mwanza likiwamo?

Sheria ipi inatumika kuzuia majumuiko ya vyama vya upinzani lakini si majumuiko CCM, mbio za mwenge, makanisa, mihadhata ya dini nk?
KUMKBE HATA SHERIA HUJUI UNAKUJA KUULIZA JF?
 
Kwa ulinzi mkubwa kama huu,inaonyesha huyu mstakiwa ana nguvu kubwa sana ya umma.Kwa nini serikali isitumie ushawishi wa watu kama hawa postively.i.e kama ilivyo kule Zenji.hadi kufikia kumshinikiza yule mbunge kujiuzulu kabla ya kuapishwa
Gaidi lazima alindwe kuepusha ghadhabu ya wananchi na pia kupoteza ushahidi.Tunategemea kesi hii kuwa mmarufu maana inakwenda kutoa fundisho kwa Magaidi wengine
 
KUMKBE HATA SHERIA HUJUI UNAKUJA KUULIZA JF?

Uliambiwa kila mwuliza swali hajui jibu lake huu si ndiyo uboya wenyewe sasa wa kweri kweri?

Kwamba umeng'ang'ania caps lock - dalili za wazi kuwa utakuwa ume panic jahazi linakwenda mrama.
 
Wananyooka sasa hivi leo kibatala kaongea kwa huruma machachari yote kwishaa na mnyika ndiyo anakwepa hata waandishi wa habari
Na bado ngoja ushahidi uanze kutoka so ajabu baadhi yao wakaunganishwa.Mnyika upooo
 
Niseme tu "Mama kapiga chura tekeeee"
Ijumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.

Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.

Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.

Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.

Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)

Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.

Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.

Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi

=====

UPDATES:

Freeman Mbowe na Watu wengine watatu, Wamesomewa Mashitaka upya. Mbowe ana mashitaka Mawili ambayo ni

1. Kula njama kwa nia ya kutenda kosa(Wote)

2. Kosa la kufadhili Vitendo vya Ugaidi kwa kutoa pesa.(Mbowe)

3.Kukusanya fedha kwa lengo kutekeleza vitendo vya ugaidi

4.Kupatikana na siraha isivyo halali(Mshitakiwa wa tatu)

5.Kupatikana na risasi isivyo halali(Adam)

6.kukutwa na sare za jeshi(Alfan)

Shitaka ambalo limeondolewa ni la dawa za kulevya.

Upelelezi umekamilika wanasubiri jalada kutoka kwa DPP. Kesi imeahirishwa hadi 13|08|2021

Zaidi soma: Thread 'Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua' News Alert: - Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

Thread 'Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021' Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021



 
Mashtaka ya Mbowe hayawezi kuwa ya kubumba. Historia ya Mbowe ni chafu kuanzia miaka ya 1980s. Mbowe hakuna biashara chafu ambayo hajawahi kufanya including drug trafficking.

Ila ujuwe kama unaishi nyumba ya vioo usitupe mawe nje watakurudishia na wewe.
Kesi za namna hii si Mara ya Kwanza kubambikizia wapinzani,na Mara zote wanashinda!
Hayo uliyoandika huna ushahidi nayo zaidi ya propaganda mfu!
Kama Mbowe amefanya hayo toka 1980 Basi tumekuwa na serikali za hovyo sana,wewe mlalahoi unajua lakini serikali zote ambazo zimekuwa zikimuwinda zimeshindwa kujua hilo!
Huna jipya!
 
Upuuzi mtupu ndo wanachoweza kwa bidii,hii nguvu si waitumie kujenga vyoo vya shule tuepuke aibu ya kujengewa vyoo vya misaadaa wazungu.Mambo yasiyoya maana ndo wanayaweza kwa bidii
 
watoto wa mbowe,mke wake, mke wa mnyika, kibatala, Mrema n.k wametulia tuli nyumbani na familia zao wewe unaenda kuhatarisha maisha yako na mwisho unaenda segera, halafu unadhani eti wewe ni shujaa!! ni upumbavu, jiongeze.
nenda katafute chakula chako na mkeo au na mume wako na watoto wako
Katiba mpya utuepusha na watawala dhaifu
 
Mtu ukishaanza kujiita kirusi (Stuxnet) unategemea tukuone mwerevu? wewe mwenyewe tu unajiona bogus-sasa kwann wengine tusijiaminishe kwamba wewe ni miongoni mwa hilo kundi la wajinga wachache mliopo Tanzania.
Nafuu Mimi kirusi kuliko wewe John mwenye Namba za Freemason
 
Back
Top Bottom