Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kutoka Diamond Jubilee Mkutano Mkuu wa ACT–Wazalendo: Membe apata kura za Ndiyo 410 za Urais Tanzania, Maalim Seif Ndiyo 419 za Zanzibar

"Ninafuraha kubwa sana kuwa leo tupo tumejumuika hapa kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama chetu hichi chenye miaka 6 tokea kuanzishwa kwake. Ni chama kichanga kuliko vyama vyote vilivyopo Tanzania kwa umri wake."

Zitto Kabwe
 
Kwanini chadema wasiwaunge mkono ACT?
 
Mkuu tuheshimiane, huyo ni shemeji yako. Watu tumewekeza hapo.
Mkuu, kama umewekeza kwa yule mwanamke, hata tendo utakuwa unapata kwa kufuata vifungu vya sheria! Maana si kwa ujeuri na ujuaji ule!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
msajili tunamsubiri aifute CHADEMA na ACT wabaki na TLPCCM NA Cufccm
 
Mkuu, kama umewekeza kwa yule mwanamke, hata tendo utakuwa unapata kwa kufuata vifungu vya sheria! Maana si kwa ujeuri na ujuaji ule!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Kipendacho roho shehe.
 
Maalim Seif anasema safari hii CCM wasidhani kuwa Iwapo atashinda uchaguzi Zanzibar halafu CCM wakaleta figisu basi atafunga mikono, Safari hii anasema haki lazima iheshimiwe!
Miaka yote kabla ya uchaguzi huwaga anasema hivyo!
Mwaka juzi alisema atapewa urais wake baada ya miezi 3 mpaka leo miezi 3 haijwahi kufika
 
Zitto is speech tactician..... presentation yake ni level ya juu kabisa
 
"Tunataka Serikali ambayo itajikita katika kufufua na kuimarisha uhusiano wetu na mataifa mengine na haswa nchi jirani. Tumedhamiria kurudisha heshima ya Tanzania kwenye medani ya kimataifa."

Zitto Kabwe
Kiongozi wa Chama
 
Acha siasa za kitoto ww mkuda.

Wewe ndio umepewa kazi ya kunifanyia stalking hapa mtandaoni. Nimekugundua kwa staili yako ya kubadilisha rangi za mavaz katika sura na mwili uleule.
 
“Ni uchaguzi wa kuchagua Uhuru wa kweli kwa kila mtu dhidi ya ukandamizwaji.”

@zittokabwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…