Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Bwashee vepe! Salimia huko chamwino.Uchochezi lazima ukatwe katwe!
Tunaangalia nan mwenye raslimali watu wengiKwanini chadema wasiwaunge mkono ACT?
Kwani mkiiunga mkono ACT hao watu automatically si wanaenda kuipigia kura act?Tunaangalia nan mwenye raslimali watu wengi
Pili nan anamvuto kulinganisha na mwingne
Chadema tayar wanae mwenye mvuto kwa watanzania wengi
Tatu tunaangali ni nan ambae amejitahidi kupenya mpka ngazi ya chini chadema hapa tayar wako mpaka ngazi ya chini
Alinikera alijikuta anatamka "Mwenyekiti wa UWT"Membe hafananii upinzani kabisa naona Yale Yale ya lowasa kuchezea watanzania akili
Kubadili akili za wengi kwa gafla inakuwa ngumu kuliko kubadili wachacheKwani mkiiunga mkono ACT hao watu automatically si wanaenda kuipigia kura act?
Kwenye siasa hakuna kuaminiana. It is a dirty game na kila mtu anaangalia tumbo lake kwanza. Mchezo huu wa kuachiana majimbo unasemekana ndiyo ulikididimiza NCCR mageuzi katika uchaguzi uliopita.Kuna wakati najiuliza hivi upinzani ni fikira za kusadikika au ni fikira zinazo ishi
Kama kweli chama cha ACT WAZALENDO
Kilikuwa na nia ya kushirikiana na chadema kilipaswa kuachana na mpango huu kilipaswa kiseme tunaungana na chadema kwenye uraisi
Na kwenye ubunge wangetengeneza majimbo ya kimkakati hii ingeonyesha hapa ndio upinzan unakuja na maono ya kukua sasa na nyinyi mnachagua tena wagombea ili wakashindane na ccm au chadema
Inawezekana walio chagua upande mapema hata kama maamuzi yao yalionekana ya kipuuzi kuliko mnao chagua kugawana kura
Au chama cha Act ndio walitaka wasimamishe mgombea na wakati chadema ila raslimali watu
Kweli adui wa upinzan ni wapinzan wenyewe
Zitto angebaki CHADEMA mpaka sasa angekuwa mwanasiasa mkubwa sana na mwenye ushawishi mkubwa sana kuliko kawaida.Zitto yupo smart lkn alishapoteza credibility kiasi kwamba ni ngumu kumuamini...
Anyway, tusubiri
TUNDU LISSU ASIMAMISHA MKUTANO WA ACT WAZALENDO KWA MUDA, ASHANGILIWAMwaka Huu Lazima Kieleweke