Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kutoka Diamond Jubilee Mkutano Mkuu wa ACT–Wazalendo: Membe apata kura za Ndiyo 410 za Urais Tanzania, Maalim Seif Ndiyo 419 za Zanzibar

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kutoka Diamond Jubilee Mkutano Mkuu wa ACT–Wazalendo: Membe apata kura za Ndiyo 410 za Urais Tanzania, Maalim Seif Ndiyo 419 za Zanzibar

Kuna wakati najiuliza hivi upinzani ni fikira za kusadikika au ni fikira zinazo ishi

Kama kweli chama cha ACT WAZALENDO

Kilikuwa na nia ya kushirikiana na chadema kilipaswa kuachana na mpango huu kilipaswa kiseme tunaungana na chadema kwenye uraisi

Na kwenye ubunge wangetengeneza majimbo ya kimkakati hii ingeonyesha hapa ndio upinzan unakuja na maono ya kukua sasa na nyinyi mnachagua tena wagombea ili wakashindane na ccm au chadema

Inawezekana walio chagua upande mapema hata kama maamuzi yao yalionekana ya kipuuzi kuliko mnao chagua kugawana kura


Au chama cha Act ndio walitaka wasimamishe mgombea na wakati chadema ila raslimali watu

Kweli adui wa upinzan ni wapinzan wenyewe
Unasahau kwamba kila chama cha siasa kilianzishwa kikiwa na mtazamo tofauti lasivyo vyama visingaliendea kusajiliwa.
 
Chama cha ACT–Wazalendo leo tarehe 05 Agust 2020 kinafanya Mkutano wake Mkuu Diamond Jubilee–VIP Hall.


AJENDA KUU

1. Kupitisha na kutangaza majina ya wagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar

2. Kupitisha Ilani ya Chama ya 2020 kwa Uchaguzi wa Jamhuri ya Muungano na Uchaguzi wa Zanzibar.

#MkutanoMkuuACT2020
#KaziNaBata
#TheFutureIsPurple

Mbwa anayeuma hapigi kelele, Nccr Mageuzi ndio KUB.
 
Chama cha ACT–Wazalendo leo tarehe 05 Agust 2020 kinafanya Mkutano wake Mkuu Diamond Jubilee–VIP Hall.


AJENDA KUU

1. Kupitisha na kutangaza majina ya wagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar

2. Kupitisha Ilani ya Chama ya 2020 kwa Uchaguzi wa Jamhuri ya Muungano na Uchaguzi wa Zanzibar.

#MkutanoMkuuACT2020
#KaziNaBata
#TheFutureIsPurple

Sio habari
 
Unasahau kwamba kila chama cha siasa kilianzishwa kikiwa na mtazamo tofauti lasivyo vyama visingaliendea kusajiliwa.
Mkuu kusajiliwa sio tatizo na hakuna anae kataza wao kuwa na mtazamo wao

Shida ni wao kutuaminisha kuwa tunafanya mazungumzo na chadema tufanye umoja ambao utawapa ushindi kuliko kugawana kura
 
Mkuu, inawezekana waalaaa hawakuhangaika kwenda kuomba kutangaziwa mkutano wao. Nasi, tunaweza kuwachukia bure hao wenye Tv zao.
Wangetuthibitishia kuwa waliomba, wakakataliwa ili nasi tuendelee kuwalaumu kwa njia mbali mbali!
Star tv tu kwny kile kipindi cha bbc cha kina Salim Kikeke ilikua Lissu alihojiwa akiwa huko nje wanakata matangazo yao kwa watazamaji,ITV siku lissu anahojiwa kwny Kipindi cha Hard talk marudio walikata matangazo na kuweka vitu vingine,Star tv matangazo ya Dw kwny radio mchana/jioni Lissu alikua akihojiwa wanakata matangazo kama kawaida.
 
Chama pekee kinacho fuata mfumo wa kishia wa Iran. Mfumo Ayatollah.
 
Huu Mkutano Mkuu wa ACT- Wazalendo umepoa sana!
Watu wamenuna, hawaimbi, wameambiwa wacheze kidogo hata hawataki. Shauri yenu.
 
Kuna wakati najiuliza hivi upinzani ni fikira za kusadikika au ni fikira zinazo ishi

Kama kweli chama cha ACT WAZALENDO

Kilikuwa na nia ya kushirikiana na chadema kilipaswa kuachana na mpango huu kilipaswa kiseme tunaungana na chadema kwenye uraisi

Na kwenye ubunge wangetengeneza majimbo ya kimkakati hii ingeonyesha hapa ndio upinzan unakuja na maono ya kukua sasa na nyinyi mnachagua tena wagombea ili wakashindane na ccm au chadema

Inawezekana walio chagua upande mapema hata kama maamuzi yao yalionekana ya kipuuzi kuliko mnao chagua kugawana kura


Au chama cha Act ndio walitaka wasimamishe mgombea na wakati chadema ila raslimali watu

Kweli adui wa upinzan ni wapinzan wenyewe
Kuna wapinzani ambao ni mawakala au mamluki wa ccm... wapo kazini
 
Rais Mstaafu wa TLS Mwanasheria Fatma Karume akiwa na viongozi wa chama muda mfupi kabla ya kuanza kwa Mkutano Mkuu. View attachment 1527685
IMG-20200805-WA0032.jpg
IMG-20200805-WA0033.jpg
 
Naona mkutano wa ACT live ITV wawakilishi wa vyama vya siasa wametambulishwa lakini sijaona muwakilishi toka CHADEMA, hii naona kama haijakaa sawa ikizingatiwa hivi vyama kwa kauli yao vimetuambia vipo kwenye mazungumzo ya ushirikiano.

Update.
Ok namuona Mh. Lisu na Salum Mwalimu wanaingia. Atmosphere imebadilika bila shaka hii ndio ilikuwa ndio timing yao
 
Daimond jubilee sijawahi kuona
Samahani kwenye hiyo picha wa katikati Ni Nani kwenye Chama?
 
Back
Top Bottom