Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,378
- 1,427
Unasahau kwamba kila chama cha siasa kilianzishwa kikiwa na mtazamo tofauti lasivyo vyama visingaliendea kusajiliwa.Kuna wakati najiuliza hivi upinzani ni fikira za kusadikika au ni fikira zinazo ishi
Kama kweli chama cha ACT WAZALENDO
Kilikuwa na nia ya kushirikiana na chadema kilipaswa kuachana na mpango huu kilipaswa kiseme tunaungana na chadema kwenye uraisi
Na kwenye ubunge wangetengeneza majimbo ya kimkakati hii ingeonyesha hapa ndio upinzan unakuja na maono ya kukua sasa na nyinyi mnachagua tena wagombea ili wakashindane na ccm au chadema
Inawezekana walio chagua upande mapema hata kama maamuzi yao yalionekana ya kipuuzi kuliko mnao chagua kugawana kura
Au chama cha Act ndio walitaka wasimamishe mgombea na wakati chadema ila raslimali watu
Kweli adui wa upinzan ni wapinzan wenyewe