Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Katavi na Kigoma, azungumzia Katiba Mpya

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Katavi na Kigoma, azungumzia Katiba Mpya

Wakuu nawasalimu kwa salamu ya Ukombozi , leo tena Mh Lissu anaendelea kuwatembelea Watanzania wenzake kwa lengo la kuwaomba ridhaa ya kupewa kura ili awe Rais wa Tanzania , mikutano ya leo itapigwa Mkoani Katavi na Kigoma .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa habari za uhakika.

View attachment 1574046

=========
UPDATES 1
Akiwa njiani kuelekea Kigoma Azuiliwa na umati wa wanakijiji cha Lugufu , kata ya Mishamo Mpanda vijijini waliotaka awasalimie na kuwapa neno

View attachment 1574046View attachment 1574268
View attachment 1574269
Huyu mwamba hapo kigoma tu bado hajafika
 
JamiiForums-1811321009.jpg
 
Anajisumbua tu hawezi kuwa raisi,hakuna mtu atakae mchagua,hata mwenyewe yuda iskariote anajua hawezi kuwa raisi
Una hakika wewe ndio hujisumbui Mkuu? Elfu saba isikutoe ufahamu jamaa.
Nani yuko tayari ile Serikali ya WATEKA NYARA, inayofuga MAGENGE YA WASIOJULIKANA, kulipisha Wafanyabiashara kodi zaidi ya mara mbili ya gharama za manunuzi na ujinga mwingine mwingi iendelee tena kutufanyia UHUNI NA UHALIFU?
 

Attachments

  • Lumumba Buku 7.jpg
    Lumumba Buku 7.jpg
    20.8 KB · Views: 2
Wakuu nawasalimu kwa salamu ya Ukombozi , leo tena Mh Lissu anaendelea kuwatembelea Watanzania wenzake kwa lengo la kuwaomba ridhaa ya kupewa kura ili awe Rais wa Tanzania , mikutano ya leo itapigwa Mkoani Katavi na Kigoma .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa habari za uhakika.

View attachment 1574046

=========
UPDATES 1
Akiwa njiani kuelekea Kigoma Azuiliwa na umati wa wanakijiji cha Lugufu , kata ya Mishamo Mpanda vijijini waliotaka awasalimie na kuwapa neno

View attachment 1574046View attachment 1574268
View attachment 1574269

UPDATES 2
Mwandiga - Kigoma

View attachment 1574343View attachment 1574344
Mungu awabariki na kuwatangulia kila mnapokanyaga
 
Back
Top Bottom