Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu mkoani Tabora

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu mkoani Tabora

Tabora vyama vyenye nguvu viuwili tu CCM na CUF WENGINE TAKATAKA
Tabora upinzani Lipumba atapata kura nyingi kuliko Lisu tena atambwaga hasa.CCM itaongoza ikifuatiwa na CUF
usidangaye watu CUF ishajifika kitambo, CCM inapumlia mashine...
 
Wanaopenda CHADEMA ni wasiojielewa, walevi wengi, mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuikubali maana haina democrasia wala mipango, kujijenga wenyewe tu hawawezi unategemea wajenge nchi, mabilion ya Ruzuku hawaeleweki yanaenda wapi
Wapenda ccm wengi mnaakili ila inashangaza mnavyajitoa akili kwa sababu ya njaa na hofu, mwangalie Dt bashiru, polepole, kafulila, lowasa na ww mmejitoa akili. Maisha magumu, watu wameuawa, hakuna uhuru wa habari, hakuna binge n.k.
Ni vema acha kufikiri kwa kutumia makalio

Delete ccm Oct 28
 
  • Thanks
Reactions: MRI
Tabora vyama vyenye nguvu viuwili tu CCM na CUF WENGINE TAKATAKA
Tabora upinzani Lipumba atapata kura nyingi kuliko Lisu tena atambwaga hasa.CCM itaongoza ikifuatiwa na CUF
Hiiiiiiiiii.
EkUaWnHXkAE8a_Q.jpg
 
Wanaopenda CHADEMA ni wasiojielewa, walevi wengi, mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuikubali maana haina democrasia wala mipango, kujijenga wenyewe tu hawawezi unategemea wajenge nchi, mabilion ya Ruzuku hawaeleweki yanaenda wapi
Sasa hiyo CCM miaka 60 iko madarakani imetufikisha wapi...!!?
 
Wanaopenda CHADEMA ni wasiojielewa, walevi wengi, mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuikubali maana haina democrasia wala mipango, kujijenga wenyewe tu hawawezi unategemea wajenge nchi, mabilion ya Ruzuku hawaeleweki yanaenda wapi
Mi nipo vizuri kabisa na sijui pombe inanoga vipi na nina elimu yangu nzuri tu ila nipo chadema
 
Mashujaa wa Unyanyembe huwa wanaaibishwa na yule Professa wa Ilolangulu ila Leo wanaweka wazi msimamo wao1
Kama Wasukuma na Wanyantuzu walivyomtosa Magufuli Leo kwa Shamrashamra hizi kuna mtu anatoswa arudi Chato akaote jua kwenye airport yake binafsi.
 
Wanaopenda CHADEMA ni wasiojielewa, walevi wengi, mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuikubali maana haina democrasia wala mipango, kujijenga wenyewe tu hawawezi unategemea wajenge nchi, mabilion ya Ruzuku hawaeleweki yanaenda wapi
Hapa anazungumziwa Mgombea! Suala la vyama kwa sasa hakuna Chama chochote chenye mvuto, wote ni hovyo kabisa!
 
Hiyo ni mpaka wafanye editing ya picha na video, hawafanyi live streaming kuna wakati wanazomewa na wananchi. Waambie wafanye live streaming uone wanavyoumbuka.
Mpelekeeni TBC ili kumuumbua,kwa nini mnamchungulia kupitia youtube,Twitter au Instagram?
 
Huyu jamaa Erythrocyte kaamua aokoe jahazi la kitengo cha habari Chadema.chama kimpe hata mshahara wa 50k maana huyujamaa hanaga kazi za kufanya.
Hana kazi ya kufanya unamjua? Acha mawazo ya kimasikini kijana. Hawa wote wanaotumia muda wao kuipigania Chadema 98% ni watu wanaojiamini na walichonacho ndio maana hawalambi makalio ya wenye madaraka ili waishi.
Unaweza kukuta mkuu Erythrocyte[8/USER] pamoja na kupoteza muda wake mwingi kutuhabarisha anachangia pia kwa hali na Mali shughuli za kampeni.

Chadema sio CCM ambayo hata hela za kampeni (ambazo mnachota hazina) nazo wanapiga.
In short, Chadema haina masikini wa akili wala Mali.
 
Wanaopenda CHADEMA ni wasiojielewa, walevi wengi, mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuikubali maana haina democrasia wala mipango, kujijenga wenyewe tu hawawezi unategemea wajenge nchi, mabilion ya Ruzuku hawaeleweki yanaenda wapi
Nenda ofisi ya CAG ukapewe taarifa za fedha za vyama vya siasa uone ni Chama kipi huwa kinapata hati safi Mara kwa Mara.
Hivyo vichwa vyenu mumebebea nini hadi kushindwa kuelewa?
 
Hana kazi ya kufanya unamjua? Acha mawazo ya kimasikini kijana. Hawa wote wanaotumia muda wao kuipigania Chadema 98% ni watu wanaojiamini na walichonacho ndio maana hawalambi makalio ya wenye madaraka ili waishi.
Unaweza kukuta mkuu Erythrocyte pamoja na kupoteza muda wake mwingi kutuhabarisha anachangia pia kwa hali na Mali shughuli za kampeni.
Chadema sio CCM ambayo hata hela za kampeni (ambazo mnachota hazina) nazo wanapiga.
In short, Chadema haina masikini wa akili wala Mali.
Wewe niwakili wake kakuajiri uje umtetee mahakama ya mwanzo!?
 
Tabora vyama vyenye nguvu viuwili tu CCM na CUF WENGINE TAKATAKA
Tabora upinzani Lipumba atapata kura nyingi kuliko Lisu tena atambwaga hasa.CCM itaongoza ikifuatiwa na CUF
Inaonyesha somo LA historia ulikuwa bingwa kwenye shule yako ya kata!
 
Back
Top Bottom