Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu katika viwanja vya Zakheim Mbagala, TBC Wafukuzwa

Ndio Mkuu, naona kaanza kuhamasisha watu kuvuruga amani ya nchi kisa kuenguliwa kwa Wagombea.

TBC wamekata baada ya kuona Mbowe kaanza kuongelea suala la kuligawa Taifa.
Kabisa TBC wako sahihi, hiki anachokihubiri Mbowe hakikubariki hata kidogo.
 
Mbowe hata hajisitukii Kama wananchi wameshindwa tu jujitokeza kwa wingi kusikiliza ilani ya Chama wataweza kweli kujitokeza kujaribu kumwaga damu zao?
Kumwaga damu?! Duh..
 
Mbowe hata hajisitukii Kama wananchi wameshindwa tu jujitokeza kwa wingi kusikiliza ilani ya Chama wataweza kweli kujitokeza kujaribu kumwaga damu zao?
CHADEMA wanajiharibia wenyewe watanzania sio wajinga wamesha wasoma hawa watu, mtu huwezi kwenda kwenye mkutano wa namna hiyo.
 
Mbowe hata hajisitukii Kama wananchi wameshindwa tu jujitokeza kwa wingi kusikiliza ilani ya Chama wataweza kweli kujitokeza kujaribu kumwaga damu zao?
Huna akili mbuzi we! Una jaji wingi wa watu kwa kamera za TBC1 wenye malengo mabaya? Subiri utaona picha utashangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…