Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu katika viwanja vya Zakheim Mbagala, TBC Wafukuzwa

Wamekata tena baada ya Lema kuanza kuongea,nini maana ya kuwa live?🤔🚮🚮🚮
 
Kama kawaida ya TBC 1 wznapoona dswa inaanza kuingia wao hukatisha matangazo badala yake watangazaji wanatuhutubia ili tusisikie ukali wa PPF, tutegemee baadae watachomoa betri.
Ndivyo wanachofanya sasa. Kama vipi wazime matangazo kabisa!!
 
TBC wanaingilia kati bora kuangalia face book
 
Wamekata Tena, Lema alianza kuichambua serikali.
Kwikwikwikwi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]nimecheka kweli

Niko Makini sana na TBC kuliko speech za chadema maana najua watakata tu
 
Pwahahaha!!! Mwe mwe mwe yamekuwa hayo.
Si mpo uwanjani, pigeni picha mtupie.

Yaani leo ufunguzi watu hakuna, siku zijazo watu watakuwa hawaji.
watu ni wengi ila TBC wanachakachua. wanatakiwa wachukue aerial view ndiyo itaonyesha uhalisia!
 
Amani iwe kwenu !

Leo chadema wanazindua kAmpeni rasmi pale mbagala, !

Kwa kifupi mapungufu niliyoyaona !

_Kitengo Cha habari hakiko vzr, kuazia mitandaoni mpaka live !

_Mshereheshaji/Mc mlomchagua kapoa Sana ! Hajui kazi Yake vyema
_ratiba zenu hazijakaa sawa !

Ona Sasa mnaumbuka , mtu akishindilia msumari TBC wanatoa live, watangazaji wanaongea uongo na ukweli, tumeona kwa yule mgombea ubunge wa ilala na lema !

Mlishindwa kwenda live stream hata kwa itv kwa Leo tu ? Kama Ni hela Amna mmngechangisha ! Poor kabisa!

Kazi kweli kweli !
 
Jamani mnamuona Lema hapo wakuu? Leo ndio tutajua rangi halisi ya Viongozi wa CHADEMA tutaijua busara iliyo vinywani mwao hapa live bila chenga.
 
Duuuh kweli hakuna nyomi aisee naona Hapo vijana Hadi wanapata Nafasi ya kuchati kwa smartphone bila hata shida kabisaa.

Nafikiri hapa CDM tutajifunza kitu kutoka kwa Watanzania.
Watakuambia wao wamezuiliwa kuja ndo maana mahudhurio kiduchu
 
Naangalia hapa TBC uzinduzi wa kampeni za Chadema. Lakini kitendo cha kukata kata matangazo na wao kuanza kuelezea misimamo yao na kufundisha watazamaji hatukitaki.

Waendelee tuu na CCM yao maana mbona ccm hawakatizi mikutano yao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…