Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo wanachofanya sasa. Kama vipi wazime matangazo kabisa!!Kama kawaida ya TBC 1 wznapoona dswa inaanza kuingia wao hukatisha matangazo badala yake watangazaji wanatuhutubia ili tusisikie ukali wa PPF, tutegemee baadae watachomoa betri.
Salaam Mkuu,
leo Ijumaa tarehe 28 Agosti 2020 Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kinafanya uzinduzi wa kampeni za urais wa Tanzania zinazofanyika, Uwanja wa Zakhiem, Mbagala jijini Dar es Salaam.
Tundu Lissu ndiye anayepeperusha bendera ya Chadema kwenye nafasi ya urais na Salumu Mwalimu mgombea mwenza.
Kampeni za Uchaguzi Mkuu zilifunguliwa rasmi tarehe 26 Agosti na zitahitimishwa tarehe 27 Oktoba 2020 ambapo kesho yake yaani Jumatano itakuwa ni siku ya uchaguzi. Katika uchauzi huu, Lissu atachuana na wagombea wengine 14 akiwemo Dk. John Magufuli, mgombea wa Chama cha Cha Mapinduzi (CCM), Prof. Ibrahim Lipumba (CUF), Yeremia Maganja (NCCR-Mageuzi).
Nitawaletea Kila kinachojiri.
View attachment 1550719View attachment 1550720View attachment 1550721
Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema bara na Mwalimu, naibu Katibu Mkuu-Zanzibar tayari wamewasili uwanja hapo.
Ulinzi umeimarishwa katika viwanja hivyo, ambapo kuna baadhi ya askari polisi wa kawaida na wale wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU).
Pia, kuna walinzi maalum wa Chadema ambao wanafanya kazi ya kuongoza watu waliofika katika kampeni hizo.
======
UPDATES: 1600HRS
Mkutano Umeanza kwa Kuimba Wimbo wa Taifa na kufuatiwa na Maombi kutoka Madhehbu mbalimbali
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]nimecheka kweliWamekata Tena, Lema alianza kuichambua serikali.
Kwikwikwikwi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
TBC si wanasema inazingua? Nataka link ya CDM kabisa, huenda Kuna amsha amsha hukoTBC LIVE
Hopeless kabisa hawa jamaa! HIvi hamna channel nyingine iliyo live?Ao tbc mbona wanakatakata kwenye uhondo?
watu ni wengi ila TBC wanachakachua. wanatakiwa wachukue aerial view ndiyo itaonyesha uhalisia!Pwahahaha!!! Mwe mwe mwe yamekuwa hayo.
Si mpo uwanjani, pigeni picha mtupie.
Yaani leo ufunguzi watu hakuna, siku zijazo watu watakuwa hawaji.
Yani mtangazaji akiona nondo zinaanza fasta anaweka gunzi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Umetuwekea link ya TBCCM wanakata kata matangazo hapo lema kaanza kuongea wamekata tena
Watakuambia wao wamezuiliwa kuja ndo maana mahudhurio kiduchuDuuuh kweli hakuna nyomi aisee naona Hapo vijana Hadi wanapata Nafasi ya kuchati kwa smartphone bila hata shida kabisaa.
Nafikiri hapa CDM tutajifunza kitu kutoka kwa Watanzania.
🤣 🤣🤣 unajitahidi sana ku prove.