Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Mapokezi ya Tundu Lissu Kongwa na Dodoma Mjini

Hatari aisee,ifungulie thread bc
 
Natamani hizi nyundo apigwe nazo Gwajiboy siku ya kufunga kampeni.
 
Tundu Lissu ana nini lakini?

Mbona wenzake wanachoka yeye anazidi kuchanja mbuga hivi?

Anakera kama nini huyu, kutaka watu waanguke na mapressure.[emoji23][emoji23]
Aisee mimi najiamini ni mchapa kazi sana. Kuna wakati nachapa kazi 48hrs mfululizo bila kulala wala kupumzika lakini huyu Mwamba nimemvukia kofia aisee.

Khaa!!
 
Huyu Mwamba anatisha sana.

Jamaa anapiga huku anapiga kule.
 
Wakati serikali ina hamasisha watu waende kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi mkuu, Chadema walikua wakihamasisha watu wasiende kujiandikisha mbaka ipatikane katiba Mpya. Chakushangaza baada ya matokeo wata lalamika wameibiwa kura.
Vitambulisho vya kupiga kura tunavyo acha kujifariji
 
Lissu anahangaika wajameni

Mbona anaenda singida kila siku, hawaamini ndugu zake ? Anajua watamfyekelea mbali
Wewe ukenge, Singida ina jimbo moja? By the way lile gari la mkaa limeshatoka gereji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…