Mnachofanyiwa na Dj ni wa kike tu ndo wanalalamika, wakiume wanaona poa tuWenzako wapo hapo wanalazimishwa kukuna nazi wanaume wazima, kweli ukiwa ccm ni mtihani kwa familiaView attachment 1534160
Mhhh!!!Wenzako wapo hapo wanalazimishwa kukuna nazi wanaume wazima, kweli ukiwa ccm ni mtihani kwa familiaView attachment 1534160
Siyo kwamba Bodaboda hawana moyo, leo kijijini kwetu Bodaboda wameandamana na kutoa elfu kumi kumi, kwenye msiba wa Boda mwenzao!Ukiona bodaboda usiamini, mwaka fulani walipewa elfu 10 na full tank mafuta kumpokea mtia nia.
Hao wanahesabu day work tu. Hela yako. Ni kama madada poa tu
Hii ndio kazi ccm wamebaki nayo
View attachment 1534124
Ukitaka kujua bodaboda wana ushirikiano wao , gonga mmoja na Gari ukimbie. Kunguru wa Zanzibar wakasome. Watakufukuza Dar-Moro. Na ukipita kijiwe wanaunga waliopoSiyo kwamba Bodaboda hawana moyo, leo kijijini kwetu Bodaboda wameandamana na kutoa elfu kumi kumi, kwenye msiba wa Boda mwenzao!
Pepo mchafu tokaHamna chochote huyu Tundu Lissu. Hapati ata 15% ya kula zitakazopigwa
Kuna wakati Molemo ananiuzi hadi natamani angekuwa kijana wangu nikikutana naye nimlambe hamsa wa ishirini kwa jinsi anavyo tunyima uhondo.Tatizo lako siku mbili hizi unakuwa busy sana hadi unasahau umuhimu wa kutupia picha angalau
Hawawezi kuweka picha kwasababu wanajua wanachokiongea hakina uhalisia.Wekemi na picha sio maneno tu, ili tuinjoi wote
Ndicho nnachosema, wana moyo na ni watu pia! Huwezi kusema kila kitu ni ili waingize day tu! Ila pia kuwekewa mafuta Siyo mbaya sana, naweza kuwa naipenda CDM na TAL, lakini pikipiki yangu na mafuta havitambui mapenzi yangu hayo!Ukitaka kujua bodaboda wana ushirikiano wao , gonga mmoja na Gari ukimbie. Kunguru wa Zanzibar wakasome. Watakufukuza Dar-Moro. Na ukipita kijiwe wanaunga waliopo
Hamna chochote huyu Tundu Lissu. Hapati ata 15% ya kula zitakazopigwa
Amepokelewa na bodaboda ndiyo maana hawataji hata kuweka picha.Hawapo vijana wa kudeki barabara hapo?
JPM for 20
AmenMungu endelea kumbariki Lissu
Mi nimesema kile kilitokea kama hutaki ,endeleaNdicho nnachosema, wana moyo na ni watu pia! Huwezi kusema kila kitu ni ili waingize day tu! Ila pia kuwekewa mafuta Siyo mbaya sana, naweza kuwa naipenda CDM na TAL, lakini pikipiki yangu na mafuta havitambui mapenzi yangu hayo!
Dodoma mgombea wenu alioga aibu hakupata mapokezi kabisa, watu walikuwa busy na shughli zao kama unabisha weka picha hapa.Dodoma kulikuwa na aibu gani?