Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tundu Lissu ndio Rais tupa kule huyo mshamba na limbukeni wa ndege
Kuna zile kenge zilizokuwa zinasema hakuna hatakaeenda kwa magufuli bukoba sijui zimerudi mtoni kujificha.
Subiri wana kupinga pinga waje na sera yao ya majimbo na ya kuwaachia ma sheikh wa Uamsho, ndio utajua music waoLeo huko Bukoba JPM anaongea madini tupu. Kura za wana kagera zitafulika kwako.
Mungu aendelee kukulinda kiongozi wetu.
Akili zenu ziko programmed kama marobot!Hata hujajua alichosema ila unakurupuka tu kuandika!Subiri wana kupinga pinga waje na sera yao ya majimbo na ya kuwaachia ma sheikh wa Uamsho, ndio utajua music wao
Lini uliwahi kukosoa?Leo huko Bukoba JPM anaongea madini tupu. Kura za wana kagera zitafulika kwako.
Mungu aendelee kukulinda kiongozi wetu.
Hao walisha mezeshwa cd ya kusifia kila kitu chenye rangi ya njano na kijaniAkili zenu ziko programmed kama marobot!Hata hujajua alichosema ila unakurupuka tu kuandika!
Mmebakiza akili za kuvukia barabara tu,nyingine mmekabidhi kwa wanaojaza matumbo yenu!
Amezoea kukoshwaUtakoshwa saaana kama uko hivyo
JPM anafunika kila mahali,hapa kazi tu.Leo Mhe. Magufuli yuko Bukoba katika kampeni zake za Urais. Mhe. Magufuli kwa maoni yangu hakuna wa kushindana naye. Kweli Mhe. Magufuli amefunika Bukoba. Sote twende na Magufuli tarehe 28 Oktoba, 2020.
Umezoea kukoshwa sana wewe naona sasa umeamua kututangaziaLeo huko Bukoba JPM anaongea madini tupu. Kura za wana kagera zitafulika kwako.
Mungu aendelee kukulinda kiongozi wetu.
Magufuli ametenda na anaahidi kutenda makubwa Bukoba na Kagera kwa ujumla, tumchague kwa kura nyingi sana ili aweze kuyatenda yote aliyoyaanzisha na anayotegemea kuyafanya.CCM oyeeeee
Hebu tulia..hakuna cha maana wala kipya alichoeleza!
Umezoea kukoshwa sana wewe naona sasa umeamua kututangazia
Lkn ninyi mlishamezeshwa cd ya kuponda kila kitu siyo?Hao walisha mezeshwa cd ya kusifia kila kitu chenye rangi ya njano na kijani