Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Mimi sijasema hawakuwa sahihi lakini ndio hivyo tena matokeo yao nayo yamesitishwa kutolewaMkuu kwa mujibu wa Reuters wakiuplod matokeo yatokanayo na Form 34B na sio Form 34A!
View attachment 2322863
Kimuundo ndiyo form ambazo tayari zilishahakikiwa na matokeo yake kukubaliwa.
Reuters walikuwa sahihi kuliko ata vyombo vya Habari vingine ambavyo wao wakichukua matokeo ya Form 34A.
Sasa hivi ya tume pekee ndio yanatewa kwa kasi ndogo sana