Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shule zote leo hii Mwanza zimefungwa ili huyo anayejiita KICHAA apate umati mkubwa.
Unateseka sana pole. TZ hatujapata upinzani wa kweli mbadala wa chama tawala. Tunaona ni bora CCM iendelee tu.Hakika waswahili wanasema kizuri chajiuza kibaya chajitembeza.
Umejenga SGR Barabara ndege Umezunguka miaka 5 kwenye kampeni nchi nzima.....Bado unajitembeza kuomba Kura.
BILA FIESTA TAMASHA LA DIAMOND KIBA MAROLI YA KUBEBA WATU NK HAJI MTU HAPO
Ni wapi amesema/ameandika ni hisani?Hivyo vyote siyo hisani,ni kodi za wananchi hizo
kwani zamani watu walikuwa hawalipi kodi?Hivyo vyote siyo hisani,ni kodi za wananchi hizo