Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwel kabsaNdiyo
Mwanza ndipo sehemu pekee ambayo hawapaswi kuiangusha CCM
✓ Barabara nzuri
✓ Wamenunuliwa meli
✓ Daraja la juu
✓ Uwanja wa ndege umepanuliwa vizuri
✓ Biashara za samaki zimeboreshwa siku hizi wanasafirisha kwenda nje ya nchi
Na mengineyo
Yyaani hapo kama midoli, hata lililotoa mada, unawezaje kurudiarudia mapicha kama juha ??, hapo ungeweka picha moja tu ujumbe waKO USINGEFIKA?Jana siku nzima barabara ya kutoka msoma ilikuwa imejaa mpak mwanza mjini watu Wana msubiri, katoka msoma asubhi kafika mwanza jioni ,poleni Sana msiompenda huyu mwamba
View attachment 1561206View attachment 1561207View attachment 1561208View attachment 1561209View attachment 1561210
View attachment 1561206View attachment 1561207View attachment 1561208View attachment 1561209View attachment 1561210View attachment 1561214View attachment 1561215View attachment 1561216View attachment 1561217View attachment 1561218View attachment 1561219View attachment 1561220View attachment 1561221
Na leo hali ya hewa mwanza ipo mjarabu Sana , hakuna jua ni mawingu na ubard flan amazing baada ya kunyesha mvua kubwa juzi, mweshimiwa ajiandae kuhutubia maelf ya wakaz , mkoa wa mwanza Una idadi ya watu ~3million , roughly hakosi kura 800K, wafanyakaz , wapenda kuajiriwa na wapenda vinono , wapenda mishahara mikubwa bila kuhangaika huku hawazidi 200k ambao wengi wao hawataenda kupiga kura ila wataalam wa mitandaoni , so huku Lissu ategemee kura 80K , membe 0.5K na hashimu 2K.
Tujage
Ndugu yangu unatumia akili kweli kuwaza?Hakika waswahili wanasema kizuri chajiuza kibaya chajitembeza.
Umejenga SGR Barabara ndege Umezunguka miaka 5 kwenye kampeni nchi nzima.....Bado unajitembeza kuomba Kura.
BILA FIESTA TAMASHA LA DIAMOND KIBA MAROLI YA KUBEBA WATU NK HAJI MTU HAPO
Hii ndiyo ccm jana pale ccm kirumba, kulikuwa na mgao unapewa t'shet na ya ccm na buku 5 hadi 10 ili leo uende umevalia lengo kujaza uwanjwaWasije wakawapiga miti tu vijana
Hakika waswahili wanasema kizuri chajiuza kibaya chajitembeza.
Umejenga SGR Barabara ndege Umezunguka miaka 5 kwenye kampeni nchi nzima.....Bado unajitembeza kuomba Kura.
BILA FIESTA TAMASHA LA DIAMOND KIBA MAROLI YA KUBEBA WATU NK HAJI MTU HAPO
Kura zote kwa MagufuliMkuu, stay tuned Magu atapata kura nyingi hatari Mwanza.
Hapo Mwanza JPM atazoa kura za kutosha.Jana siku nzima barabara ya kutoka msoma ilikuwa imejaa mpak mwanza mjini watu Wana msubiri, katoka msoma asubhi kafika mwanza jioni ,poleni Sana msiompenda huyu mwamba
View attachment 1561206View attachment 1561207View attachment 1561208View attachment 1561209View attachment 1561210
View attachment 1561206View attachment 1561207View attachment 1561208View attachment 1561209View attachment 1561210View attachment 1561214View attachment 1561215View attachment 1561216View attachment 1561217View attachment 1561218View attachment 1561219View attachment 1561220View attachment 1561221
Na leo hali ya hewa mwanza ipo mjarabu Sana , hakuna jua ni mawingu na ubard flan amazing baada ya kunyesha mvua kubwa juzi, mweshimiwa ajiandae kuhutubia maelf ya wakaz , mkoa wa mwanza Una idadi ya watu ~3million , roughly hakosi kura 800K, wafanyakaz , wapenda kuajiriwa na wapenda vinono , wapenda mishahara mikubwa bila kuhangaika huku hawazidi 200k ambao wengi wao hawataenda kupiga kura ila wataalam wa mitandaoni , so huku Lissu ategemee kura 80K , membe 0.5K na hashimu 2K.....
Tujage
kama hizo maiti zisingekuwepo bas ungeona ya msumbiji hukuWatanzania tumeshuhudia maiti za watanzania wenzetu zikiokotwa kwenye fukwe zikiwa zimefungwa mawe na vyuma na nyingine zikiwa kwenye viroba.
Watanzania, tumeshuhudia wenzetu wakitekwa na kupotezwa, wafanyabiashra wakifilisiwa,.
Tumeona ndugu na jamaa zetu wakifunguliwa makesi makubwa na yasiyo na dhamana.
Huyu mtu hatufai kabisa.
Dikteta unamjua wewe?Hatutaki dikteta.... Miaka 5 mingine akatawale chato
Mapema tuMagufuli ushindi Mwanza sio la kuuliza pigia mstari!
Unataka hisani itoke wap? Ubeligiji cio?Hivyo vyote siyo hisani,ni kodi za wananchi hizo
Usitumie wingi, sema mimi na familia yangu,Unateseka sana pole. TZ hatujapata upinzani wa kweli mbadala wa chama tawala. Tunaona ni bora CCM iendelee tu.
Jana siku nzima barabara ya kutoka msoma ilikuwa imejaa mpak mwanza mjini watu Wana msubiri, katoka msoma asubhi kafika mwanza jioni ,poleni Sana msiompenda huyu mwamba
View attachment 1561206View attachment 1561207View attachment 1561208View attachment 1561209View attachment 1561210
View attachment 1561206View attachment 1561207View attachment 1561208View attachment 1561209View attachment 1561210View attachment 1561214View attachment 1561215View attachment 1561216View attachment 1561217View attachment 1561218View attachment 1561219View attachment 1561220View attachment 1561221
Na leo hali ya hewa mwanza ipo mjarabu Sana , hakuna jua ni mawingu na ubard flan amazing baada ya kunyesha mvua kubwa juzi, mweshimiwa ajiandae kuhutubia maelf ya wakaz , mkoa wa mwanza Una idadi ya watu ~3million , roughly hakosi kura 800K, wafanyakaz , wapenda kuajiriwa na wapenda vinono , wapenda mishahara mikubwa bila kuhangaika huku hawazidi 200k ambao wengi wao hawataenda kupiga kura ila wataalam wa mitandaoni , so huku Lissu ategemee kura 80K , membe 0.5K na hashimu 2K.....
Tujage