Uchaguzi 2020 Yaliyojiri uzinduzi wa Kampeni za CCM jijini Mwanza - Septemba 7, 2020

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri uzinduzi wa Kampeni za CCM jijini Mwanza - Septemba 7, 2020

Wanafunzi wanateswa sana, yaani watoto wamezuiwa kwenda shule pamoja na waalimu wao ili waende kwenye shughuli za kampeni za CCM!! Maajabu
Wamelazimishwa Kwan? Ambao hawatak wabak wajisomee madarasani
 
Leo mgombea wa Urais kupitia chama cha mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli yupo jijini Mwanza baada ya kuwasili jana ambapo yeye na chama chake wanatarajia kuzindua kampeni zao jijini humo kwenye uwanja wa CCM Kirumba kuomba ridhaa ya wananchi kuendelea kuongoza serikali.

Mwaka 2015, Dkt Magufuli na chama chake walipata ushindi mnono jijini Mwanza na viunga vyake. Je, wapiga kura wataendelea kuwaamini na kuwapa ridhaa? Kuwa nami kukujuza yatakayojiri leo kwenye uzinduzi wa kampeni za chama cha Mapinduzi jijini Mwanza.
Fuatilia hapa Kampeni za mgombea urais kupitia CCM Ndugu Magufuli kutoka uwanja wa CCM Kirumba
 
Hakika waswahili wanasema kizuri chajiuza kibaya chajitembeza.

Umejenga SGR Barabara ndege Umezunguka miaka 5 kwenye kampeni nchi nzima ... Bado unajitembeza kuomba Kura.

BILA FIESTA TAMASHA LA DIAMOND KIBA MAROLI YA KUBEBA WATU NK HAJI MTU HAPO
Niliposikia ubwabwa wa Rungwe unazuiliwa, nilitaka nisikie pia muziki wa akina Diamond vipi? Kama ubwabwa ni rushwa basi hata muziki, burudani ni rushwa?
 
Leo mgombea wa Urais kupitia chama cha mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli yupo jijini Mwanza baada ya kuwasili jana ambapo yeye na chama chake wanatarajia kuzindua kampeni zao jijini humo kwenye uwanja wa CCM Kirumba kuomba ridhaa ya wananchi kuendelea kuongoza serikali.

Mwaka 2015, Dkt Magufuli na chama chake walipata ushindi mnono jijini Mwanza na viunga vyake. Je, wapiga kura wataendelea kuwaamini na kuwapa ridhaa? Kuwa nami kukujuza yatakayojiri leo kwenye uzinduzi wa kampeni za chama cha Mapinduzi jijini Mwanza.
Magufili Miaka mitano tena tumchague ili alete maendeleo ya haraka Tanzania
 
Maccm pumbavu sana, yaani hapo kama midoli, hata lililotoa mada, unawezaje kurudiarudia mapicha kama juha ??, hapo ungeweka picha moja tu ujumbe waKO USINGEFIKA ??
Usimfokee!!!!
 
Mbona huweki update za wasanii ambao wameshapanda Jukwaani na wameimba nin leo?

Kwa huyo mgombea tunajua huwa anaongelea kuhusu mabarabara na madaraja pamoja na mandege.
 
Ndiyo
Mwanza ndipo sehemu pekee ambayo hawapaswi kuiangusha CCM

✓ Barabara nzuri
✓ Wamenunuliwa meli
✓ Daraja la juu
✓ Uwanja wa ndege umepanuliwa vizuri
✓ Biashara za samaki zimeboreshwa siku hizi wanasafirisha kwenda nje ya nchi

Na mengineyo

Kwa nini mnawalazimisha wafanyakazi wasaini kwa dole gumba kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa kampeni?
 
2020_09_07_11.44.09.jpg
 
Jana siku nzima barabara ya kutoka msoma ilikuwa imejaa mpak mwanza mjini watu Wana msubiri, katoka msoma asubhi kafika mwanza jioni ,poleni Sana msiompenda huyu mwamba
View attachment 1561206View attachment 1561207View attachment 1561208View attachment 1561209View attachment 1561210
View attachment 1561206View attachment 1561207View attachment 1561208View attachment 1561209View attachment 1561210View attachment 1561214View attachment 1561215View attachment 1561216View attachment 1561217View attachment 1561218View attachment 1561219View attachment 1561220View attachment 1561221
Na leo hali ya hewa mwanza ipo mjarabu Sana, hakuna jua ni mawingu na ubaridi fulani amazing baada ya kunyesha mvua kubwa juzi, mweshimiwa ajiandae kuhutubia maelfu ya wakazi, mkoa wa Mwanza Una idadi ya watu ~3million, roughly hakosi kura 800K, wafanyakazi, wapenda kuajiriwa na wapenda vinono , wapenda mishahara mikubwa bila kuhangaika huku hawazidi 200k ambao wengi wao hawataenda kupiga kura ila wataalam wa mitandaoni , so huku Lissu ategemee kura 80K , membe 0.5K na hashimu 2K.....

Tujage
CCM Inapendeza sana na tuna Mgombea makini na anauzika hakika tumchague
 
Watanzania tumeshuhudia maiti za watanzania wenzetu zikiokotwa kwenye fukwe zikiwa zimefungwa mawe na vyuma na nyingine zikiwa kwenye viroba.

Watanzania, tumeshuhudia wenzetu wakitekwa na kupotezwa, wafanyabiashra wakifilisiwa,.

Tumeona ndugu na jamaa zetu wakifunguliwa makesi makubwa na yasiyo na dhamana.

Huyu mtu hatufai kabisa.
Hanatufaa kwa sababu ametuletea maendeleo makubwa leo hii mtu anasafiri kwa rami karibia nchi mzima
Pia ametuletea maendeleo katika sekta ya nishati sikuambii kuhusu maji hakika ni chaguo sahihi kwa wakati sahihi kwa watanzania tusimkose huyu mwamba wa kanda ya ziwa.
 
Fiesta tu hapo......

Watz wanataka mabadiriko🤔🤔
 
Msanii maarufu kuliko wote nchini Naseeb au Diamond Platnumz leo ameweka historia ya pekee baada ya kuvalishwa kofia na Rais Magufuli.

Rais Magufuli alimwita Diamond apande hadi meza kuu na kuvua kofia aliyokuwa amevaa na kumvalisha Naseeb.

Source Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom